NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Unafikiri wanayaona mambo kama unavoyaona!!?Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Aisee sijui ni kwambie nini ila nina uhakika na ninachoongea. Nawazungumzia maafisa wa jwtz. Labda kama unaongelea wengine.Mkuu zinazokuja na mishahara ni za watu wa afya ila kwa majeshi wanapoozwa katikati..ulizia hapa jf utapewa jibu maana mtu kumuulizia nje ya hapa atakuona unamchora
Hii sasa ni dhahama kwa watotoHao watano kumbuka kila mtu na mama yake..wanne hao wawili mama mmoja wengine tofauti na wote anawazingatia kama sio yeye basi mama yake yaani bibi yao watoto
Wanajeshi wanapozwa na posho dada yangu sema ndo zinaishia kwenye pombe tuAisee sijui ni kwambie nini ila nina uhakika na ninachoongea. Nawazungumzia maafisa wa jwtz. Labda kama unaongelea wengine.
Posho zao..nyumba, maji nk zinakuja mwisho wa mwezi pamoja na mshahara.
😂😂Ila waalimu shikamoo yao🙌🤭 Nilijua walimu tu🥴
Mwache akariri huyo, Kila kada zina watu aina mbalimbali tu ambao uki generalize unatoa hitimisho hilo.Kuwa na adabu na wanajeshi wetu. We unazungumzia wa zamani. Wa kisasa wana elimu zao na wanalipwa vizuri.
**** Madaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k
Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
SIjakataa kama hawapewi posho. Lakini zile rasmi za nyumba, maji..zinaingia pamoja na mshahara. Ndicho ambacho nilikuwa namwambia ndege JOHNWanajeshi wanapozwa na posho dada yangu sema ndo zinaishia kwenye pombe tu
Pesa wanazo sema wabishi na wakorofi sana kwa wenzao wanao wadaiSIjakataa kama hawapewi posho. Lakini zile rasmi za nyumba, maji..zinaingia pamoja na mshahara. Ndicho ambacho nilikuwa namwambia ndege JOHN
Hii ni kweli, wanao ubabe usiokuwa na maanaPesa wanazo sema wabishi na wakorofi sana kwa wenzao wanao wadai
Pole sana mkuu wamekuchukulia mke nini maana sio mapovu haya mkanye mkeo aache kuwashobokea watampiga mtungoHii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Wana ubabe gani mkuu au wanakula papa bila kutumia minara halisi [emoji28][emoji28][emoji28]Hii ni kweli, wanao ubabe usiokuwa na maana
Papa yupi unamzungumzia?🤣Wana ubabe gani mkuu au wanakula papa bila kutumia minara halisi [emoji28][emoji28][emoji28]
Wanakopa hawanilipipole sana mkuu wamekuchukulia mke nini maana sio mapovu haya mkanye mkeo aache kuwashobokea watampiga mtungo
Ninaemdai mimi ni daktari sijui unaniambiaje sasa!!Kuwa na adabu na wanajeshi wetu. We unazungumzia wa zamani. Wa kisasa wana elimu zao na wanalipwa vizuri.
**** Madaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k
Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
Mimi dukani kwangu wananifanyiaga ushenzi nawakopesha hawalipi yaani paka tunapelekana makazini kwaoMimi kuna mmoja namdai milioni 7, zilikuwa za kulipia mafundi site, nilisimamia nyumba yake na nimeshamkabidhi na amehamia tayari since 17 october mwaka jana.
Hilo deni la malipo ya mwisho lina mwaka sasa ni kupigwa kalenda tu, mbaya zaidi ni jirani yangu kabisa nyumba zinatazamana , nashindwa kumuwashia moto kutokana na huu ujirani.
Kuna project anataka kunipa, ndio imekuwa kisingizio kwamba tukianza project mpya ntakulipa kwanza deni lako ndio tuendelee.
Mi namuangalia tu...
😳AiseeMazoezi na vyakula uhakika.kwa hiyo bao linakuja likiwa standard..nina classmates zangu watatu wajeda mmoja ana watoto 5,mwingine wa 4 ,mwingine tena wa 4...wote tumezaliwa BTW 95-96
🤣🤣🤣🤣🤣 KabisaWengine ni wapishi jeshini sio wote wana mishahara mikubwa 😂