dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
uMaababu zetu walizingua sana kupokea hizi mila za washezi waarabu na wazungu,sasahivi jamii zetu zimechanganyikiwa hadi majina ya wazee wetu tume yaacha.
Nadhani wewe ni mmoja wa watu wasiowaelewa. Na una ugonjwa wa udiniYatatoweka kwenu watumwa wa kifikra,kushindwa kuezi wazee wako ni moja ya upuuzi mkubwa kuwahi kutokea.
Hii ilimkuta mdogo wangu anajuta hakutumia Jina la ukoo shuleni baasii anatuonea dongee,usichana ulimponzaUlichokiandika ni kweli, wengi hatutumii majina ya ukoo,
Hata mimi kwenye vyeti vyangu yapo majina mawili Tu [emoji26]
Ni kosa ambalo sitakuja kulifanya kwa watoto wangu, kwetu tuna jina la ukoo matata Sana, yaani mtu akilisikia kwa mara ya kwanza Tu halisahau tenaa au hata akilisahau kila muda atakuwa analijaribu kulitaja
Nakuwaga maarufu ghafla popote pale ninapotumia jina langu la ukoo
Wao huamini ni waarabu, wajukuu wa mtume,kumuita Kalimanzira anaoma nomaUtakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Ndekule Mwana wa MlumbeNina watoto watano, wote wana majina ya asili. Hakuna jina la Kigeni kwangu.
Nimekataa huo utumwa! Nashangaa mtu anampa mwanaye jina eti John Paul Joseph. Ujinga na ufala mtupu. Huwezi kukuta mzungu au mwarabu anampa mtoto jina la kiafrika hata iweje, ila sisi sasa. Dah!
Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Hao ni waislam wa Zanzibar, Mafia,kilwa ambako uislam upo kwa zaidi ya miaka 900Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni
Brilliant. Jakaya Mrisho Kikwete, Kighoma Ally Maluma, January Makamba, kutolea mifano michache. Nao ni waislamu. Anasemaje mleta Uzi hapona jina ADAM SAPI MKWAWA mbona lina jina la ukoo nae ni muislamu
A brief and brilliant clarification to this idiotic threadsababu kabla ya uhuru waislamu tanzania walikuwa wengi saana 95% ni waislamu sasa kizazi cha leo kimepita wababu sita wote majina ya kiislamu utaipata wapi jina ambalo sio la kiislamu
Mdogo wangu Kwa lugha ya matusi unayotumia kujibu hoja za wengine,nina wasiwasi na afya yako ya akili,na kiwango chako cha elimu.mababu zenu wajinga waliokuwa wanateswa? halafu uje urithi jina lake?unaakili kweli wewe au umejaza matope?
Basi usiseme urisi jina tuu inatakiwa urisi na matendo yao sawa wee chizi? utembee kwa mguu Safari ndefu usipige mswaki kwa dawa,ukekete watoto wakike,usisome,yaani kiujumla uishi Kama wao walivyo ishi utaweza wee kenge?
halafu unakuja kusema tunaiga wazungu na waarabu kwanini tusiige mababu zetu🤣wee na huyu muanzisha uzi ni maku.....m...aaaaaa
u
wee nae ndio walewale.umejuaje kwamba Mimi nimdogo kwako?au unaleta hisia zako humu?binti Linda ndoa yako utaachika..Mdogo wangu Kwa lugha ya matusi unayotumia kujibu hoja za wengine,nina wasiwasi na afya yako ya akili,na kiwango chako cha elimu.
Swali zuri sana. Japo Mimi namuona ana bias tu, Hana Cha utafiti Wala nini
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwa lugha yako unaonekana mtoto au kiwango chako cha elimu kimeishia degree.Watu wazima na wasomi hawawezi kutumia lugha hiyo mdogo wanguwee nae ndio walewale.umejuaje kwamba Mimi nimdogo kwako?au unaleta hisia zako humu?binti Linda ndoa yako utaachika..
Wachaga wa Machame wao vipi?Hakuna mchaga anayekosa jina la ukoo
Ndugu zetu waislam njooni hapa mjibu?
bashiri kakurwa? zitto zuberi kabwe?Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati?
Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki
Afadhali Wakristo utakuta mtu ana majina mawili ya kizayuni lakini jina la mwisho ni la babu yake
Mi naendelea na utamaduni ule wa kwetu, hata wanangu wana majina ya kitamaduni