Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Sorry kwa watakao feel offended

Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.

Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!

Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.

Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.

Jibu kama mtu usie na mihemuko!!
Sisi weusi hatuwezi kujkujibu. Hebu jibu we mweupe
 
Waafrika hawajawahi kutembea kwenda kutafuta makoloni nchi za mbali na hivyo mtazamo wetu wa kidunia ni wa "kishamba'', nikiwa na maana kuwa tuna mtizamo tofauti kukabiliana na changamoto tofauti na nchi za ulaya, marekani ya kaskazini, bara arabu, Asia na mashariki ya mbali (China, Korea, Japan n.k)....
You’re smart! Your reasoning capacity belongs to less than 2% of total African race. Thank you for sharing this.
 
Mweusi anamkandamiza mweusi mwenzake kiufupi Atupo kwa ajili ya kufaidishana tupo kwa ajili ya kutambiana

Mtu akipata wazfa tu anawaza kulipa kisasi. Ishara ndogo embu angalia tozo iyo nakwambia ivi# tozo wata kata na hutaona mabadiliko yeyote ya kustua.
 
Sorry kwa watakao feel offended

Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.

Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!

Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.

Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.

Jibu kama mtu usie na mihemuko!!
Uvivu, elimu, hali ya hewa, ardhi na mazingira bora ya lishe, kuridhika..
 
Sikatai ila sio watumwa na fikra mbovu za ubaguzi wa kidini km sisi wapogolo ww angalia wahindi wana dini yao ama wachina wana dini yao hawataki na hawakubagui kwa ajiri ya dini na wanapambana na elimu sasa wako juuu.
Kwa hiyo waafrika wana dini ipi inayofanana.?
Mana kila kabila lilikua na dini yake na mila zake.

Na kabla ya dini za leo waafrika walibaguana sana.
Walidhulumiana sana.
Waliibiana sana.Mpaka leo Wafugaji na wakulima hawaelewani . Mpaka leo wafugaji wanaibiana sana.
Wazungu walikua hivyo hivyo kwa karne nyingi lakini waliketi chini na kurafakari juu ya haki wao kwa wao baada ya kutandikana sana.
Waafrika tuna ubinafsi mkubwa sana.

Dini sio tatizo tatizo ni ule ubinafsi tulio nao. Watu wana roho mbaya Mpaka wanatamani waende peke yao huko Mbinguni. Yaani MTU ameshasikia kuwa Mbinguni ni mahali pazuri anaanza kupigania nafasi ya huko kwa kuua wengine wakati hata hajawahi kufika.
Madaraka watu wanauana kuyatafuta kwa ajili ya kupata maisha mazuri.
Kumbuka Alfonce Mawazo aliuawa na makada wa CCM kwa sababu ya Ubunge. Ubunge ungekua hauna chochote watu wasingeua wengine kwa sababu ya Ubunge.

Waafrika karne hii bado wanauana ndugu kwa sababu ya vyama vya siasa ambavyo havina nafsi wala roho. Ni jina tu KANU. MTU unamuua mwenzako au unamfunga gerezani kwa kesi za uongo na kuumiza familia yake kwa sababu ya neno KANU au CCM. Wenzetu walishaondoka kwenye huo ujinga wa imani Kali za kisiasa kwa watawala ndio maana wanawaza maendeleo zaidi.

Dini ni imani na ni asili ya binadam wa kila taifa. Dini zetu hazikujipambanua juu ya kesho ya mwanadam ndio maana hazikuweza kufua dafu mbele ya dini za Mashariki ya Kati.

Warumi na wagiriki na wamisri ni jamii zilizokuwa zimeendelea na kuelimika sana na zilikua na dini zao lakini walizipima dini za mashariki ya Kati na kuzikubali mana zilizungumzia haki.

Huwezi kuendelea kama hauna jamii inayotenda haki.

Haki ni msingi wa maendeleo kwenye jamii.

Ukipita kwenye shule za serikali baada ya Uhuru utaona vichekesho vitupu. Shule imejengwa ina mwaka mmoja ina nyufa kila mahali. Lakini shule iliyojengwa miaka mia moja iliyopita ipo imara. Ina vyoo vya maji ,n.k. Hapo mzungu na mwafrika anajipambanua wazi kuwa mwafrika ana ubinafsi na roho mbaya.
Dini inakatazo hayo yote.

