Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

Uchaguzi huu umedhulumiwa.Hilo liko wazi kwa kila mtu ikiwa ni pamoja na wewe.Baada ya CCM kulawiti uchaguzi huu jiandae kwa wananchi wote kuanza kulawitiwa ikiwa ni pamoja na wana CCM wote.Kwenye hilo hakutakuwa na ubaguzi.Shetani(dikteta) huwa hana rafiki.Kuzimwa kwa internet/mitandao ya kijamii ni manyunyu tu,the worst is yet to come!Usifikiri kuwa upo salama kwa sababu upo CCM.

Stephano Mgendanyi haupo salama wewe wala familia yako wala ndugu zako wala marafiki zako.Njia pekee ya wewe kuwa salama ni kusimamia haki,kupinga dhuluma hii na kuwa upande wa wale wote wanaopinga ulawiti huu wa demokrasia Tanzania uliofanywa na CCM.
 
Uko wapi nikupitie twende barabarani?
 
kama hawana sera mbovu kwanini imebidi mtumie mabeki ya kura feki ili kushinda??
Hamna mabegi feki ya kura mkuu, uchaguzi huu ulikuwa wa wazi kabisa angalia tangu kipindi Cha kampeni ccm walikuwa wamepania sana walifanya kampeni kwa kishindo, magufuri alikuwa anatembea na gari percent kubwa ya wilaya kapita na watu walikuwa wengi, siasa ni sayansi. Wakati ccm wanaangaika na wapiga kura, cdm na atc wanapambana na membe
 
Una mahaba binafsi na CCM ila ukweli unaujua. Umetumia muda wako kuandika waraka mrefu ukijizungumzia wewe mwenyewe ukirefer watanzania.

Sisi tulio huku kwenye field ndo tunajua uhalisia jinsi mambo yalivyoenda, naomba niishia hapa.
 
Siku zote mnajitia upofu na ukiziwi, sikuwahi kuamini kama kura huwa zinaibwa na CCM. Ila uchauguzi huu nimejionea kwa macho yangu.
 
Siku zote mnajitia upofu na ukiziwi, sikuwahi kuamini kama kura huwa zinaibwa na CCM. Ila uchauguzi huu nimejionea kwa macho yangu.
Sehemu gani umeona? Au zile karatasi walizokuwa wanazichoma Moto kawe.
 
Huu ndio msingi wa haya yoote tunayoyaona leo, mleta mada ameamua kufurahisha watawala (mabwana) zake tu!
 
Sehemu gani umeona? Au zile karatasi walizokuwa wanazichoma Moto kawe
Mengine siwezi kusema hapa, ila nimeshuhudia mengi uchaguzi huu na roho inaniuma sana kwa yote yanayotendeka na chama changu pendwa cha CCM.
 
Hao wamechaguliwa na NECCCM, POLICCM, nk.. siyo wananchi
 
Vimeanguka kwasababu tume ya uchaguzi ya Tanzania si tume huru Bali Ni mawakala wa CCM. Kwahiyo walihakikisha wanaina kura kwa namna yoyote ile. Upinzani ulishanda zaidi ya uchaguzi mwingine wiwote uliowahifanyika nchini tangu vyama vingi vianze.
CCM ingekuwa inakubalika kwa jinsi hii mnavyojaribu kutuaminisha, msingekuwa na sababu ya kuwatumia.

1. Tume kutunga kanuni za kishenzi za kuwalinda.
2. Tume kuwapendelea CCM na kuwaengua wavombea wa upinzani kwa kiwangi kill.
3. Tume inaona kasoro zinazohusu upinzani tu, ccm hawafanyi makosa.
4. Police wanakandamiza wapinzani na kulinda CCM.
6. Police badala ya kulinda amani wanasaidia kuiba kura.
7. Mawakala wa upinzani wanazuiliwa kusimamia kura zao.
8. Mnaingiza kura feki kwenye mzunguko.

Kama mnakubalika si mngeacha uchaguzi ufanyike kwa Uhuru muone Ni kitu gani kingetokea? Halafu eti mnajisifu mmeshinda u haguzi wakati mnajua mumeiba kura.
 
Swali la ziada "Kwanini matangazo ya matokeo YA KURA YANASHABIHIANA MIKOA TOFAUTI?"
Mpaka imeitwa saresare maua!

Walipoambiwa "msinichanganyie betri na gunzi..."maccm ina maana hayakujua maana ya hayo maagizo.
 
Kama kweli wanajiamini zipigwe kura za mlolongo mtaani wajionee matokeo.
 
Naona mna halalisha UJAMBAZI.
Sasa Kari ya ccm na chadema ni nani aliyechokwa na wananchi?.
Mnaposema upinzani wamechokwa na wananchi lakini mnatumia wizi kwa kuwa kuwaondoa si Sawaaa.
Ilitakiwa wananchi wenyewe wapige kura.
Bado hoja zenu hazina mashiko.

 
Point is wizi wa hali ya juu !
Mtalipa dhuluma hizi, hata kwa pacemaker kuacha kufanya kazi !
Ubunge CCM

QUOTE="Mr_X, post: 37168685, member: 321847"]
Tatzo lao walikuwa na fikra kwamba Watanzania bado wajinga vilevile Kila kitu kupinga kisa wao wapinzani, washaonyeshwa makali sasa & hope 2025 watajipanga kwa sera nzuri.
[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…