Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Eti hyo haiwezekani, yan wame shortlist, nimepiga written then naiona asali inakaribia ndio wanichomoe dah sitokiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
haloo mie wangeniua labda ingekua za halmashauri ila TRA labda wangekuja na vifaru ndo ningetoka 🀣 🀣
 
Waungwana. Kama kuna mtu anafahamu kuna group la kufanya maandalizi ya interview za IT & Telecom anijulishe. Nipo Zambia nimeitwa kwenye usaili tarehe 16.
 
Kwa waliokuwepo DUCE waliruhusiwa kufanya mtihani kwasababu hiyo sio banking pekee bali banking na finance. Sijui hao waliozuiwa walikua kituo kipi cha mtihani boss.
 
Kwa nini una-apply TIN namba ya biashara kijana? Apply isiyo ya biashara
Hv tofauti za hizi TIN ni zipi mana Mm nna TIN na imeandikwa Only for Non for business use, ila mm ilihitajika kazin sekta binafsi.
 
Hiyo ni kawaida saana.. Kuna jamaa alichomolewa kwenye oral masikini ya mungu
Ndomana wakaweka usahili wa pili pia kama vile oral sababu ni ile ile tu ni kupata watu sahihi zaidi kutokana na malengo ya taasisi yao wanavyo taka wenyewe mkuu, kama mfumo hau kuhitaji ni kazi bure kuendelea kufanya mapambano ya lazima kwakuwa ulifanya tayar written interview then na huko wakuache hapana, kikubwa ikitokea hivyo ni kukubali matokeo kwamba hiyo sio riziki yako songa mbele tafuta kwingine mungu yupo nawe daima ata bless tu siku moja.πŸ™
 
Naomba kuuliza waliofanya interview ya Tra mwaka jana eti kuna watu majina yao yalitoka lakini walikuja chomolewa wasifanye mtihani???
E.g waliosoma BBA in something walitolewa wakaachwa wale wa BBA kavu(in general)

Ni kweli???
Kuna ambao walizuiliwa baadae wakaachiwa wafanye mtihani, ila wengine waliokuwa na wasimamizi wakuda waliwatosa kabisa.
 
Hv tofauti za hizi TIN ni zipi mana Mm nna TIN na imeandikwa Only for Non for business use, ila mm ilihitajika kazin sekta binafsi.
Ukiomba ya biashara inakuwa na vipengele vingi. Unashauriwa kuomba TIN namba isiyo ya biashara, ukitaka baadaye kuitumia kwa biashara una-update taarifa kwenye mfumo tu, au unaenda ofisi yoyote ya TRA wanakuingizia taarifa.
 
Eti hyo haiwezekani, yan wame shortlist, nimepiga written then naiona asali inakaribia ndio wanichomoe dah sitokiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kunakuwa na askari mkuu hujawai kuhudhulia?? na wanakuwa na mitutu ukilipuliwa ya mguu kuvuruga mitihani utasema nini.???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…