Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Mbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?

Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Vyeti feki
Madawa ya kulevya
Majambazi
Wahujumu uchumi
wezi wa Mali ya umma
Vibaka
Wavivu
Wafitina
Wala rushwa
Majangili
Wakwepa kodi
Wakosa uzalendo
Watorosha madini
Na wahalifu wengine wotee

Sasa mnapumuaaa😂😂😂
 
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.

Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?

Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.

Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.

Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
kuishi kwa koneksheni simply it means ni kuishi kwa kujipendekeza na uchawa.Hayo maisha yana muda na umri wake vinginevyo utaishia fedheha tu.
 
Ndugu yangu, wewe kula tu kwa urefu wa kamba yako na si kuanza kuandika upumbavu hapa!
Mpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.

Nyie wajinga ndio mliambiwa tumeanzosha mahakama ya mafisadi then hakuwahi mfikisha hata mmja kwenye mahakama ya mafisadi akaishia kisingizio watu afu ku compromise nao wakilipa pesa.

Na upuuzi mwingine kama huo.Ameharibu uchumi badala ya kutafuta mbinu za kukuza Uchumi Ili aongeze pesa anaanza kubambikia watu Kodi na kupora pesa zao.
 
Mbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?

Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
ndugu wa marehemu njooni huku ndugu yenu anasimangwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hii ni kweli wiki iliyopita nilipita shule moja ya msingi hapa mwanza jiji nikakutana na wanafunzi kama 20+ hivi wakajitambulisha kuwa wanasoma darasa la tano mmoja alikuwa mchafu Sana nikamuuliza shida nini?? dogo akafunguka Sana na wenzake kuwa sabuni zimepanda bei badala ya 300 kipande SASA hivi 600 hivyo hawezi kununua sabuni, madogo nikawqhoji kidogo wakasema wazi kuwa samia suluhu ndiye qnayesababisha, nikawquliza kwahiyo tufqnyeje sasa??? wakasema tumuondoeee hata leo duuuu! niliogopa Sana kile kizazi aseee!
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
 
hii ni kweli wiki iliyopita nilipita shule moja ya msingi hapa mwanza jiji nikakutana na wanafunzi kama 20+ hivi wakajitambulisha kuwa wanasoma darasa la tano mmoja alikuwa mchafu Sana nikamuuliza shida nini?? dogo akafunguka Sana na wenzake kuwa sabuni zimepanda bei badala ya 300 kipande SASA hivi 600 hivyo hawezi kununua sabuni, madogo nikawqhoji kidogo wakasema wazi kuwa samia suluhu ndiye qnayesababisha, nikawquliza kwahiyo tufqnyeje sasa??? wakasema tumuondoeee hata leo duuuu! niliogopa Sana kile kizazi aseee!
Tena hao wa kanda ya ziwa ndio kabisaa. kuna imani fulani imepandikizwa kwao
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Huyu bibi bora arudi kwao Zanzibar huku pagumu sn hapawezi
 
hii ni kweli wiki iliyopita nilipita shule moja ya msingi hapa mwanza jiji nikakutana na wanafunzi kama 20+ hivi wakajitambulisha kuwa wanasoma darasa la tano mmoja alikuwa mchafu Sana nikamuuliza shida nini?? dogo akafunguka Sana na wenzake kuwa sabuni zimepanda bei badala ya 300 kipande SASA hivi 600 hivyo hawezi kununua sabuni, madogo nikawqhoji kidogo wakasema wazi kuwa samia suluhu ndiye qnayesababisha, nikawquliza kwahiyo tufqnyeje sasa??? wakasema tumuondoeee hata leo duuuu! niliogopa Sana kile kizazi aseee!
hana mvuto kabisa
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Zao la chui ni chui tu. Awamu ya mama ni zao la awamu ya tano. Ina vinasaba vya chuki na udhalimu. Tangia lini ahera wakaishi malaika?
 
Mpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.

Nyie wajinga ndio mliambiwa tumeanzosha mahakama ya mafisadi then hakuwahi mfikisha hata mmja kwenye mahakama ya mafisadi akaishia kisingizio watu afu ku compromise nao wakilipa pesa.

Na upuuzi mwingine kama huo.Ameharibu uchumi badala ya kutafuta mbinu za kukuza Uchumi Ili aongeze pesa anaanza kubambikia watu Kodi na kupora pesa zao.
Ila mkuu hii kazi yako wengi wanaitamani sana, mm pamoja na kuwa pro chadema Ila Ni ngumu sana kwa siku nzima kupitia nyuzi zote na comment zote ili kutafuta wanaoitukana chadema.
Ila ww kwa mama na CCM umeweza, nahisi malipo sio haba.
 
Ila mkuu hii kazi yako wengi wanaitamani sana, mm pamoja na kuwa pro chadema Ila Ni ngumu sana kwa siku nzima kupitia nyuzi zote na comment zote ili kutafuta wanaoitukana chadema.
Ila ww kwa mama na CCM umeweza, nahisi malipo sio haba.
Ugumu wa kazi unatokana na nini hasa?

Mimi sio mwana ccm bali ni pro Samia,nakushangaa yaani .

Hivi hao wananchi mnaowasemea ni Hawa hapa chini au wengine? 👇

Screenshot_20220328-115814.png


Screenshot_20220328-115745.png


Screenshot_20220328-120042.png


Screenshot_20220328-115902.png
 
Mpumbavu no wewe uliyeaminishwa na Mwendazake upuuzi maana alikuwa anawaambia eti mtu anaenda kufungulia maji kwenye Bwawa la umeme yatoke Ili wauze jenereta yet hakuwahi mkamata hata mmja kwa uhujumu uchumi.

Nyie wajinga ndio mliambiwa tumeanzosha mahakama ya mafisadi then hakuwahi mfikisha hata mmja kwenye mahakama ya mafisadi akaishia kisingizio watu afu ku compromise nao wakilipa pesa.

Na upuuzi mwingine kama huo.Ameharibu uchumi badala ya kutafuta mbinu za kukuza Uchumi Ili aongeze pesa anaanza kubambikia watu Kodi na kupora pesa zao.
Ulichokiandika ndo kinaakisi ujinga wako

Kula kulingana na urefu wa kamba yako kima wewe!

Nakuona ulivyotengewa chakula haramu mezani na unakitetea!!

Fangasi Mkubwa wewe
 
Mbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?

Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Wewe kila siku huwa nakwambia umejaza matope huko kichwani na huwa nakwambia huyo kichaa wako alikuwa anakubutua maana hujawahi kuacha kumtaja hata kwenye mijadala isiyo yake

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Sasa mtu anaongea mbele ya watu ccm ina wenyewe sio muda anakula teuzi ..alafu na kina liz one
Watu ndo wawe na imani nayo
Napenda tabia ya kuchukua maoni alafu napinga watu wengi mama hawamtaki
 
Ukiona serikali wanakubali katiba mpya na yenye tija kwa Taifa basi tambua kuwa; serikali hiyo imenyooka ktk utendawaji wake na haina makandokando.
BALI ukiona serikali inapiga chenga katiba hiyihiyo basi serikali hiyo ina mambo yenye mawaa, uongo, udanganyifu na sio wasafi.
 
Back
Top Bottom