Kurutu wa Mungu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 366
- 578
Hizi shule za technical zinaua talents za watoto maana pale utasoma ufundi kumbe huyo mtu angesoma shule za kawaida angekuwa mwanasheria mzuri au mchumi mzuri ungeandaliwa mfumo mzuri wa kuwapata wale watoto wenye talents za ufundi ndiyo wapelekwe huko siyo kulazimisha watoto kusoma ufundiBiology , English na Kiswahili ni masomo ya Lazima Tech. schools.
Apo sidhan kama itakuwa sawa, maana kuna watu primary wanakuwaga vipanga wa mahesebu wakifika secondary wanachemka vibaya sana, na ushahid wa washikaji zangu wengi tu
Unaruhusiwa kumuamisha mwanao Mkuu..Hizi shule za technical zinaua talents za watoto maana pale utasoma ufundi kumbe huyo mtu angesoma shule za kawaida angekuwa mwanasheria mzuri au mchumi mzuri ungeandaliwa mfumo mzuri wa kuwapata wale watoto wenye talents za ufundi ndiyo wapelekwe huko siyo kulazimisha watoto kusoma ufundi
Lengo la mwanafunzi wa O'level kusoma masomo yote nikupata foundation knowledge ya somo husika ebu fikiria mtoto atakapoanza kidato cha kwanza asisome biolojia, mwisho wa siku utakuta huyo mwanafunzi hawezi ata kujua makundi ya chakula na kazi zake mwilini, mfumo wa kusoma masomo yote kwa vidato vya chini nikumpa mtoto ile general views ya somo husika ambayo itakuwa faida yake mwenyewe katika maisha ya kila siku,
Hizi shule kwasasa hazina kitu performance ya hizi shule ni mbovu alafu watoto wanaotoka huko kichwani ni weupe tofauti na miaka ya nyuma Ukisikia mtu katoka Moshi tech au Musoma tech unakuta kweli kichwani anakitu anakijua ata kujiajiri anaweza ila siku hizi ni Magofu ya majengo na mashine chakavu zilizopitwa na wakatiUnaruhusiwa kumuamisha mwanao Mkuu..
Ila hakuna elimu bora duniani kama inayopatikana shule za ufundi.
Mimi ninazungumzia Physics na Chemistry wewe unaleta story za Biology. Kwani ni nani hajui kuwa Biology ni somo la lazima?...Lengo la mwanafunzi wa O'level kusoma masomo yote nikupata foundation knowledge ya somo husika ebu fikiria mtoto atakapoanza kidato cha kwanza asisome biolojia
Kwahiyo hiyo historia atakiwi kuisoma kisa physics?Mimi ninazungumzia Physics na Chemistry wewe unaleta story za Biology. Kwani ni nani hajui kuwa Biology ni somo la lazima?...
Yale masomo saba ya msingi yabaki palepale ambayo ni GEOGRAPHY, HISTORY, KISWAHILI, ENGLISH, CIVICS, BASIC MATHEMATICS, BIOLOGY.Kwahiyo hiyo historia atakiwi kuisoma kisa physics?
Hayo masuala ya Sayansi (Fizikia na Kemia) si amesoma tayari huko shule ya msingi kuanzia darasa ka kwanza mpaka la saba, tena kwa lugha mama ya Kiswahili, na amekwisha elewa sasa aachana nayo akiingia kidato cha kwanza yasimpotezee muda wake.mwisho wa siku utakuta huyo mwanafunzi hawezi ata kujua makundi ya chakula na kazi zake mwilini, mfumo wa kusoma masomo yote kwa vidato vya chini nikumpa mtoto ile general views ya somo husika ambayo itakuwa faida yake mwenyewe katika maisha ya kila siku,
Naunga mkono hoja PCB ianze darasa la tano hapo msingi mzuri utakuwa umejengwa.Ndio hivyo mkuu, ikiwezekana hata wakianza darasa la 5 sio mbaya kwa maana akili zinakuwa zimekomaa kidogo...
Unaongea kama maCCM...Hizi shule kwasasa hazina kitu performance ya hizi shule ni mbovu alafu watoto wanaotoka huko kichwani ni weupe tofauti na miaka ya nyuma Ukisikia mtu katoka Moshi tech au Musoma tech unakuta kweli kichwani anakitu anakijua ata kujiajiri anaweza ila siku hizi ni Magofu ya majengo na mashine chakavu zilizopitwa na wakati
Kwani CCM imeingiaje hapa ?Unaongea kama maCCM...
UNAJIANDIKIA TU.
Umefanana nao akili.Kwani CCM imeingiaje hapa ?
Huyo jamaa Kurutu wa Mungu ameropoka sana humu, na kuna kitu niliandika katika andiko langu kuu naona lilifutwa na hao jamaa zake ndio yeye akapata nguvu ya kuja na ile hoja yake ya somo la Biology.Umefanana nao akili.
Inaonekana umemkera sana jamaaKwani CCM imeingiaje hapa ?
Unavuruga mada kwa makusudiKwahiyo hiyo historia atakiwi kuisoma kisa physics?
Msamehe bure tu huyo jamaaUnaongea kama maCCM...
UNAJIANDIKIA TU.
Sawa mkuu...Naunga mkono hoja
... lengo la mitihani ya F2 sio tu kuchuja wale wenye uwezo hafifu bali pia kuwawezesha wanafunzi kufanya maamuzi sahihi ya masomo gani ya kuendelea nayo kwani ndani ya miaka miwili waliyojifunza wanakuwa wameshaelewa hatma ya kusoma au kutosoma kitu fulani; ni kipindi muhimu cha kufanya maamuzi ya maisha yao ya baadaye. STD7 bado ni underage kufanya maamuzi ya aina hiyo.Fizikia kemia na bailojia ianzie LA saba ILI watakaofaulu wakaisome kidato cha 1 ngoja ndali mkaa arudi tuanze kazi ya kufumua mfumo mzima Wa helimu bure Bure