Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna comment nimeiona kwenye uzi fulani naomba niipaste hapa;-



"Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha."


Kwa mujibu wa maelezo haya, hizi ajira wanazotoa PSRS sio zile zilizotangazwa. Hizi ni additional posts baada ya Wizara ya Afya kupewa vibali vingine vya kuajiri na kuomba watumishi kutoka PSRS.


Hivyo, mlioomba zile posts ambazo waajiri ni mikoa, posts zenu bado, endeleeni kusubiri. Ikitokea hukupata kule ukapelekwa Wizarani , nayo imekaa vizuri.


Yote kwa yote, kama ni kweli serikali itaita watu wote kama trend inavyoonekana, huu mwaka watu wataingia wengi sana kwenye system.
 
Punguza uongo hakuna kitu km hicho
Basi kama ni uongo matangazo yao hayajakaa sawa, kuanzia tangazo la kazi ambalo lilihusu MDAs na LGAs ,adi kufanya usahili.na hatimaye pdf ambazo zinaandika muajiri ni wizara ya afya (MDAs),swali je hawa LGAs waliohusishwa kwenye tangazo wako wapi??
 
Kuna comment nimeiona kwenye uzi fulani naomba niipaste hapa;-



"Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha."


Kwa mujibu wa maelezo haya, hizi ajira wanazotoa PSRS sio zile zilizotangazwa. Hizi ni additional posts baada ya Wizara ya Afya kupewa vibali vingine vya kuajiri na kuomba watumishi kutoka PSRS.


Hivyo, mlioomba zile posts ambazo waajiri ni mikoa, posts zenu bado, endeleeni kusubiri. Ikitokea hukupata kule ukapelekwa Wizarani , nayo imekaa vizuri.


Yote kwa yote, kama ni kweli serikali itaita watu wote kama trend inavyoonekana, huu mwaka watu wataingia wengi sana kwenye system.
Ina maana hapa kuna uwezekano hawa wanaoitwa na wizara ya afya walitakiwa kuwepo kanzi data au😂pengine wale waliofaulu ndo wako kwenye iyo pdf ya tamisemi ,narefer kwa mkuu @ Mwifa
 
726 au 721 kama sijakosea
Jumlisha na za Jana 65 idadi unatimia, mana Jana pia waliita kama 65 iv kama sikosei ukijumlisha na hizi za Leo 600+ idadi inatimia, kwahyo Kwa upande wao idadi ishatimia teali according to the tangazo la nafasi wanazohitaji
 
Unapangiwa kule ulikoomba!! Hupangiwi kutegemea marks za usaili!
Wale ambao wangebaki database wanapangiwa popote penye nafasi.

Hawa wanaoitwa Wizara ya Afya na ilihali walifanya Oral ya TAMISEMI watakuwa walipata marks za kawaida na walikuwa wanaenda kukaa Database, bahati nzuri Wizara ikawa na uhitaji na ikaomba kupatiwa Watumishi ndipo wakapangiwa kazi kule.
 
Basi wangeunganisha kwenye sehemu ya mwajiri kwa maneno ya muajiri wizara na tamisemi,pale wamemuandika wizara tu nadhani ni swala la muda kama alivyosema @ mwifa
Haiwezekani upangiwe Mwajiri ni Wizara ya Afya halafu iwe Tamisemi.

Wizara ya Afya na Tamisemi ni wizara 2 tofauti japo zote zina simamia masuala ya Afya kwa kugawana ngazi(level) za Vituo vya Afya.

Hivyo kila Wizara ikipokea watumishi itawapangia kwenye Vituo vilivyo chini yake.

Kuhusu PDF la Tamisemi, hilo lipo ila tusubiri wamalizane na Uchaguzi kwanza watalitoa. Pia si mumeona wamesitisha usahili wa Walimu! hapa wanapisha kwanza Uchaguzi.

Mwaka 2022 kulikuwa na Sensa, ilituchelewesha sana PDF za mikando na ndipo mwaka huo huu uzi ulikuwa wa moto sana kuhusu hizi mambo za usahili.

Sensa ilipopita tu, pdf za mikando zikafurika hadi tukawa na mapanic ya kukandwa.
 
M
Jumlisha na za Jana 65 idadi unatimia, mana Jana pia waliita kama 65 iv kama sikosei ukijumlisha na hizi za Leo 600+ idadi inatimia, kwahyo Kwa upande wao idadi ishatimia teali according to the tangazo la nafasi wanazohitaji
Kuu jana zilitoka za pharmacy na nurse bachelor, labda kama ni zile pdf za trh 16 afu zile walikuwa 45
 
Back
Top Bottom