Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

Kwanza sio kila mwarabu mwislam! Pili sio kila mwanarabu anaswali! Tatu most of mkeka ya misikit yetu ni migumu saana ukiswali mara mbili tu unapata weusi!
Mwisho kwanini mmegeuka kuwa wasemaji wa waislam hali ya kuwa kitabu chenu hakijulikani ni version ipi mfuate na yapi , attacking muslims kutafuta koment hamna chochote unapata maana humu kama watu wanamashetani ukitajwa uslam na waislam yanapanda.
Andikeni mambo yananyo wahusu
Ww Kama mkristo andika mambo yako na wakristo wakusapoti kama hauna dini funga domo tulia subiri maada za kidunia
 
Mbona professor Assad ana sijda?
Sasa ww huoni kuwa huyo ni mtu mzima hivyo kipindi kingi cha maisha yake kasalia kwenye mikeka ?
Kwa sasa ni ngumu kukuta mtu mwenye miaka 30 kushuka chini ana sijida kutokana na mikeka kutotumija tena.
 
Na alichozaa kitakuwa hakina akili haijalishi mwanamme au mwanamke
Nikuletee mashehe na mudi boy alisema nini kuhusu kuongozwa na mwanamke ...maana hata huyo mudi boy wako anasema kama ninavyo sema....tatizo lako wewe hata kwenye uislamu haupo bali upo kwenye uisiharamu ndiyo maana unampinga hadi huyo mtume wako
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
Swali halijajibiwa. Kwa nini haipo kwa waarabu wengi?
 
Ukiwa Mwarabu inajulikana kwamba lazima utakuwa Muislam, hiyo ni by default, yaani factory settings.
Ukiwa Mwafrika unakuwa inabidi utafute alama ili tukujue, hivyo utatakiwa usugue paji la uso ili kututhibitishia kuwa wewe ni mwenzetu na upo tayari kuwa na alama kwa ajili yetu
orodha ya baadhi ya mapadri maarufu wa Kiarabu, majina yao, na nchi wanazotoka:

1. Padri George A. Habib

Nchi: Misri

Maelezo: Padri George A. Habib ni mmoja wa mapadri maarufu wa Kiarabu kutoka Misri, na amejulikana kwa mchango wake katika masuala ya kijamii na kidini. Pia, ni mtaalamu katika masuala ya teolojia ya Kikristo na amehusika katika shughuli za mazungumzo ya kidini kati ya Waislamu na Wakristo.


2. Padri Fouad Aziz

Nchi: Lebanon

Maelezo: Padri Fouad Aziz ni padri maarufu kutoka Lebanon, ambaye anahusika na shughuli za kijamii na anajulikana kwa mchango wake katika masuala ya amani na umoja wa kidini kati ya Wakristo na Waislamu.


3. Padri Michel Sabah

Nchi: Palestina

Maelezo: Padri Michel Sabah ni Kardinali wa Kanisa Katoliki kutoka Palestina na alikuwa Patriaki wa Kanisa la Latini la Jerusalem. Alikuwa mmoja wa viongozi wa kidini wa Kiarabu na ameleta mchango mkubwa katika masuala ya haki za kibinadamu na amani.


4. Padri Rami Ayyad

Nchi: Palestina

Maelezo: Padri Rami Ayyad alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Gaza, Palestina. Aliuawa mwaka 2007 kwa sababu ya imani yake ya Kikristo, na alijulikana kwa kazi yake ya kueneza amani na kuunga mkono haki za Wakristo na Waislamu katika eneo hilo.


5. Padri Shukri Kallash

Nchi: Jordan

Maelezo: Padri Shukri Kallash ni padri wa Kiarabu kutoka Jordan ambaye anajulikana kwa kazi yake ya kijamii na kidini. Anafanya kazi katika kuendeleza mazungumzo ya kidini kati ya Wakristo na Waislamu na anahusika na ulinzi wa haki za kibinadamu.


6. Padri Samir Khalil Samir

Nchi: Lebanon

Maelezo: Padri Samir Khalil Samir ni padri na mtaalamu wa masuala ya Kiislamu na Kikristo kutoka Lebanon. Anajulikana kwa uchambuzi wake wa masuala ya dini, hasa uhusiano kati ya Uislamu na Ukristo, na mchango wake katika mazungumzo ya kidini.

WAKIRISTO KATKA MIJADALA YA KIDINI WEPESI SANA. WENGI WAO WANATUMIA HISIA ZA MABABU ZAO
 
mwanamke yoyote yule hana akili hasa akili ya kiuongozi aijalishi ni mama yako au mama yangu au ni rais
Sasa kama umezaliwa na mtu asiye na akili ww utakuwa na akili ,maana tabia na akili ya mtoto huwa inaasiki ni aina gani ya mzazi aliye naye.
 
