makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Written kama zote hii ndiyo nimeingia oral nyingine bado received hadi leo shortlist sijajua inatoka liniKumbe umepiga written nyingi, lazima uwe na shauku maana oral ndio hatua ya mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Written kama zote hii ndiyo nimeingia oral nyingine bado received hadi leo shortlist sijajua inatoka liniKumbe umepiga written nyingi, lazima uwe na shauku maana oral ndio hatua ya mwisho
Tuvute subira mkuu, kabla mwaka hujapinduka laweza kutokea lolote.Written kama zote hii ndiyo nimeingia oral nyingine bado received hadi leo shortlist sijajua inatoka lini
Mkuu, hao PPRA ndo taasisi gani boss..?Utumishi wameitwa watu wa PPRA kwenda kwenye Usahili Dodoma.. naona mida ya Mikeka kutema imewadiiia.
Hapa kama ulipata nafasi ya Sensa na umekuwa Shortlisted linakuwa pigo nalo hilo[emoji2][emoji2]
Public procurement regulatory Authority... Taasisi ya Manunuzi ya ummaMkuu, hao PPRA ndo taasisi gani boss..?
Acha uongo, za MDAs naLGAs Bado,zipi hizo zkmetoka?Shortlist zimeanza kutema watu wakapambane
Hivi Hizo pdf ,Huwa zinawekwa wapi au unzionea wapi?Mkuu, hao PPRA ndo taasisi gani boss..?
Kwa ninavyoona mimi, tatizo Tanzania ajira chache. Watu wengi wanafukuza kazi chache. Uchumi mdogo.Wanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
Nenda pale call for interview ipo mikeka miwili newAcha uongo, za MDAs naLGAs Bado,zipi hizo zkmetoka?
Hivi Hizo pdf ,Huwa zinawekwa wapi au unzionea wapi?
Nimeona ukiona na mkeka wa MDAsna LGAs nishitue...Nenda pale call for interview ipo mikeka miwili new
Usijali kiongoziNimeona ukiona na mkeka wa MDAsna LGAs nishitue...
uliomba kazi gani mkuu..?Nimeona ukiona na mkeka wa MDAsna LGAs nishitue...
Mtakwimuuliomba kazi gani mkuu..?
Sensa ni miyeyusho tu, wakapambanie tonge la muda mrefu huku, hata hivyo usahili mwisho tarehe 20 watawahi kwenye sensa tarehe 23Utumishi wameitwa watu wa PPRA kwenda kwenye Usahili Dodoma.. naona mida ya Mikeka kutema imewadiiia.
Hapa kama ulipata nafasi ya Sensa na umekuwa Shortlisted linakuwa pigo nalo hilo[emoji2][emoji2]
Nafasi nyingi sana, ukiitwa hakikisha unapambana hadi utoboe
Nafasi nyingi mno pambana sana unatoboa