Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

Mimi sipendi wapumbavu hata siku moja ....siangalii huyo moumbavu ni mwamposa au omar...mpumbavu ni mpumbavu tu tena akiwa na cheo ndiyo mbaya zaidi ...cheki samia bushiri alivyo tamalaki upumbavu toka unyayoni hadi utosini
kwamba sijida ni upumbavu? chuki za kidini zitakusumbua sana.
 
Hivi kusujudu ni kusugua utosi ardhini? Kwenu watu wa Imani, haiwezekani kusujudu bila kuusugua utosi chini kutengeneza sugu?
I mean can't it be done gently?
 
kwamba sijida ni upumbavu? chuki za kidini zitakusumbua sana.
Sijida ina manufaa gani kuwa kichwani mwa wahuni...👉 watu mnao muheshimu mungu midomoni ila matendo yenu yapo kinyume (waisiharamu)
 
Jibu swali, kwanini waarabu hawana sigida?
Mkiristo gani kichwa maji. Hata kuuliza swali hujui
Uliza hivi. Kwanini waislam ngozi nyeupe kama waarabu , wazungu na wahindi hawa sijda? Lk umekazania waarabu waarabu na unajua kuna waarabu makafiri kuliko wewe
 
Mwenzako FaizaFoxy huwa ananikimbia naona wewe umejileta mwenyewe ...sasa nina maswali nataka kukuuliza kuhusu huyo mudi boy wako nijibu labda na mimi nikawa muisiharamu kama wewe...maana huyo mtume wenu siyo mtume wala yeye mwenyewe alikuwa ajui kuwa mtume ni kitu gani ...pia uislamu ni dini mpya ..siyo kweli kuwa mitume wa kale walikuwa waislamu kama unabisha sema nije nikuonyeshe ...ukweli
 
Swali hujajibu, kwanini waislam weusi ndo wenye digida peke yao? Hata kama ni waçhache, kwanini?
Wanaosujudu wasio waislam hawana sigida, wawe waarabu au siyo waarabu.
SWALI KWANINI WAISLAM WEUSI TUU NDO WAWE NA SIGIDA?
Ww umesha tembea dunia nzima au unawajua waisilam wote walioko hapa duniani ili utudhibitishie kuwa waisilam weusi tu ndo wenye sijda?

Sijda inatokana na usugu kwa sababu ya mazingira ya pale unapo sujudia sisi waafrica kipindi cha nyuma walikuwa wanasalia kwenye mikeka migumu ,na waarabu wana salia kwenye mazuria laini, lakini tangu mazulia yasambae dunia nzima ni ngumu kumkuta mtu ana sijda bila kujali wewe unatokea wapi.
 
mwanamke yoyote yule hana akili hasa akili ya kiuongozi aijalishi ni mama yako au mama yangu au ni rais
 
Mbona professor Assad ana sijda?
 
Waislamu wa ngozi nyeusi wengi ni wapumbavu ..hawana akili yoyote kichwani ...akili zao ni kama akili za wanawake tu...nilisema duniani hakuna waislamu kwa sasa bali kuna WAISIHARAMU TU.
Ya kwamba nyinyi mna haki ya kwenda kununua udongo kwa laki moja ili utajirike bila kufanya kazi ila waisilam hawana haki ya kuwa na sijida?
 
muongezee swali, kwanini wazungu hawaanguki mapepo??
Na hili? Kwanini Soma vitabu vya wakiristo wenzio

Kenneth Cragg

Kitabu: The Prophet of Islam: A Christian Perspective (1959)

Sifa nzuri za Mtume Muhammad: Cragg anasema kwamba Mtume Muhammad alikuwa na uwezo wa kuongoza kwa njia ya haki na alieleza ujumbe wa mabadiliko ya kijamii na kiroho. Alihimiza usawa na haki kwa wanawake na walengwa wa jamii.

Mwaka wa mwandishi: 1959

Dhehebu: Mkristo

Nchi: Uingereza


3. Bernard Lewis

Kitabu: Islam and the West (1993)

Sifa nzuri za Mtume Muhammad: Lewis anamuelezea Mtume Muhammad kama mtu ambaye alianzisha mabadiliko makubwa katika jamii ya Kiarabu, akiwa na maono ya kijamii na kiroho. Aliweza kuunganisha familia na jamii katika umoja wa imani.

Mwaka wa mwandishi: 1993

Dhehebu: Mkristo

Nchi: Uingereza


4. William Muir

Kitabu: The Life of Muhammad (1858)

Sifa nzuri za Mtume Muhammad: Muir anazitaja sifa za Mtume Muhammad kama ujasiri, uadilifu, na umakini katika kuboresha jamii ya Kiarabu. Hata hivyo, alikuwa na mtazamo mkali kuhusu baadhi ya vipengele vya dini ya Kiislamu.

Mwaka wa mwandishi: 1858

Dhehebu: Mkristo

Nchi: Uingereza
 
Sasa kama mabudha wanasujudu mara 100+ kwa siku mbona hushangai wao kukosa sijda, wakristo wanapaswa kusujudu mbona wao hawana sijda ama wao hawasujudu!?

Nadhani sehemu unayosujudia ndio inaleta sijda, kuna misikiti ukiswali hapa hapa bongo, kupata sijda ni kazi sababu kuna makapeti laini kinooma, ila ukiswalia sehemu ngumu sijda(sugu) itatokea tu.

Piga ngumi mara kwa mara kwenye ukuta kisha piga kwenye godoro ama sufi kabisa huwezi kutoka sugu.
 
Ukiwa Mwarabu inajulikana kwamba lazima utakuwa Muislam, hiyo ni by default, yaani factory settings.
Ukiwa Mwafrika unakuwa inabidi utafute alama ili tukujue, hivyo utatakiwa usugue paji la uso ili kututhibitishia kuwa wewe ni mwenzetu na upo tayari kuwa na alama kwa ajili yetu
 
Kwanza sio kila mwarabu mwislam! Pili sio kila mwanarabu anaswali! Tatu most of mkeka ya misikit yetu ni migumu saana ukiswali mara mbili tu unapata weusi!
Mwisho kwanini mmegeuka kuwa wasemaji wa waislam hali ya kuwa kitabu chenu hakijulikani ni version ipi mfuate na yapi , attacking muslims kutafuta koment hamna chochote unapata maana humu kama watu wanamashetani ukitajwa uslam na waislam yanapanda.
Andikeni mambo yananyo wahusu
 
Huu mjadala unaonesha wazi muislam mmoja mtoto mdogo anaesoma madrsa anaakili kuliko wakiristo 10 maprofessa
 
Sasa ndio akili za wakiristo hizo? By default ktk binaadam inatumika? Unaswali kanisa gani wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…