Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamu uliopo ndani ya Uislam,hauna mahusiano na Sheikh yeyoteUtamu upi huo?? kama wa shehe Kipozeo sawa
Kama hawezi kukaa pamoja ndo wauaneSunni hawezi kukaa na Shia mpaka mwisho wa Dunia
Kwasababu,Mashia wapo nje kabisa ya Uislam
Kiujumla,Ushia ni Dini,chimbuko lake ni uyahudi
Wala hana nasaba na Uislam,Hata wakidai unasaba huo mara alfu
Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
Lini sasa,,Watoto wa vichaa mmaAmini CNN,BBC Foxnews na wendawazimu wa media mongers
nendeni kwenye viwanja vya mpambano mkaone maRijali wanavyojitetea na kutetea rasilimali zao na ardhi zao!!!!! na mafuta yatarudi bei yake asili $200 per barrel kwenye mikono ya midume!!
Totally wrong!!!Watu wanaouwana wao kwa wao ni WASHENZI KABISA.
Sio waarabu tu ila hata watu weusi wauanao wao kwa wao ni washenzi tu.
Ila Waarabu ni Washenzi zaidi.....unajua kwann
Kwasababu wanaamini kuwa akimuua binadamu mwingine asie muislam yaani KAFIR kama mimi basi ataiona Pepo na kufaidi mema mengi ya peponi.
Marekani ndo anawashiia akili?,Marekani ndo anatoa amri kwamba wauane?,unataka kutuaminisha kwamba wao hawatumii akili kujua lipi baya na lipi jema?.dini dini dini dini dini dini aah kidude kibaya sana dini wanefili wametia ndimu kali sana kwenye kidude dini,mtafuteni shetani yupo ulaya ili dunia iwe salama.hakikisheni kwa njia yeyote mmarekani anadrop hapo dunia itakuwa kama zamani.vinginevyo wote tutakuwa wapumbavu kila siku.
Haaaah aaah nmejikuta nacheka tuKasahau uamsho walikuwa wanafanya nini kule zanzibar hapa tusimung'unye Quraan haifundishi upendo wala kusameheani na hata mtume alikuwa ni mtu wa maugomvi tu nasikia ampaka mauti yana mkuta alikuwa hana jicho kama sikosei.Mtume alikuwa na kundi la wafuasi wake walikuwa wanaendesha harakati za kusilimisha watu ki ulazima la sivyo unauawa kwa jambia.
Mauaji ya wapemba Mkapa akiingia madarakaniRejea :-
Mauaji ya Rwanda 1994
Mauaji ya Biafra Nigeria 1970s
Mauaji ya Ethiopia
Mauaji ya Bagsnda Uganda
Mauaji ya leo hii South Sudan
Mauaji ya Somalia
Mauaji ya Zaire / DRC
Mauaji ya Angola
Mauaji ya WW1 vita ya ulimwengu 1 na pili
vita vya Vietnam mk nk
Robert James Masunga
Hawaamini hivyo?Totally wrong!!!
Swali la msingi sana.Kwanini wakubali kuchonganishwa?
Mkuu!!! Sankara,Stephen Biko,Martin Luther Jr,walikuwa na IQ ndogo?Waafrika na waarabu ndiyo watu wenye low IQ hapa duniani. Mzungu ni kiumbe mwenye IQ kubwa ila mshenzi na mlafi kwa kuharibu na kufitinisha wengine. Kwa upeo mdogo wa waafrika na waarabu, wameweza kutuchambua kama karanga na kutufanya atakavyo. Ila ukifanya ranking, muafrika ni kiumbe mwenye low IQ akifuatiwa na mwarabu akiwa nafasi ya pili. Ukweli lazima usemwe hata kama mchungu.
Mkuu unapaswa kuelewa jambo moja. Tunaposema waafrika tuna low IQ haimaniishi hakuna waafrika wenye IQ nzuri na zilizoweza kuleta manufaa chanya kwa jamii zao; hali kadhalika, kwa wazungu pia, kusema kuwa wana uwezo mkubwa kuliko sisi haimaanishi hakuna wazungu 'vilaza'.Mkuu!!! Sankara,Stephen Biko,Martin Luther Jr,walikuwa na IQ ndogo?
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Akili ndogo ndio maana wanachonganishwa.Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Unajua waraabu ni akina nani n? au lazima nawe uandikue tu.kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?