Ashamery
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 185
Wakupeleke tu kakonkowametugeuza bibi zao wanatuchezea wanavyotaka mambo gani sasa yale.mtu ukifungua web ghafla unasema waao kumbe maakina kakonko na ileje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakupeleke tu kakonkowametugeuza bibi zao wanatuchezea wanavyotaka mambo gani sasa yale.mtu ukifungua web ghafla unasema waao kumbe maakina kakonko na ileje
Placement zipo njiani, katibu si ndo kaanza kaziAise kweny kuita usaili kumenoga placement aaaah🤣
Badilisha search engine au kwa kupitia Google, search "Bing" kisha andika ajira portal kwakupitia Bing, na utafanikiwa kuziona websites zote mbili za ajira portal.Mbona kwangu sioni web na kwenye app n under maintenance?
Mwanzo nlkuwa Niki-search Ajira Portal inakuja zote mbili ila nashangaa sasa hv inakuja moja ile ya login so ili kupata ile main inanitaka niandike ajira tuu.Badilisha search engine au kwa kupitia Google, search "Bing" kisha andika ajira portal kwakupitia Bing, na utafanikiwa kuziona websites zote mbili za ajira portal.
Andika ajira portal newsMwanzo nlkuwa Niki-search Ajira Portal inakuja zote mbili ila nashangaa sasa hv inakuja moja ile ya login so ili kupata ile main inanitaka niandike ajira tuu.
Andika psrsMwanzo nlkuwa Niki-search Ajira Portal inakuja zote mbili ila nashangaa sasa hv inakuja moja ile ya login so ili kupata ile main inanitaka niandike ajira tuu.
Kila siku unasogeza siku mbeleLeo au kesho ni pdf nono kabsa
Atafika had Desemba 😂Kila siku unasogeza siku mbele
Leo nimeengalai kuna New PDF 15 sehemu za usaili na zaidi ya 5 sehemu ya Tangazo la ajira.Atafika had Desemba [emoji23]
Kwahy J3 tusubir pale sehemu ya placement au siyo mkuuLeo nimeengalai kuna New PDF 15 sehemu za usaili na zaidi ya 5 sehemu ya Tangazo la ajira.
Nadhani kuna kitu kilikuwa katikati sijajua sababu ni nini?
Katibu alkuwa bado hajaanza kaziLeo nimeengalai kuna New PDF 15 sehemu za usaili na zaidi ya 5 sehemu ya Tangazo la ajira.
Nadhani kuna kitu kilikuwa katikati sijajua sababu ni nini?
Ukisema ambao wapo database maana yake n kwamba wataitwa kwenye ajira, hapo suala la nauli hapo lazima upateMDA n LGA waliopo database watafute nauli kabisa hizi halmashauri
Nauli ya dom na kuendea kituonUkisema ambao wapo database maana yake n kwamba wataitwa kwenye ajira, hapo suala la nauli hapo lazima upate
Ebu fatilia vzur comment zangu mbona cjawah kutabir mmKila siku unasogeza siku mbele
Kwani mkuu unasubiri taasisi gani upo moto 🔥 🔥Nauli ya dom na kuendea kituon