Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Haya hata km msomaji mzuri no chuki za kikabila ,uchu wa madaraka na kogombanishwa na wazungu .waarabu ni udin unawasumbua maaana sunni hampendi shia na roho mbaya ya asili wanayo
Mauaji ya kikabila yana tofauti gani na ya kidini? Issue hapa ni chuki inasabisha hayo mauaji...iwe ya kikabila au kidini...nani amekwambia waarabu hawagombanishwi?
 
Yale makanisa yaliyochomwa Zanzibar siyo tatizo? Hilo tu kwanza. Hao popote walipo ni shida. Ugomvi na mauaji ndo wimbo. Kama Zanzibar isingekuwa ktk muungano ingekuwa kama somalia tu. Umesahau migogoro ya Mombasa ?
Uganda kwa LRA napo walikuwa waislamu? Myanmar wanapoua Rohingya Muslims je? Acheni generalization
 
sio kila aliyeko mashariki ya kati ni mwarabu,nani aliyesema watu wa iraq au afghanistani ni waarabu ?
 
Sure ila waarabu wamezidi,na wametuambukiza sana hasa kupitia Quran,hadithi nk! Kuna kitu hakipo swa
 
Yesu hajawahi kuumba,Yupo Mungu aliekuumba wewe na Mimi kwa mfano wake! Acheni kudanganyana
 

ndo watu wanaojielewa wameshajua kua waarabu waliopandikizwa ndo wanafanya ivo sio wao wenyewe kama kweli mbna wanajifichaga sula zao iyo kazi ya USA na british
 
Waafrika na waarabu ndiyo watu wenye low IQ hapa duniani. Mzungu ni kiumbe mwenye IQ kubwa ila mshenzi na mlafi kwa kuharibu na kufitinisha wengine. Kwa upeo mdogo wa waafrika na waarabu, wameweza kutuchambua kama karanga na kutufanya atakavyo. Ila ukifanya ranking, muafrika ni kiumbe mwenye low IQ akifuatiwa na mwarabu akiwa nafasi ya pili. Ukweli lazima usemwe hata kama mchungu.
 

Dhambi ya ubaguzi huwa haiishi ukimalizana na mmagharibi utakuja kwa mkristo ukimaliza kwa mkristo utakuja kwa muislamu mwenzio misingi yao ya dini ********** ndio imezaa matunda ya ubaguzi huu
 
Kwanza ujuwe Afghanistani na Pakistani sio nchi za kiarabu,ni nchi za kihindi.Halafu pia ujuwe ziko nchi za kiarabu nyingi tu,hakuna vita wala vurugu yoyote,kwa mfano
Dubai
Abudhab
Qatar
Bahrain
Oman
Kuwait
Yemen ya Sana'a
Jordan nk
 
Dini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
Hapa Sudan ya kusini tatizo ni Uislam? Je na hapo Uganda? Kama vipi hebu tueleze kuhusu Kongo.
Na kule Angola miaka 20 ya vita vya Savimbi? Na Kule Sri Lanka kwa Tamil Tigers,Na kule Kolombia kwa ETA na kule Northern Ireland nako ilikuwa tatizo Dini gani? etc.
List ni ndefu mno tena inaweza kuzidi ya Nchi za kiarabu
 
[/QUOTE] swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii? [/QUOTE]
Mbona waafrika wanauana kama inzi au simimizi Congo, Sudani Kusini, Sahara, Afrika ya Kati, Equatorial Guinea, South Africa na mengineo , mbona hamsemi?!
 
wewe habari zako unaangalia wapi? ulishawahi kua kwenye huo uwanja wa mapambano???? haya hebu tusimulie
 
ni kitu gani kizuri ulishawahi kufanya ww na kikabadili jamii na ukawa mfano wa kuigwa??
 
Miaka na miaka ni vita tu wao amani wataiona lini? Libya walikuwa na ustawi leo kula yao shida tupu. Watu wazima na akili wanashindwaje kupima jema na baya hadi wachonganichwe. Waarabu wana laana na ujuaji.
 
ni kitu gani kizuri ulishawahi kufanya ww na kikabadili jamii na ukawa mfano wa kuigwa??
Kwani amekwambia yeye ni mzungu? Na yeye yupo katika jamii hii hii yetu ya kipumbavu! So hapana kumwuliza kama kuna cha maana kafanya kwa jamii!
 
Waislamu mnajichanganya kama Quran yenu.Tofautisha vita vya kisiasa na vya kidini. Vita kama vya Sudan na Congo siyo vita vinavyo jumuisha au kuhusisha dunia nzima.
Vita vya waislamu ni vita vya wenyewe kwa wenyewe na vita against non-muslim worldwide.
Kwahiyo unakosea kulinganisha vita vya Sudan au Congo ambavyo ni vya kisiasa au kikabila na vya waislamu ambao ni against the whole of none Muslims and moderate Muslims.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…