Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ivi ikitokea umetuma barua ya maombi Kisha kwenye kipengele Cha kusaini ukaweka pembeni na sio katika ya ukurasa, JE inaweza pelekea usiitwe kwenye usahili?

Unaitwa.. Kikubwa u sign na uandike zile address ya inapokwenda kihusahihi..
 
App sas hv haifanyi kazi, mie sidhan kama Kuna wanaoandikia tofauti ya SELECTED FOR ORAL
Ehe omba isibadilike ukiona not jua kulamba asari sahau

Hakuna muujiza apo ngoja wailekebishe utaona ushuhuda
Ko mtu umu ndani usilalamike sana pitia na status zako
 
Naona mmepata sababu ya mikeka kuchelewa.
Screenshot_20240919-200234~2.jpg
 
Kuna ambao wameandikiwa not selected baada ya oral utumishi!?

Mimi hii bado sijai prove, naonaga zile ambazo azina pract yaan kama umefanya writen thn ukitoka write unaenda oral moja kwa moja kama haukufanikiwa kwenda oral ndo wanakuandikia NOT SELECTED for Oral na uwa inakuaga na rangi nyeusi sio ile ya kijana...
 
Back
Top Bottom