granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
i bet you are notAre you okay Upstairs?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i bet you are notAre you okay Upstairs?
Dodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasaraNajua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu ( Watazamaji ) Laki Moja ( 100,000 ) na leo Awamu ya Rais Samia ( ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais ) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji ( Watu ) Elfu Thelasini ( 30,000 ) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Sawa 'Chawa Juha' wa Mama.Dodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa chawa kilaza wa mwendazakeSawa 'Chawa Juha' wa Mama.
huyo atakuwa mgogo anashabikia tu kwa vile ni dodoma bila kuangalia tija, ni sawa na wasukuma walivokuwa wanashabikia pesa kutapanywa chato kwa vitu ambavo havina tija kwa taifagDodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasara
Ungeandika tu kwa Kiswahili ili kujiepushia aibu1.They differ into preferences,2,MGL is most needed public attention 3.budget,4.time,
Tanzania inahitaji sana Watu Werevu ( Intelligent ) kama Wewe wenye kujua Kufikiri kwa mbali ( Critical and Rational Thinkers ) kama Wewe na siyo Mipumbavu ( Fools ) mingi iliyoko n hata hapa Jamvini na katika hu Uzi wapo / ipo.Imekuaje idadi imepungua wakati uwanja ulikuwa ni kwa pesa ya msaada?
Au chenji wanataka jenga indoor facility?
Tutajuaje kama Kasoma hadi University?Ungeandika tu kwa Kiswahili ili kujiepushia aibu
Dodoma pekee ndio inastahili? Je kuna watazamaji kiasi gani wa kujaza uwanja mkubwa kama huo, na je Tanzania una mwemko wa michezo, ni bora kubalance fedha na miji mingine ipate viwanja sio vizuri kufanya jambo kwa muhemko na kupata sifa...naona Dodoma wanafaa kujengewa uwanja wa kubeba watu 5000 elfu tano au 10000 elfu kumi sioni future ya kimichezo kwa Dodoma na Tanzania kiujumla.Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.
GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu ( Watazamaji ) Laki Moja ( 100,000 ) na leo Awamu ya Rais Samia ( ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais ) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji ( Watu ) Elfu Thelasini ( 30,000 ) tu?
Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Very Foolish. Uwanja tunajengewa na Mfamle wa Morocco kuna Hela yoyote labda ameiomba Tanzania ya Rais Samia?Miradi haijengwi kwa ndoto, inajengwa kwa rasilimali zilizopo na vipaumbele vilivyoko wakati husika.
endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chatoTanzania inahitaji sana Watu Werevu ( Intelligent ) kama Wewe wenye kujua Kufikiri kwa mbali ( Critical and Rational Thinkers ) kama Wewe na siyo Mipumbavu ( Fools ) mingi iliyoko n hata hapa Jamvini na katika hu Uzi wapo / ipo.
Cc: akanyambasira, Usher-smith MD etc
Very poor thinking from you Nincompoop.Dodoma pekee ndio inastahili? Je kuna watazamaji kiasi gani wa kujaza uwanja mkubwa kama huo, na je Tanzania una mwemko wa michezo, ni bora kubalance fedha na miji mingine ipate viwanja sio vizuri kufanya jambo kwa muhemko na kupata sifa...naona Dodoma wanafaa kujengewa uwanja wa kubeba watu 5000 elfu tano au 10000 elfu kumi sioni future ya kimichezo kwa Dodoma na Tanzania kiujumla.
Nincompoop.endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chato
Dar yenyewe wana struggle kujaza watu 60k taifa, sembuse laki Dodoma 🤣endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chato