FAUDHI TWAIBU
Member
- Feb 22, 2025
- 37
- 25
Pal bad oral interview ipMaswali mawili nimejib ovy kat ya matano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pal bad oral interview ipMaswali mawili nimejib ovy kat ya matano
Hakuna watu wanafki kama panelistOral nilijibu maswali yote mkuu wangu yalikuwa yanajibika na nilijibu kwa unyenyekevu mkubwa kwa sauti ya kusikika na namshukuru Mungu siku hiyo alinipa kiingereza ambacho hakina mtikisiko
sijisifu ila ni ukweli na niliona ma panelist wakitikisa vichwa na kutabasamu sasa sijui kunitia moyo au kukubali nilichodeliver
Ulifanya lini hiyo oral?Maswali mawili nimejib ovy kat ya matano
Hakuna namna unaweza jua zaidi ya kusubiria tu kama utaitwa kaziniSasa apo utajuaje Kam up UK kwenye mfumo wao uk
Alaf walitoa kaZ Kisarawe MPK leo awakaita kwenye usail tok mwaka janPal bad oral interview ip
Mwez wa 10 mwak janUlifanya lini hiyo oral?
Wale jamaa wanajua kukupa moyo yaani unatoka ukiamini mkeka umetiki wakija kutoa majina holaa😄😄Hakuna watu wanafki kama panelist
I agree mkuuHakuna watu wanafki kama panelist
Endelea kuomba si kada ya maafisa watendaji hao wanahitajika kila siku utafikiwa tu hata mwaka bado kuwa na imani ila usiache kuomba tena na tena zinapotangazwa nafasi zingine.Mwez wa 10 mwak jan
Matokeo ya written ya na matter sana sema ni vile sisi tunawaza tu kuingia oral mtu aliepata 98 awez kufanana na mtu aliyepata 57 kamwe japo wote mmefauluI agree mkuu
Nakumbuka nilipomaliza kumwaga vitu mule ndani wakati natoka yule katibu ambae ndie alikuwa anatuita kuingia interview room alinambia hongera kijana mimi ndio HR wa hapa umetokea wapi...Nikamjibu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, akanambia ukipata kazi tutaonana ofisini kwangu
Nikahisi lolote linaweza tokea matokeo yake pdf la placement limetoka nimeliwa kichwa so far waliyemchukua ndie alituongozea written so panelist walikuwa fair tu kumpa yule kazi maana kwa written mm nilikuw mtu wa 3
Jamaa wanafki sana alooo huwez amini sema unatakiwa kuendelea kuombaWale jamaa wanajua kukupa moyo yaani unatoka ukiamini mkeka umetiki wakija kutoa majina holaa😄😄
Kabisa mkuu ngoja tuendelee kutumia maji ya upako na mafuta labda tutachomokea uko databaseJamaa wanafki sana alooo huwez amini sema unatakiwa kuendelea kuomba
Inakuaje unataka kuajiriwa serikalini na huwezi kuandika vizuri?Kwaiy AP kak so waliopigia xim walifanyaj
Bado unapumua kaka😂😂umezoeq kusikia uongo masikio yako hayoo alooo,Anaacha kusema ukweli kijana anasingizia
Kuna ubaya gani hapo,hata wewe kama hujiamini tutakuchekia vilevileKwa hiyo jirani yako amekupa number yake umchekie?
Mimi.sikufanya Engineer,yan tangazo Lao.sikuliona kabisa ndio mana nlishtuka siku ile nkasema mbona sio utumishi hawa na nliombea utumish,aseewe hukuwepo rahsully
Watu mnakaza mafuvu jamani😂😂kazi yenu kufosi mambo,haya mzee ndio mieeJirani yako ndio wewe😀😃😀😃😀
Mwezi wa 10Ulifanya lini hiyo oral?
mie mwenyewe niliona tangazo la utumishi hilo la kwao sikuliona. sasa hapo ndo nashindwa kuelewa inamaana na utumishi watarudia tena usahili au ndio imetokaMimi.sikufanya Engineer,yan tangazo Lao.sikuliona kabisa ndio mana nlishtuka siku ile nkasema mbona sio utumishi hawa na nliombea utumish,asee
Inakuaje unataka kuajiriwa serikalini na huwezi kuandika vizuri?