Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

Unafikiri wanayaona mambo kama unavoyaona!!?

Unafikiri mbuzi akimuona nyoka image anayopata ni sawa na ya kwako!?!?

Jaribu kufikiri!
 
Mkuu zinazokuja na mishahara ni za watu wa afya ila kwa majeshi wanapoozwa katikati..ulizia hapa jf utapewa jibu maana mtu kumuulizia nje ya hapa atakuona unamchora
Aisee sijui ni kwambie nini ila nina uhakika na ninachoongea. Nawazungumzia maafisa wa jwtz. Labda kama unaongelea wengine.
Posho zao..nyumba, maji nk zinakuja mwisho wa mwezi pamoja na mshahara.
 
Mwache akariri huyo, Kila kada zina watu aina mbalimbali tu ambao uki generalize unatoa hitimisho hilo.

Watovu wa nidhamu wapo tu kila mahala jeshini kwa sasa mambo mengi yapo tofauti watu wameamka mno.
 
Pole sana mkuu wamekuchukulia mke nini maana sio mapovu haya mkanye mkeo aache kuwashobokea watampiga mtungo
 
Mimi kuna mmoja namdai milioni 7, zilikuwa za kulipia mafundi site, nilisimamia nyumba yake na nimeshamkabidhi na amehamia tayari since 17 october mwaka jana.

Hilo deni la malipo ya mwisho lina mwaka sasa ni kupigwa kalenda tu, mbaya zaidi ni jirani yangu kabisa nyumba zinatazamana , nashindwa kumuwashia moto kutokana na huu ujirani.
Kuna project anataka kunipa, ndio imekuwa kisingizio kwamba tukianza project mpya ntakulipa kwanza deni lako ndio tuendelee.
Mi namuangalia tu...
 
Ninaemdai mimi ni daktari sijui unaniambiaje sasa!!
 
Mimi dukani kwangu wananifanyiaga ushenzi nawakopesha hawalipi yaani paka tunapelekana makazini kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…