Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oral nilijibu maswali yote mkuu wangu yalikuwa yanajibika na nilijibu kwa unyenyekevu mkubwa kwa sauti ya kusikika na namshukuru Mungu siku hiyo alinipa kiingereza ambacho hakina mtikisiko

sijisifu ila ni ukweli na niliona ma panelist wakitikisa vichwa na kutabasamu sasa sijui kunitia moyo au kukubali nilichodeliver
Hakuna watu wanafki kama panelist
 
Hakuna watu wanafki kama panelist
I agree mkuu

Nakumbuka nilipomaliza kumwaga vitu mule ndani wakati natoka yule katibu ambae ndie alikuwa anatuita kuingia interview room alinambia hongera kijana mimi ndio HR wa hapa umetokea wapi...Nikamjibu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, akanambia ukipata kazi tutaonana ofisini kwangu

Nikahisi lolote linaweza tokea matokeo yake pdf la placement limetoka nimeliwa kichwa so far waliyemchukua ndie alituongozea written so panelist walikuwa fair tu kumpa yule kazi maana kwa written mm nilikuw mtu wa 3
 
I agree mkuu

Nakumbuka nilipomaliza kumwaga vitu mule ndani wakati natoka yule katibu ambae ndie alikuwa anatuita kuingia interview room alinambia hongera kijana mimi ndio HR wa hapa umetokea wapi...Nikamjibu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, akanambia ukipata kazi tutaonana ofisini kwangu

Nikahisi lolote linaweza tokea matokeo yake pdf la placement limetoka nimeliwa kichwa so far waliyemchukua ndie alituongozea written so panelist walikuwa fair tu kumpa yule kazi maana kwa written mm nilikuw mtu wa 3
Matokeo ya written ya na matter sana sema ni vile sisi tunawaza tu kuingia oral mtu aliepata 98 awez kufanana na mtu aliyepata 57 kamwe japo wote mmefaulu
 
Mimi.sikufanya Engineer,yan tangazo Lao.sikuliona kabisa ndio mana nlishtuka siku ile nkasema mbona sio utumishi hawa na nliombea utumish,asee
mie mwenyewe niliona tangazo la utumishi hilo la kwao sikuliona. sasa hapo ndo nashindwa kuelewa inamaana na utumishi watarudia tena usahili au ndio imetoka
 
Back
Top Bottom