Kwanini wananchi Afrika siku hizi wanafurahia mapinduzi ya kijeshi?

Kwanini wananchi Afrika siku hizi wanafurahia mapinduzi ya kijeshi?

Kwa hiyo unasema hakuna madekteta Africa ? KUWA ata Magu alikuwa anapokea maelekezo kutoka nje kukandamiza demokrasi?
Magu alitumia uncommon sense kufanya yale wasiyoyataka mabeberu. Ngazi aliyokuwa ainaitunia Magu ndiyo waliyoitumia mabeberu kukwea na kufikisha nchi zao kileleni hapo zilipo Sasa. Baada ya mabeberu kufika kileleni wakaificha na wengine kuichoma moto ili wengine wasiitumie tena kupandia juu. Ngazi hii muhimu kwa kupandia juu kiuchumi na kimaendeleo imefichwa kwenye mahandaki ya demokrasia, na haki za binadamu na kulindwa kwa kutumia IMF, World Bank, human watch, WHO, UNICEF, UNESCO, UNHCR, UNFPA ili watu wasidokoe.

Kwaasili binadamu wote hawapendi kazi, Huwezi kujenga nchi na hata familia kwa kutumia demokrasia, haki za binadamu na hiari. Magu alifahamu hili, nadhani alionyonywa sana na mabeberu asiitafute ngazi iliyofichwa. Hata kwenye familia kama utatumia demokrasia na haki za watoto basi watoto wako hawataenda shule n kufaulu
 
Magu alitumia uncommon sense kufanya yale wasiyoyataka mabeberu. Ngazi aliyokuwa ainaitunia Magu ndiyo waliyoitumia mabeberu kukwea na kufikisha nchi zao kileleni hapo zilipo Sasa. Baada ya mabeberu kufika kileleni wakaificha na wengine kuichoma moto ili wengine wasiitumie tena kupandia juu. Ngazi hii muhimu kwa kupandia juu kiuchumi na kimaendeleo imefichwa kwenye mahandaki ya demokrasia, na haki za binadamu na kulindwa kwa kutumia IMF, World Bank, human watch, WHO, UNICEF, UNESCO, UNHCR, UNFPA ili watu wasidokoe.

Kwaasili binadamu wote hawapendi kazi, Huwezi kujenga nchi na hata familia kwa kutumia demokrasia, haki za binadamu na hiari. Magu alifahamu hili, nadhani alionyonywa sana na mabeberu asiitafute ngazi iliyofichwa. Hata kwenye familia kama utatumia demokrasia na haki za watoto basi watoto wako hawataenda shule n kufaulu
kwa hiyo unasapoti madekteta ??
 
kwa hiyo unasapoti madekteta ??
Dikteta mbaya ni yule anaeiba fedha za umma na kufanya starehe, anasa na kuhamisha fedha za nchi nje ya Nchi kuficha. Dikteta anaeburuza watu wafanye kazi, walipe Kodi, wasiibe Mali ya umma na anaeijenga nchi (shule, afya, uchukuzi na usafirishaji) sio dikteta bali mtawala.

Kiongozi mbaya kabisa kupita wote ni yule asiyekusanya Kodi kutoka kwa wananchi na kutegemea misaada na mikopo kujenga nchi.

Mfano, kuacha kukusanya Kodi kwa machinga ambao Wana watoto wanaohitaji huduma za shule, matibabu na ulinzi ni uhalifu sawa na uhalifu mwingine. Kusanya Kodi kutoka kwa yeyote yule anaepata kipato. Wazungu walifanya, wanafanya na wataendelea kufanya hivyo pamoja na maendeleo walionayo.
 
Back
Top Bottom