Watawala wanatumia muda mwingi kulimbukiza Mali kwa ajili ya familia zao bila kujali kundi kubwa la waafrika maskini wanaozaliwa na watakaohitaji vitu kama Afya, makazi,elimu na ajira. Ukiwauliza wanakuambia wazungu wanatuibia. Mtu huyo huyo ni kada wa Chama tawala. Alikua meneja wa chama cha ushirika akaiba na kujenga hoteli. Kwa sababu ni mtandao wa kichama ,akaenda akagombea udiwani akawa Meya au Mwenyekiti wa halmashauri ,akawa anashirikiana na Mkurugenzi ambaye ni kada wa chama wakawa wanajipa tenda za kumwaga matope barabarani kwa kutumia kampuni zao za ujenzi wa barabara . Kila Mwaka wanamwaga vifusi na barabara inaharibika mana wamenunua magreda kwa kujua kuwa barabara wataijenga kwa kiwango duni ili kazi ya kuliibia taifa iendelee. Mzunguko unakua hivyo. Diwani anagombea Ubunge anapata kwa sababu ya rushwa na kupendelewa.
Baadae anakua waziri wa Elimu. Anashirikiana na wahindi kuweka mashine za kuchapisha vitabu.
Anabadili mitaala kila mwaka ili auzie serikali vitabu. Matokeo yake wazazi kila mwaka wananunua vitabu mana vya mwaka jana havimsaidii tena mwanafunzi anayeingia darasa hilo. Waziri huyo anasomesha watoto wake nje. Anatumia fedha nyingi kulipoa ada huko ulaya. Fedha za maskini zinapotelea ulaya.
Mtoto wake anamaliza shule ulaya anakuja kuwa Mkurugenzi wa Ewura. Kampuni inayowanyonya waafrika bila kuzalisha chochote.
Tulitegemea afanye kazi huko Ulaya atuibie teknolojia lakini wapi. Anakuja anaandaliwa kuwa mbunge au mkuu wa Wilaya.
Mzunguko wa kundi la watu wanaonufaika na umaskini na elimu duni ya mwafrika linazidi kuwa kubwa.

Wanaonufaika na umaskini na elimu duni ya mwafrika ni watawala wa Wafrika zaidi kuliko wazungu.
Wazungu watabaki kuwa juu kwa sababu ya roho mbaya za waafrika.
Mfano tu miamala kwenye simu. Mzungu amegundua teknolojia ya mawasiliano lakini waafrika wanaitumia kukomoana na kuchaji pesa nyingi kuliko mgunduzi.
Gari Japan ni bei rahisi kuliko kodi wanayokamua waafrika kwa waafrika wenzao.

Dawa zinatoka India kwa bei Rahisi sana. Lakini zikishakanyaga ardhi ya Afrika zinauzwa ghali sana Mara tatu ya bei yake.Asiyeweza kununua afe.
Halafu wanapumbaza watu kwa kusema Mzungu ndiye adui.

Kubadilika ni kuondokana na mawazo ya kijinga ya kumlaumu Mzungu asiyepo kwenye Hazina wala picha ya fedha za mataifa ya Afrika.
Leo Wasomali na Waethiopia wanataka kwenye zao Afrika ya kusini kutafuta maisha ndani ya Afrika lakini wanakamatwa kama wahujumu uchumi na kugungwa na waafrika wenzao.

Mwafrika analima bangi yake kama zao la asili na lina soko ulaya lakini shamba linafyekwa na mwafrika mwenzake.
Unataka Utajiri gani wa asili wakati uliopo kuna sheria kandamizi kila kona na zimewekwa na waafrika wenzetu tuliowapa madaraka wakageuka kuwa wakoloni.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Sorry kwa watakao feel offended

Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.

Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!

Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.

Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.

Jibu kama mtu usie na mihemuko!!

Leo Tembo wanaua watu badala ya watu kuua Tembo na kuuza meno kwa Mabeberu kisha watoe mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu.

