Ongezea crusaders...Rejea :-
Mauaji ya Rwanda 1994
Mauaji ya Biafra Nigeria 1970s
Mauaji ya Ethiopia
Mauaji ya Bagsnda Uganda
Mauaji ya leo hii South Sudan
Mauaji ya Somalia
Mauaji ya Zaire / DRC
Mauaji ya Angola
Mauaji ya WW1 vita ya ulimwengu 1 na pili
vita vya Vietnam mk nk
Robert James Masunga
Mauaji ya kikabila yana tofauti gani na ya kidini? Issue hapa ni chuki inasabisha hayo mauaji...iwe ya kikabila au kidini...nani amekwambia waarabu hawagombanishwi?Haya hata km msomaji mzuri no chuki za kikabila ,uchu wa madaraka na kogombanishwa na wazungu .waarabu ni udin unawasumbua maaana sunni hampendi shia na roho mbaya ya asili wanayo
Uganda kwa LRA napo walikuwa waislamu? Myanmar wanapoua Rohingya Muslims je? Acheni generalizationYale makanisa yaliyochomwa Zanzibar siyo tatizo? Hilo tu kwanza. Hao popote walipo ni shida. Ugomvi na mauaji ndo wimbo. Kama Zanzibar isingekuwa ktk muungano ingekuwa kama somalia tu. Umesahau migogoro ya Mombasa ?
Sure ila waarabu wamezidi,na wametuambukiza sana hasa kupitia Quran,hadithi nk! Kuna kitu hakipo swaHitler alikuwa Mwaraabu eeenh !!!
Mussollini alikuwa Mwaraabu eeh??
George Bush alikuwa Mwaraabu eeh??
Tony Blair alikuwa Mwaraabubeeenh??
kifupi sikia ukweli huu wanaAdamu wote tunamapungufu ya aina fulani... tena ni wepesi kushawishika iwe kwa Mali au matananio ya Nafsi !!!! period
Yesu hajawahi kuumba,Yupo Mungu aliekuumba wewe na Mimi kwa mfano wake! Acheni kudanganyanaImani hiyo ulio nayo ni sawa na imani za watu kuamini kua Yesu ni muumba.
Sipo tyari kulumbana na uzushi ulioaminika.
Waislam wapo Zanzibar kwa asilimia 98 lakin hakuna huo upuuzi unaoamini.
Waislam wapo nchi nyingi sana lakin huo upuuz unaoamini hakuna.
Jiulize swali la msingi kwanini Iraq kwanini Siria Kwann Libya. TUMIA AKILI USITUMIE FUVU KUFIKIRI
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Kwanza ujuwe Afghanistani na Pakistani sio nchi za kiarabu,ni nchi za kihindi.Halafu pia ujuwe ziko nchi za kiarabu nyingi tu,hakuna vita wala vurugu yoyote,kwa mfanokuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Hapa Sudan ya kusini tatizo ni Uislam? Je na hapo Uganda? Kama vipi hebu tueleze kuhusu Kongo.Dini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
wewe habari zako unaangalia wapi? ulishawahi kua kwenye huo uwanja wa mapambano???? haya hebu tusimulieWatoto wa vichaa mmaAmini CNN,BBC Foxnews na wendawazimu wa media mongers
nendeni kwenye viwanja vya mpambano mkaone maRijali wanavyojitetea na kutetea rasilimali zao na ardhi zao!!!!! na mafuta yatarudi bei yake asili $200 per barrel kwenye mikono ya midume!!
ni kitu gani kizuri ulishawahi kufanya ww na kikabadili jamii na ukawa mfano wa kuigwa??Kaka bila kusema najidharau waAfrika ninkweli tunastahili position number moja kwenye race ah jamii yenye IQ ndogo siku moja nenda hata buguruni kaa sehemu alafu uwe unaangalia matendo yao utagundua sisi ni mitambo.We angalia tuna ardhi inayolimika,tuna ardhi yenye utajiri sana ila wafaidika ni watu weupe sisi bado tupo bize na umbea ,uchawi, majungu ,ulevi ulikithiri wasomi ambao watendaji wakuu wa kuipush inchi wote wanakimbilia kwenye siasa.YAANI WAKATI MZUNGU YUPO BIZE KUTENGENEZA ROBOTI LIMSAIDIE KAZI SISI TUPO BIZE KUWEKANA MISUKULE.Damn it kujitetea kuwa sisi tuna akili kazi sana aisee.
Hakuna kwa sababu sisi iq yetu ndogo include meni kitu gani kizuri ulishawahi kufanya ww na kikabadili jamii na ukawa mfano wa kuigwa??
hahahahahahahaha aiseeeeeeeHakuna kwa sababu sisi iq yetu ndogo include me
Kwani amekwambia yeye ni mzungu? Na yeye yupo katika jamii hii hii yetu ya kipumbavu! So hapana kumwuliza kama kuna cha maana kafanya kwa jamii!ni kitu gani kizuri ulishawahi kufanya ww na kikabadili jamii na ukawa mfano wa kuigwa??
Waislamu mnajichanganya kama Quran yenu.Tofautisha vita vya kisiasa na vya kidini. Vita kama vya Sudan na Congo siyo vita vinavyo jumuisha au kuhusisha dunia nzima.Hapa Sudan ya kusini tatizo ni Uislam? Je na hapo Uganda? Kama vipi hebu tueleze kuhusu Kongo.
Na kule Angola miaka 20 ya vita vya Savimbi? Na Kule Sri Lanka kwa Tamil Tigers,Na kule Kolombia kwa ETA na kule Northern Ireland nako ilikuwa tatizo Dini gani? etc.
List ni ndefu mno tena inaweza kuzidi ya Nchi za kiarabu