Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kiukweli majibu yote niliyotoa sio ya kukariri, mimi mwenyewe nashangaa sijui nilijibuje vile.

Swali la kwanza nilikuwa sijiamini hata ngeli hakunyooka, kuanzia swali la pili nikapata confidence na akili ikawa inacharge fast na kujibu haraka haraka.

Kuna maswali mengine nimejibu points zaidi 5 walizotaka wao, yaani walikuwa wananisikiliza hadi mimi niseme tayari na wananipa swali linalofuata
Walikupa muda uwaulize swali?
 
Tatizo lako kaka hujiamini na inakata tamaa haraka..hvi hujawah kuona watu wanajiamini wakiwa nje wakiingia ndani hamna kitu.?trust yourself bro mpaka kuwepo hapo miongoni mwa wachache maana yake we ni better..umepambana kwa nafasi yako muachie Mungu ashughulike na yake
Sawa mkuu, tuishi kwenye kumuachia Mungu afanye yake
 
Hawajakuuliza machallenge na mengineyo?
Hawajaniuliza.

Kuna swali moja la Afya lililenga kuverify kitu fulani ambapo naliingiza pia kwenye Auditing.

Halafu nilijikuta kila point ya swali la Auditing, nilimalizia na neno Auditing/Inspection.

Baadhi ya point panelists walikuwa wana node kichwa labda walikuwa wanaitikia mkando[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Don't underestimate yourself brother. Huwezi jua hao unaowaona bright walijibuje kwa upande wao. sometimes there are some people who might be seemed brighter but they can have some witnesses. Sisi sote tunakuombea kila Lililo na heri na hopefully u will make it to the final Mwifwa
Ahsante sana mkuu kwa faraja. tuendelee kusapotiana namna hii ma tuweze kufikia hatua tunayoitamani kufikia
 
Daahh, bado hatuwezi kuhitimisha hili.

Niliokuwa nao oral, wako bright, mimi maombi yangu angalau niingie kanzi data.

Nilikandwa mara 3 mfululizo.

Sasa hii golden chance naiombea niwe angalau kanzi data maana hizi written zinatua nguo sana
Wote mmefaulu ndio maana mmekutana kwenye usaili wa majadiliano mkuu.

Tulishahitimisha kuwa matokeo ya written hayahusian na huku. Mi pia kama wengine naamini sote muda wetu utafika.
 
Wote mmefaulu ndio maana mmekutana kwenye usaili wa majadiliano mkuu.

Tulishahitimisha kuwa matokeo ya written hayahusian na huku. Mi pia kama wengine naamini sote muda wetu utafika.
Sawa mkuu, Ahsante kwa kunikumbusha kuhusu matokeo ya written kutohusiana na ya Oral.

Basi tuendelee kuomba mambo yawe mazuri
 
Dada prox nimekuona ndani ya dress code ya Uanasheria kama vile unaenda kufafanua PGO pale Kisutu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, jana nilitaka tukuagize kuhakikisha ukirudi kutoka Dodoma uje na maelezo ya kutosha kuhusu Prok, kama ni mnene, mwembamba, mrefu, mweupe au mweusi. Kuhusu utamjuaje, hatujui.
 
Mkuu hongera sana! Nakuasa mara utakapopokea barua ya kuitwa kazini au kuanza kazi usiwasahau jobless wenzio kutoka huu uzi ambao kila sio wanaongezeka.
Hapa ni nyumbani mkuu, siwezi kupasahau. Miongoni mwa watu waliokuwa outstanding hapa ni mimi.

Tumekandwa mara nyingi, tukaja hapa kuelezana, sikukimbia.

Leo hii nimefanya oral yangu ya kwanza na kuhitimisha application zangu za Utumishi kwa mwaka huu.

Tathmini ni kuwa nimepambana sana na kufikia hatua ya mwisho, na kumuachia mwamuzi sasa(placements).

Tukitusua, tusikimbie tuwe mentor kwa wengine. Imagine sahihi za utumishi zinafanyika kwa miaka mingi hadi sasa lakini ukitafuta muongozo huwezi kupata isipokuwa huu uzi, hapo ina maanisha watu wakishaingia kwenye mrija wanondoka na kusahau kutoa miongozo kwa wengine. Kwa sisi tuwe tofauti.

Sasahivi nimekuwa expert wa mambo ya PSRS mwanzo mwisho, haya madini sipaswi kupotea nayo itakuwa kosa endapo nikipotea nayo.

Tuishi mkuu
 
Tell us about your life history, schools and college.

Mimi nimeshuka broken ya College, schools(olevel na Advance) pia ninechomekea profession kipindi nimekuwa full registerd na kuwa admitted into profession.

Life history naona ni personal sana so sikuwa na muda nayo
Hili linawigo mpana, actually linataka ujimwake wote..sema kikubwa mda ndo hauruhusu
 
Back
Top Bottom