Mungu alipowaweka Tembo wengi Afrika hakuwa na maana ya utalii tuu Bali na matumizi ya hao tembo ikiwemo meno yake.
Tembo wakizidi ni hatari kwa jamii inayowazunguka hivyo ni lazima pawe na wasomi wenye kuwezo kufanya utafiti wa kubalance kwa kuwapunguza wale tembo waliozeeka sana na wanaokuafa meno yao yavunwe na kuuzwa kwa ajili ya maendeleo ya Mwafrika.

Utajiri wetu tunashindwa kuusimamia wenyewe na kuubadili kuwa fursa.
Tanapa wanalipwa mamilioni kwa kulinda wanyama lakini wanasahau kuwa binadam ana haki yake zaidi endapo mnyama atamdhuru.


Mwafrika anahitaji Kuishi kwa Haki, upendo na kuweka pembeni Chuki ,roho mbaya na ubinafsi. Maendeleo ya Afrika ni rahisi sana kama tungekua na watawala waaminifu wasiopendelea watu kimakabila ,kidini na kivyama.

Hivi ni sahihi kumfunga mbowe kwa Ugaidi kwa sababu tu Sabaya yupo gerezani kwa matendo yake maovu aliyoyafanya kama mbinu ya kuua upinzani?
Au ni mbinu nyingine mbadala wa Ile ya sabaya na MaDC wengine kutumiwa na Polisi kuua upinzani awamu hii ya Sita. ?
Maendeleo hayana vyama lakini Afrika maendeleo ni ya watawala kukaa mafarakani kwa muda mrefu na vyama vyao kwa kuua na kutesa wapinzani wao.

Patrice Lumumba asingeuawa na Wabeligiji kama Sio Mabutu na kundi lake kumsaliti. Hakuna Mzungu mbaya bila Mwafrika mbaya kwa waafrika wenzake.

Wazungu walikuja Afrika kibiashara lakini wakagundua kuwa kuna watawala au machifu wengi waliokuwa wanatamani maisha ya kifahari kuliko wazungu wenyewe. Wakawatumia hao hao kupora Mali za Afrika na kuwaletea bunduki ili wawaue wale wote waliokua wanajaribu kuwapinga wale machifu wetu.

Mapaka leo tunaona gharama kubwa na bajeti zetu zinaishia kwenye ufahari na matumizi ya watawala badala ya kuwekeza kwenye kilimo,Madini ,gesi, misitu ,uvuvi n.k. Wanakwapua pesa mitaani kwenye miamala isiyozalisha chochote zaidi ya watu kutumiana pesa za misiba na ugonjwa.
Watu wanachanga pesa za mgonjwa au msiba kisha Mwigulu na Ndugai wanakuja kuzichukua eti zikajenge barabara lakini wao kwa Mwezi wanalipwa mamilioni bila kukatwa kodi na kule benki hawakupandisha tozo mana ndipo mishahara yao mapesa yao wanakoweka.

Afrika hatuwezi kuendelea kwa kutumia kipimo cha Maendeo cha mzungu na sheria za mkoloni na katiba za kikoloni. Dunia ilishahama kwenye ukoloni na masheria yake ya kugandamiza watu. Tutoke huko twende kwenye Katiba ya sasa inayoendana na mahitaji ya sasa na sharia na mazingira ya sasa.

Maendeleo hayana rangi .

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni idea amekuvuruga mzungu..lini mwafrika amekuwa mtu mvivu. Shida tuliyonayo ni ushamba wa maendeleo kuanzia viongozi mpaka mtoto mdogo.
Ningeandika sana ila ngoja nirelax
 
Kwenye dini ndo walituweza [emoji24][emoji24]yaan kuna makundi ya watu wanajiona ni miungu watu yaan watakatifu .Tutakapo kuja kugundua ujanja wao huu tutapiga hatua .Dini imetufanya tuonane si ndugu.
Ndio dini imetuvuruga sasa hivi waafrika hawawezi oana kisa dini.
 
