mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hao ndo vipanga! GPA yao inaanzia 3.8 hadi 4.9 huko!! Chezea kitaa wewe!! Miaka 3 kitaani kila kitu kichwani kinayeyuka!! Post itakuwa RE-ADVERTISED!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndo vipanga! GPA yao inaanzia 3.8 hadi 4.9 huko!! Chezea kitaa wewe!! Miaka 3 kitaani kila kitu kichwani kinayeyuka!! Post itakuwa RE-ADVERTISED!!
Mwenye 44 na mwenye 2 wote sawa
Ubaya Ubwela
Exactly ndio wao. Hata wale wa Pharmacy Council ni hao hao.Hawa wanaoitwa kwa wingi Wizara ya Afya ndio waliofanya Oral ya TAMISEMI juzi?
Kwa hyo hao hawaendi harmashaurExactly ndio wao. Hata wale wa Pharmacy Council ni hao hao.
Naona wameanza na wizara pamoja na Taasisi ..Baada ya hapo zitafata pdf za HalmashauriKwa hyo hao hawaendi harmashaur
Hao ndio wale vipanga. Hawajui hastle za databaseNaona wameanza na wizara pamoja na Taasisi ..Baada ya hapo zitafata pdf za Halmashauri
Mwajiri si umemuona kwenye pdf lakini??Kwa hyo hao hawaendi harmashaur
Bahati hizi za kimasikhara.Exactly ndio wao. Hata wale wa Pharmacy Council ni hao hao.
Bahati hizi za kimasikhara.
Ukute hawa ndio walipata marks za kawaida kwenye Oral na ndio walikuwa wanaenda kukaa Database.
Nina Imani wale walioperforme vizuri Oral tayari washapangiwa Tamisemi ila imebaki tu ngoma iachiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaitwa blessing in disguise. Baraka zinazokuja kama mkosi. Unapata marks ndogo oral wenzio wanapangiwa kazi we unatupwa database unaibukia NHIF na MSD. Unaanza kupita pita Befoward na kutembelea page za madalali wa viwanja.
Waliopeform vizuri oral ndio wakaitumikie Tamisemi maana uko ndio kunahitaji akili nyingi za utekelezaji uko vijijini😂Bahati hizi za kimasikhara.
Ukute hawa ndio walipata marks za kawaida kwenye Oral na ndio walikuwa wanaenda kukaa Database.
Nina Imani wale walioperforme vizuri Oral tayari washapangiwa Tamisemi ila imebaki tu ngoma iachiwe