makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Naona PSRS wameweka placement ya Open University leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole babe,utumishi hawatabiriki
Wanajivuta sana, mwendo wa kono konoNaona PSRS wameweka placement ya Open University leo
Hahahahaa, pole sana msaka mrija wa Asali.Kule Duce tumemaliza usaili salama.. sasa tunasubiri matokeo.. nimekutana na maswali ya miaka 10 iliyopita .. noma sana
HaswaMambo magumu sana
Ya darasani au general knowledge tu?Kule Duce tumemaliza usaili salama.. sasa tunasubiri matokeo.. nimekutana na maswali ya miaka 10 iliyopita .. noma sana
Hiii ngoma mwakani niniWanajivuta sana, mwendo wa kono kono
Mzumbe mojawapotaasisi zipi bosi wangu unaweza kuzitaja??
au wanakaa kwenye kanzi dataMzumbe mojawapo
Hizi za sasa, placements hadi mwakaniHiii ngoma mwakani nini
Na za mwezi wa sita jeeHizi za sasa, placements hadi mwakani
Mwakani labda hizi taasisi nyingine.. kwa sisi wa vyuo nahisi mwezi wa kumi haukatizi placements zote zitakuwa tayar.Hizi za sasa, placements hadi mwakani
Hapana amefanya interview zote juzi tuau wanakaa kwenye kanzi data
Ngoja tutafute mirija ya asali, japo kuna nyuki,tujilinde na manundu👍Laiti mzee wa Aliyeondoka asingebadili mfumo wa ajira nisingehangaika kuutafuta mrija wa Asali namna hii, ningeingia moja kwa moja baada ya kusajiliwa na kupata leseni ya kazi kutoka kwenye baraza langu la Kitaaluma.
Ingawa mtaani tunabangaiza bangaiza vijisenti vya kusogeza siku ila havina security, nchi yetu security ya vijisenti ni muhimu sana, ambapo kwa uhakika wa asilimia kubwa tunaipata huku Gavo.
Ni bora upate(ujira) kidogo palipo na uhakika wa kukipata kuliko na kupata kikubwa pasipo na uhakika wa kukipata, yaani hicho kikubwa ukikipata leo halafu kukipata tena hadi uzidishe maombi usiku na mchana. Ni taabu.
Ingawa hili ni mtazamo ya watu mbali mbali, na hatuwezi kufanana mitazamo kwa hiyo kila mtu anaamua kuchagua wapi pa kushika.
Tuendelee kupambania mrija wa Asali popote tunapoona panafaa
Mkuu ndio mtandaao ucheze toka j1.Mtandao wao unachez utakaa sawa
Kwenye Tangazo kule website uwa wanaweka majina na timetable zoteMkuu ndio mtandaao ucheze toka j1.
maana nimeomb post mbili zote nimepewa namba ya mtihani tuu.
Nimetizama kote kweny website ya UTUMISHI na ya MUHAS kil sikuuu sikuu siooni update ndioo mana nikasema niulizee kama kuna mtu labda na yeye ameitwaa MUHAS anipe dukudukuu.Kwenye Tangazo kule website uwa wanaweka majina na timetable zote