Unafikiri elimu yetu inautofautisana na ya huku mkuu maana tumeikopi kwao pia tukarekebisha kidogo sana
Hujacopy kitu kwao zaidi ya maandishi , filosofia ya elimu ulaya ni tofauti kabisa na yetu. In short filosofia yetu ni kujua kisoma na kuandika
 
Waafrika kinachotu cost ni roho ya kwanini tu! Roho ya kichawi ndio imetutawala na wivu baina yetu! Kifupi ni ubinafsi tu.

1.Hatuwezi kusogea kama kila anayeonesha nia ya kuleta mabadiliko anapigwa vita. Waafrika watahakikisha umeliwa nyama au hufanikiwi with selfish reasons.

2. Wenye nafasi kubania njia ya wengine kutoboa kwa hofu ya kupokonywa mamlaka😀 maofisini mazee yamejazana ila kijana ukijiependeza tu wanakufanyia figisu utimuliwe amuweke mwanae au ndugu yake.

3.Nchi kuigeuza mradi wa familia na kujineemesha kwa rasilimali huku tukisahau professionalism and solidarity! Wadhifa mtu hupewa aihudumie jamii yake kwa ujumla iwe na maisha bora yeye anaitumia hio kujenga genge la unyang’anyi wa fedha za umma.

Kwa kutokuwa na mifumo imara ya utawala na kusimamia rasilimali zetu tutaendelea kuwa maskini wa kutupwa
 
Mkuu DINI,UKABILA,URAFI WA MADARAKA,UBINAFSI NA UCHAMA.Haya ndo matatizo yanayo tupa tabu waaafrica.Uliyo andika ni kweli tupu tena nakubaliaa na ww asilimia 100.Viongozi wetu ndo wamekomaa kutoiacha elimu ambayo hamsaidii mwafrica mfano tu kwetu Tz tuna maprofesa wa kada mbalimbali hawana msaaada wowote kwa nchi.Mao wa china alipo ona kundi furani ndo wamejiona nchi ni yao aliwakamata wote akaua sana na ndo alie changia kwa kiasi kikubwa wananchi kuheshimu mali za serikali na kufanya kazi kwa bidiii.Sasa leo kwetu unakuta tunataka tulete maendeleo wakati hao wanao taka hayo maendeleo wao mishahara yao haikatwi kodi !!Ukubwa wa bunge tu na hela inayoenda pale kwa mwezi ni nyingi sana lakini hawajadili kuona ni matumizi mabovu ya kodi.Sisi waafrica kwa kweli tunamatatizo sugu mengi sana.
Tukikata tutoke kwenywe huu utumwa kwanza hawa viongozi waliopo watolewe wote tuanze upya na tutunge sheria kali kwa wahujumu uchumi.Pia mfumo wa elimu tuufumue umuandae mtu kua mbunifu na mwajibikaji pia impe ujuzi wa kujiajiri.Dini na ukabila ziwekewe mitaala shuleni wanafunzi wasome madhara yake kwa upana wake.Tuondee ubinafsi kwanza kiuongozi mfano serikali iajiri viongozi si kwa itikadi ya chama ama u ndugu bali kwa uwezo na mtu.Mkuu kuanza upya si vibaya .Mm nimeyapenda sana maoni yako nimejua kua unaumia sana kuona kwa nn sisi tumekua watu wapuuzi sana kati ya jamii zote duniani.Mkuu kuna siku tu Mungu atatusaidia tutapambana kuuondoa huu upuuzi uliopo.
 
Huoni kuwa tungekua na Watu wanaosimama kwenye dini kiukweli tungeendelea zaidi.

Bila dini leo ingekuaje labda mana.
Dini za asili Watu walikua wanawabaka watoto wadogo, wanaiba mifugo ya watu na wanapongezwa na kupewa dawa za asili ili wasikamatike, walikua wanapira wake za watu bila dini za asili kukataza.
Ndio maana Waafrika wengi walikua hawaoni kimakabila. Ukabila kabla ya haya Maisha ya dini za kizungu na Kiarabu walikua hawaoni kwa makabila tofauti.

Mfano tu Mpaka leo Mmasai wa asili hawezi kuoa Mbulu au Mrangi.