Nikilionaga jitu lina hiyo kitu ,mosi naliona litakuwa linajiona litakatifu,pili neno kafiri liko akilini mwake na laweza kutoka muda wowote,na mwisho naliona ni jitu lilipotea njia kwa kuiacha njia sahihi ya kuelekea uzimani na kushika njia ielekeao upotevuni
We kama mimi,afu mbaya zaidi mengine ni masomi kabisa
 
Ww umesha tembea dunia nzima au unawajua waisilam wote walioko hapa duniani ili utudhibitishie kuwa waisilam weusi tu ndo wenye sijda?

Sijda inatokana na usugu kwa sababu ya mazingira ya pale unapo sujudia sisi waafrica kipindi cha nyuma walikuwa wanasalia kwenye mikeka migumu ,na waarabu wana salia kwenye mazuria laini, lakini tangu mazulia yasambae dunia nzima ni ngumu kumkuta mtu ana sijda bila kujali wewe unatokea wapi.
Kumbe sigida ni umaskini wa kuswalia kwenye mikeka migumu na si taa ya kaburini tena?
 
Kuna taasisi moja ya Washia niliwahi fanya kazi back 2010,sasa jamaa 1 Mkenya alikuwa wale Masunni itikadi kali akawa na booonge la Sijda,yaani kuubwa kama kitumbua kilichoungua,kulikuwa na tetesi kwamba anajisugua makusudically... Hapa ndipo nilipokuja kujua kumbe Sunni na Shia kuna tuvitu wanatofautiana kama ilivyo Wakatoliki na Waprotestanti

Aisee ashukuriwe M/Mungu yule mzee alikuwa peace sana maana kila tukimtania,yeye anacheka tu na kutujibu kwa aya na nasaha maana angekuwa mtata wallah angelipua lile jengo la watu kwa kujitoa mhanga.
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
Kusujudu, kupiga magoti, kuinua mikono, kupiga makofi, kusifu kwa nyimbo na kucheza muziki n.k. ni madhihirisho ya nje yanayotokana na ibada rohoni mwa mtu.

Biblia hailazimishi mtu kusujudu bali inaonesha ni kwa njia zipi mtu anaweza kusifu au kumwabudu Mungu.

Yesu alisema hivi: "Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu."

Hivyo msisitizo ni kuabudu kwa roho na kweli ila mwitikio wa nje ndo mambo niliyotaja ikiwemo kusujudu.

Ufahamu wa kitu hautokani tu na kunukuu mistari mingi, kasome vizuri hiyo Yohana 4:5-26 upate context kamili.

Ibrahimu pamoja na kuwa ni baba wa Imani lakini uelewe pia Mungu alimtoa kwenye jamii ya kipagani, kuna mambo aliyafanya kama mazoea ya jamii yake lakini hayakuwa maelekezo ya Mungu per se. Isipokuwa baada ya kuitwa na Mungu yote yenye kuhesabiwa kuwa ni ibada aliyaelekeza kwa Mungu wa kweli.

Na pia kusujudu zamani Uyahudini/Israeli watu walimsujudia mpaka mfalme, kwa hiyo kuwa na alama ya sijda haikuongezei chochote kwenye ufalme wa Mungu, zaidi sana itakufanya uwe kiburi cha moyo maana utajisikia ni bora kuliko wenzako kumbe hata Mungu huna ushirika naye au ulishamuacha.
 
Nikuletee mashehe na mudi boy alisema nini kuhusu kuongozwa na mwanamke ...maana hata huyo mudi boy wako anasema kama ninavyo sema....tatizo lako wewe hata kwenye uislamu haupo bali upo kwenye uisiharamu ndiyo maana unampinga hadi huyo mtume wako
Mwanamke haongozi muislam. Ukiona muislam mwanamke anaongoza ujue nchi hio inafata mfumo wa kikiristo yaani dini siasa tofauti
 
orodha ya baadhi ya mapadri maarufu wa Kiarabu, majina yao, na nchi wanazotoka:

1. Padri George A. Habib

Nchi: Misri

Maelezo: Padri George A. Habib ni mmoja wa mapadri maarufu wa Kiarabu kutoka Misri, na amejulikana kwa mchango wake katika masuala ya kijamii na kidini. Pia, ni mtaalamu katika masuala ya teolojia ya Kikristo na amehusika katika shughuli za mazungumzo ya kidini kati ya Waislamu na Wakristo.


