Vyeti fekiMbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?
Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
kuishi kwa koneksheni simply it means ni kuishi kwa kujipendekeza na uchawa.Hayo maisha yana muda na umri wake vinginevyo utaishia fedheha tu.Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.
Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?
Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.
Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.
Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
Kumbe ni kipenzi chako, basi mpelekee wowowo hilo kwenye kaburi kule chatu japo akutie madole tu.Mku. #ndu kwel wee jamaa... Kama ulivyomwita kipenz changu kichaa namim sina budi kukuita nitakavyo.. mk..** ndu kabisa wewe
CHAWA HAO NA WAKO KAZININi kweli bhangi hazija wahi kumwacha mtu salama,
Mpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.Ndugu yangu, wewe kula tu kwa urefu wa kamba yako na si kuanza kuandika upumbavu hapa!
ndugu wa marehemu njooni huku ndugu yenu anasimangwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?
Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Tena hao wa kanda ya ziwa ndio kabisaa. kuna imani fulani imepandikizwa kwaohii ni kweli wiki iliyopita nilipita shule moja ya msingi hapa mwanza jiji nikakutana na wanafunzi kama 20+ hivi wakajitambulisha kuwa wanasoma darasa la tano mmoja alikuwa mchafu Sana nikamuuliza shida nini?? dogo akafunguka Sana na wenzake kuwa sabuni zimepanda bei badala ya 300 kipande SASA hivi 600 hivyo hawezi kununua sabuni, madogo nikawqhoji kidogo wakasema wazi kuwa samia suluhu ndiye qnayesababisha, nikawquliza kwahiyo tufqnyeje sasa??? wakasema tumuondoeee hata leo duuuu! niliogopa Sana kile kizazi aseee!
Huyu bibi bora arudi kwao Zanzibar huku pagumu sn hapaweziKila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
hana mvuto kabisahii ni kweli wiki iliyopita nilipita shule moja ya msingi hapa mwanza jiji nikakutana na wanafunzi kama 20+ hivi wakajitambulisha kuwa wanasoma darasa la tano mmoja alikuwa mchafu Sana nikamuuliza shida nini?? dogo akafunguka Sana na wenzake kuwa sabuni zimepanda bei badala ya 300 kipande SASA hivi 600 hivyo hawezi kununua sabuni, madogo nikawqhoji kidogo wakasema wazi kuwa samia suluhu ndiye qnayesababisha, nikawquliza kwahiyo tufqnyeje sasa??? wakasema tumuondoeee hata leo duuuu! niliogopa Sana kile kizazi aseee!
Zao la chui ni chui tu. Awamu ya mama ni zao la awamu ya tano. Ina vinasaba vya chuki na udhalimu. Tangia lini ahera wakaishi malaika?Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Ila mkuu hii kazi yako wengi wanaitamani sana, mm pamoja na kuwa pro chadema Ila Ni ngumu sana kwa siku nzima kupitia nyuzi zote na comment zote ili kutafuta wanaoitukana chadema.Mpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.
Nyie wajinga ndio mliambiwa tumeanzosha mahakama ya mafisadi then hakuwahi mfikisha hata mmja kwenye mahakama ya mafisadi akaishia kisingizio watu afu ku compromise nao wakilipa pesa.
Na upuuzi mwingine kama huo.Ameharibu uchumi badala ya kutafuta mbinu za kukuza Uchumi Ili aongeze pesa anaanza kubambikia watu Kodi na kupora pesa zao.
Wewe Samia ni mamako?Bro wewe utakua "age go Sana"... Mama Samia ni dada kwako?
Ugumu wa kazi unatokana na nini hasa?Ila mkuu hii kazi yako wengi wanaitamani sana, mm pamoja na kuwa pro chadema Ila Ni ngumu sana kwa siku nzima kupitia nyuzi zote na comment zote ili kutafuta wanaoitukana chadema.
Ila ww kwa mama na CCM umeweza, nahisi malipo sio haba.
Ulichokiandika ndo kinaakisi ujinga wakoMpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.
Nyie wajinga ndio mliambiwa tumeanzosha mahakama ya mafisadi then hakuwahi mfikisha hata mmja kwenye mahakama ya mafisadi akaishia kisingizio watu afu ku compromise nao wakilipa pesa.
Na upuuzi mwingine kama huo.Ameharibu uchumi badala ya kutafuta mbinu za kukuza Uchumi Ili aongeze pesa anaanza kubambikia watu Kodi na kupora pesa zao.
Wewe kila siku huwa nakwambia umejaza matope huko kichwani na huwa nakwambia huyo kichaa wako alikuwa anakubutua maana hujawahi kuacha kumtaja hata kwenye mijadala isiyo yakeMbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?
Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Kwa hiyo 2025 tufanye kumpitisha tu mama ama siyo?Nakubaliana na wewe 100%
Sasa mtu anaongea mbele ya watu ccm ina wenyewe sio muda anakula teuzi ..alafu na kina liz oneKila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?