Dini za leo hazina uhusiano wowote na umaskini wetu.
Maeneo yote waliopokea dini za sasa ndiyo yenye Maendeleo.
Umaskini wa Mwafrika ni uninafsi wake.
Usifikiri ilikua rahisi watu kuacha familia zao huko ulaya na kuja Afrika kufanya tafiti maporini na wengine wengi kufa kwa malaria na hali ya hewa tofauti na waliyoizoea huko kwa karne hiyo. Hapakua na barabara wala hospitali kama walizozizoea huko kwao. Walifanya kazi kubwa sana kwa kujitoa sana. Hao wazungu wa Mwanzo usifikiri walileta dini kirahisi. Wengi waliuawa kwa sababu ya dini zao ambazo zipo leo. Wangekua na ubinafsi kama waafrika wangekata tamaa mana waliacha familia zao huko na kuja kutafuta maisha mengine ambayo kwa wakati huo yalikua duni sana ukilinganisha na walikotoka.

Leo ni mwafrika gani anaweza kujitoa na kuishi maisha duni kwa ajili ya kesho ya Afrika?
Watawala wanajiongezea ufahari na kila mbinu ya kunufaika na keki ya taifa badala ya kupunguza matumizi makubwa wanaongeza.

Kwa hiyo kudanganya watu kuwa dini za mzungu ni tatizo ni uhuni.
Dini za mwafrika zipo na hakuna mtu anakatazwa kuzifuata ila hazina taasisi imara mana zilikua ni dini za kikabila na hazikuwa zinashirikiana wala kukubaliana.
Tambiko la kisukuma halikua linamhusu Mzaramo.

Tuachane na historia zisizoweza kutujengea watu waaminifu uchumi. Dunia ya sasa ni uchumi sio mambo ya masimulizi

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Na black's american wamepewa dawa gani maana hawana tofauti na wazulu.
Sema naona Black American wao hawana mawazo yeyote na pia tofauti na wazulu wale wengi wana vipaji na tunaona kupitia vipaji vyao wanafanikiwa Wazulu nawajua vizuri huwezi kuwafananisha na aina yeyote na binadamu juzi waneharibu miundombinu sasa hivi serikali yao inawagawia chakula huko Kwazulu Natal serikali inawalea inajua kabisa hapa hakuna watu...
 
Harafu kazi nyingi wanazopewa watu weusi SA wengine sio uwezo ni kuwafanya nao wapate kazi ili mradi kusiwepo na kdle ila watu weusi hamna kitu walio vichwa ni wachache mno na labda hicho kizazi kilipotea...Nchi masikini inahitaji mbolea na vifaa vya kilimo ili kukuza kilimo na uchumi kwenye nchi yao wanaweka kodi kubwa kuingiza hivyo vitu inapelekea kushuka kwa ubora wa mazao na kuendelea kulima chakula kichache kwa baadhi ya maeneo tuu sio chakula cha biashara huku ardhi yenye rutuba ya kumwaga na maji yapo...mnasema tumerogwa ni akili tuu hakuna...
 
Waafrika kinachotu cost ni roho ya kwanini tu! Roho ya kichawi ndio imetutawala na wivu baina yetu! Kifupi ni ubinafsi tu.

1.Hatuwezi kusogea kama kila anayeonesha nia ya kuleta mabadiliko anapigwa vita. Waafrika watahakikisha umeliwa nyama au hufanikiwi with selfish reasons.

2. Wenye nafasi kubania njia ya wengine kutoboa kwa hofu ya kupokonywa mamlaka😀 maofisini mazee yamejazana ila kijana ukijiependeza tu wanakufanyia figisu utimuliwe amuweke mwanae au ndugu yake.

3.Nchi kuigeuza mradi wa familia na kujineemesha kwa rasilimali huku tukisahau professionalism and solidarity! Wadhifa mtu hupewa aihudumie jamii yake kwa ujumla iwe na maisha bora yeye anaitumia hio kujenga genge la unyang’anyi wa fedha za umma.

Kwa kutokuwa na mifumo imara ya utawala na kusimamia rasilimali zetu tutaendelea kuwa maskini wa kutupwa
Unakunywa bia 🍺 au soda? Nipe namba ya kulipa👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom