Vyeti fekiMbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?
Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Madawa ya kulevya
Majambazi
Wahujumu uchumi
wezi wa Mali ya umma
Vibaka
Wavivu
Wafitina
Wala rushwa
Majangili
Wakwepa kodi
Wakosa uzalendo
Watorosha madini
Na wahalifu wengine wotee
Sasa mnapumuaaa😂😂😂