2. Padri Fouad Aziz

Nchi: Lebanon

Maelezo: Padri Fouad Aziz ni padri maarufu kutoka Lebanon, ambaye anahusika na shughuli za kijamii na anajulikana kwa mchango wake katika masuala ya amani na umoja wa kidini kati ya Wakristo na Waislamu.


3. Padri Michel Sabah

Nchi: Palestina

Maelezo: Padri Michel Sabah ni Kardinali wa Kanisa Katoliki kutoka Palestina na alikuwa Patriaki wa Kanisa la Latini la Jerusalem. Alikuwa mmoja wa viongozi wa kidini wa Kiarabu na ameleta mchango mkubwa katika masuala ya haki za kibinadamu na amani.


4. Padri Rami Ayyad

Nchi: Palestina

Maelezo: Padri Rami Ayyad alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Gaza, Palestina. Aliuawa mwaka 2007 kwa sababu ya imani yake ya Kikristo, na alijulikana kwa kazi yake ya kueneza amani na kuunga mkono haki za Wakristo na Waislamu katika eneo hilo.


5. Padri Shukri Kallash

Nchi: Jordan

Maelezo: Padri Shukri Kallash ni padri wa Kiarabu kutoka Jordan ambaye anajulikana kwa kazi yake ya kijamii na kidini. Anafanya kazi katika kuendeleza mazungumzo ya kidini kati ya Wakristo na Waislamu na anahusika na ulinzi wa haki za kibinadamu.


6. Padri Samir Khalil Samir

Nchi: Lebanon

Maelezo: Padri Samir Khalil Samir ni padri na mtaalamu wa masuala ya Kiislamu na Kikristo kutoka Lebanon. Anajulikana kwa uchambuzi wake wa masuala ya dini, hasa uhusiano kati ya Uislamu na Ukristo, na mchango wake katika mazungumzo ya kidini.

WAKIRISTO KATKA MIJADALA YA KIDINI WEPESI SANA. WENGI WAO WANATUMIA HISIA ZA MABABU ZAO
Hujui hata kutumia ChatGpt.
Umeambiwa by default or factory settings. Haujaambiwa hawapo. Ina maana ChatGpt umeshindwa kuitumia ikakuoa hoja ya kujaribu kuni punch. Unazidi kushuha uwezo wako wa rwasoning kutoka ule mdigobwa kujua kusoma na kuandika uliokuwa nao kwenda non
 
Hujui hata kutumia ChatGpt.
Umeambiwa by default or factory settings. Haujaambiwa hawapo. Ina maana ChatGpt umeshindwa kuitumia ikakuoa hoja ya kujaribu kuni punch. Unazidi kushuha uwezo wako wa rwasoning kutoka ule mdigobwa kujua kusoma na kuandika uliokuwa nao kwenda non
Huna mpya kifuu tundu. Kuna waarabu wengi makafiri kuliko kafiri wew. Wewe kafiri maskini unaenda kanisani kwa boda boda
 
Nywele sidja wanazo sana ila zinafunikwa na nywele na kuiona sio rahisi
 
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz
Wewewe wale ni watu hatari sana wale hawana muda na mabikira 72, ukitaka kujua kwa nini hawana sigda waulize dada zetu wanaoenda kufanya kazi za ndani utasikia wanavyolalamika.
 
Mimi nafikiri Sijda huonekana kwenye paji la uso kutokana na kifaa mtu anachotumia kuswalia.
Mfano: Kama unatumia mkeka(ukili) kuswalia, mkeka ambao ni mgumu kama mbao, hata ukiswali wiki moja tu, sijda ya weza kuonenaka kwenye paji la uso;

Kwa wenzetu hawa Waarabu wanauchumi mzuri hivyo huswalia kwenye makapet ya kiwango na malaini kama sufi hivyo sijida itachukua muda sana kuonekana....
Sahihi kabisa
 
Huu mjadala unaonesha wazi muislam mmoja mtoto mdogo anaesoma madrsa anaakili kuliko wakiristo 10 maprofessa
Kweli kabisa, tukazane kupeleka watoto màdrasa ili wawe na akili kuliko maprofessor wakristo.
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
Ni kweli ilo kovu jeusi litakuwa Tochi mkishakufa mkiwa kaburini?
 
bossi,misikiti ya wabongo mazuri yanatumika mpaka yanakuwa vipara je,unategemea wasiwe na sijda?

waarabu wanaswali kwenye mazuria mapya na mazuri.

ushawah kujiuliza why katikati ya mapaja unakuwa mweusi??ni misuguano.
 
Back
Top Bottom