Kwanini Uwanja wa Mpira Dodoma ulikuwa uwe wa kuchukua Watu 100,000, lakini Samia anaujenga wa Watu 30,000 tu?

Kwanini Uwanja wa Mpira Dodoma ulikuwa uwe wa kuchukua Watu 100,000, lakini Samia anaujenga wa Watu 30,000 tu?

Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.

GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu ( Watazamaji ) Laki Moja ( 100,000 ) na leo Awamu ya Rais Samia ( ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais ) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji ( Watu ) Elfu Thelasini ( 30,000 ) tu?

Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Dodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasara
 
Dodoma hakuna wapenda mpira wa kujaza uwanja wa 100,000/- , ni hasara
huyo atakuwa mgogo anashabikia tu kwa vile ni dodoma bila kuangalia tija, ni sawa na wasukuma walivokuwa wanashabikia pesa kutapanywa chato kwa vitu ambavo havina tija kwa taifag
 
Wa watu Laki 1 sijui elfu 80 ni ufafhili wa Morocco,fuatilia kujua kama wamejitoa. Ila huo wa elfo 30 ni pesa za ndani utajengwa Dodoma, Arusha-Lemguru, na Mbeya
 
Imekuaje idadi imepungua wakati uwanja ulikuwa ni kwa pesa ya msaada?

Au chenji wanataka jenga indoor facility?
 
Miradi haijengwi kwa ndoto, inajengwa kwa rasilimali zilizopo na vipaumbele vilivyoko wakati husika.
 
Imekuaje idadi imepungua wakati uwanja ulikuwa ni kwa pesa ya msaada?

Au chenji wanataka jenga indoor facility?
Tanzania inahitaji sana Watu Werevu ( Intelligent ) kama Wewe wenye kujua Kufikiri kwa mbali ( Critical and Rational Thinkers ) kama Wewe na siyo Mipumbavu ( Fools ) mingi iliyoko n hata hapa Jamvini na katika hu Uzi wapo / ipo.

Cc: akanyambasira, Usher-smith MD, Percival etc
 
Najua mtachukia ni nani kanipa Taarifa hii GENTAMYCINE, ila kamlaumuni Rais wa TFF Karia ambaye akifanyiwa Exclusive Interview na Azam Tv lilimchoropoka na akaliropoka hili na kama Kawaida yangu Bingwa na Mzee wa Kunyaka ya Muhimu tu Nikalinyaka na leo naliwasilisha.

GENTAMYCINE naomba kujua ni kwanini Plan ya Awali ya Hayati Magufuli ilikuwa ni Kujenga Uwanja mkubwa wa Michezo wa Kuchukua Watu ( Watazamaji ) Laki Moja ( 100,000 ) na leo Awamu ya Rais Samia ( ambaye wakati wa Makubaliano ya awali alikuwepo kama Makamu wa Rais ) tunaambiwa kuwa sasa utajengwa wa kubeba / kuchukua Watazamaji ( Watu ) Elfu Thelasini ( 30,000 ) tu?

Nasubiria sasa Majibu yenu hapa JF.
Dodoma pekee ndio inastahili? Je kuna watazamaji kiasi gani wa kujaza uwanja mkubwa kama huo, na je Tanzania una mwemko wa michezo, ni bora kubalance fedha na miji mingine ipate viwanja sio vizuri kufanya jambo kwa muhemko na kupata sifa...naona Dodoma wanafaa kujengewa uwanja wa kubeba watu 5000 elfu tano au 10000 elfu kumi sioni future ya kimichezo kwa Dodoma na Tanzania kiujumla.
 
Na nazani eneo lile wameanza kuzungusha mabati kwq ajili ya ujenzi...

Eneo lililo tengwa ni kubwa ila eneo linalo fanyiwa ujenzi ni dogo kitu ambacho kiliniacha na mshangao

Ila sasa naanza kuelewa kuwa tuna tengeneza chamanzi yetu pale
 
Miradi haijengwi kwa ndoto, inajengwa kwa rasilimali zilizopo na vipaumbele vilivyoko wakati husika.
Very Foolish. Uwanja tunajengewa na Mfamle wa Morocco kuna Hela yoyote labda ameiomba Tanzania ya Rais Samia?

Kuna Rasilimali zozote za Tanzania Morocco na Mfalme wao Wameiomba Tanzania?

Serikali ya Taifa moja Kubwa la Kiarabu dunian lilivyojenga Msikiti mkubwa Dar es Salaam nzima kama siyo Tanzania nzima Kinondoni na leo Unatumika na Waumini wa Kiislamu waliiomba Pesa ya Watanzania au kuchukua hata Theluthi tu ya Rasilimali ya Tanzania yako?

Huwa nachukia mno Mijitu Mipumbavu na Miswahili hapa JamiiForums na huwa nakosa / sina Uvumilivu nao Abadan.
 
Tanzania inahitaji sana Watu Werevu ( Intelligent ) kama Wewe wenye kujua Kufikiri kwa mbali ( Critical and Rational Thinkers ) kama Wewe na siyo Mipumbavu ( Fools ) mingi iliyoko n hata hapa Jamvini na katika hu Uzi wapo / ipo.

Cc: akanyambasira, Usher-smith MD etc
endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chato
 
Dodoma pekee ndio inastahili? Je kuna watazamaji kiasi gani wa kujaza uwanja mkubwa kama huo, na je Tanzania una mwemko wa michezo, ni bora kubalance fedha na miji mingine ipate viwanja sio vizuri kufanya jambo kwa muhemko na kupata sifa...naona Dodoma wanafaa kujengewa uwanja wa kubeba watu 5000 elfu tano au 10000 elfu kumi sioni future ya kimichezo kwa Dodoma na Tanzania kiujumla.
Very poor thinking from you Nincompoop.
 
endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chato
Nincompoop.
 
endelea kuvimbishwa kichwa na popoma wenzako, hakuna mtu mwenye akili anaweza jenga uwanja wa watu laki dodoma, ni mpuuzi kama mwendazake tu ndo anaweza fanya huo upuuzi, lama alioufanya kule chato
Dar yenyewe wana struggle kujaza watu 60k taifa, sembuse laki Dodoma 🤣
 
Back
Top Bottom