Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

Mbona wao hawalilii kuoa kwenu? Acha kujidhalilisha na kujishusha hivyo, hata wewe ni binadamu kama wengine una mama na baba!
moja ya mafanikio kwa kijana wa kiislam ni kuoa kapemba keupe.
 
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?
 

Ni kwa sababu miafrika ni mijitu inayopenda pombe, ngono, mivivu, inapenda sifa, na madaraka ambayo hawawezi kufanya chochote cha maana
 
Mwarabu ni mbaguzi wa asili, ukishakuwa mweusi hata uwe na pesa au mcha-dini kiasi gani hung'owi jiko kwenye familia yake! Kwao kuolewa na mtu mweusi ni mkosi! Mtu wa hivyo anapata wapi ujasiri wa kunishawishi niiamini dini/imani yake?
Waafrika ni wabaguzi zaidi hata machotara hubaguliwau waulize CCM
 
Kaanzishe uzi wako, tunawajadili waarabu hapa. Kwanini hawapendi ndugu/dada zao kuolewa na mtu mweusi?
Ni kwa sababu miafrika ni mijitu mibaguzi, inabagua mpaka machotara , Kama CCM
 

tafuta pesa utaoa Mwarabu umtakaye, wale viumbe wapo makini sana hawataki watoto wao kugeuzwa fursa
 
tafuta pesa utaoa Mwarabu umtakaye, wale viumbe wapo makini sana hawataki watoto wao kugeuzwa fursa
Siyo kweli, hata ukiwa na pesa hung'oi mtoto wa kiarabu labda utaambulia michotara ya uswahilini.
 
We mtu mweusi kwa MUHINDI NA MWARABU WEWE NI NYANI NYANI....
MZUNGU YEYE SABABU ANAHITAJI STRONG GENES ZENU NDIO MAANA ANAKUBALI KUZALIANA NA NYIE
 
Siyo kweli, hata ukiwa na pesa hung'oi mtoto wa kiarabu labda utaambulia michotara ya uswahilini.
Kwanini msiwaoe Dada zenu wakimatumbi?? Mnaishia kuwazalisha na kuwaacha halafu mnalilia kuoa Waarabu😂 Ni aibu kubwa kwa Mvlana/Mschana Wa kiarabu kuzaa nje ya Ndoa ila kwenu ni kawaida mnaiga Wazungu!! Ni aibu Kubwa kwa Mschana wa Kiarabu kuvaa nguo za nusu uchi ila kwenu ni kawaida mnaiga wazungu!! Ni aibu kubwa tabia ya ulevi ila kwenu ni kawaida mnaiga wazungu!! bado UCHAWI NA TABIA ZA KUGOMBEA MIRATHI Mh, Tabia zenu MBAYA NA USHIRIKINA ndizo zinawatisha! Waschana wa Kiswahili wanaishi na waume bila Ndoa ila Mschana wa kiarabu hathubutu kufanya hivo labda awe mjane aliepinda. Mschana wa Kiswahili anaweza kuolewa akaishi chumba kimoja ila mschana wa kiarabu its Impossible wanapenda privacy, Huoni hapo kuna Cultural differences?? Unahisi Ndoa inaweza kudumu hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…