Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Hivi matendo maovu yaliyo jitokeza baada ya 2015 ndizo ahadi walizoweka kwa pamoja Magu na mama?
Sidhani kama ni kweli, hayo hayakuwepo kwenye ilani bali yalikuwa yake mwenyewe JPM na mama kesha onyesha hayataki lakini wasaidizi wanataka ayaendeleze
 
Hivi matendo maovu yaliyo jitokeza baada ya 2015 ndizo ahadi walizoweka kwa pamoja Magu na mama?
Sidhani kama ni kweli, hayo hayakuwepo kwenye ilani bali yalikuwa yake mwenyewe JPM na mama kesha onyesha hayataki lakini wasaidizi wanataka ayaendeleze
Kama ningekuwa mimi Samia nafukuza wote hao vidudu mtu wa Magu kwenye system, yeye ndio ana power sasa hivi hakuna sababu yeyote ya kukaa pamoja na watu wanaotaka aeneleze mabaya ya mtangulizi wake, Samia fukuzia mbali hao wakora watakuharibia kazi, miaka minne ya urais inatosha sana wasikubabaishe na 2025 yao
 
Ukiona mtu anang'ang'ania kwenye gari bovu ujuwe ana mzigo wake. Wanajifanya eti wanalinda "legacy ya Magufuli". Wanataka hata kutulazimisha tuigize kuhuzunika wakati hatuna majonzi. Kumbe wanataka tuwasindikize kwenye masilahi yao.

Legacy na majonzi havilazimishwi, vinatokea tu vyenyewe. Magufuli amefanya uovu mwingi akitumia vyombo vya dola kuliko 'yale wanayoyaita mafanikio' ndiyo maana zinatumika nguvu nyingi kulazimisha watu waone kuwa kinyesi ni keki.
 
Kamanda hivi mnafikiri kwa upuuzi mnaweza kuifitinisha serikali?muda unakuja,hamtapata mnayoyata mrudie kazi yenu ya ramli na matusi
Daaaaaaaaa, mkuu upo? Nikajua UMEZIKWA NAYE kule Chato! Au, baada ya JINI kuangamizwa kwa MAOMBI, basi mliokuwa LIMEWAVAA hilo jini MNAKUWA MMEPONA, kumbe waaaapiiii!
 
Nilishaonya kuwa hili Sukuma Gang ni genge hatari sana,lisipodhibitiwa Mama atakuwa na wakati mgumu kutekeleza majukumu yake. Limepewa jina Sukuma Gang kwa vile waasisi wake ni wa kanda hiyo lakini sasa limepanua wigo wake na kuhusisha watu nje ya kanda hiyo lakini wenye mtazamo hasi kwa uongozi wa Rais Samia.
 
Naendelea kusisitiza jamani Samia tusimpangie!. Anajitambua, anajielewa na anajua anafanya nini, huu wasiwasi kwanini?!. Kama amemtoa Bashiru kwenye ukatibu mkuu kiongozi na kumtupa kule kapuni, atamshindwa nani?!. Changes is a gradual process, mpeni mama Samia muda wa kutosha kuipanga timu yake, tusimpangie na tusimuharakishe. Hata kwa wasaidizi wake, sio lazima awabadili wote kama kusafisha nyumba, wale atao waona wana fit, wataendelea, wa kubadilishwa watabadilishwa it's just a matter of time.
P
 
Toa mfano angalau wa mambo matatu tu.

Maana kama ilani inayotekelezwa ni ile ile ya 2020 - 2025 sijui unategemea apite njia ipi.

Kwa yale ambayo sio ya ki- ilani ni lipi amelazimishwa kulifanya?
 
Kelele zimekuwa aendeleze ya Magufuli!! Mama sanuka, unaingizwa mkenge
 
Legacy ya shujaa wa Afrika kwa taifa letu, itabaki kizazi na kizazi.
Ni kweli tutaendelea kukumbuka watu wasiojulikana, maiti za kwenye viroba, wapinzani kutekwa,kuteswa,kupotezwa,kuuwawa, kubambikiwa kesi,wizi wa kura,kura za kwenye mabegi nk nk nk............
 

Rekebisha hapo hakuna ilani ilowaweka madarakani ila walipora madaraka na kulazimisha ushindi.
 
Acheni bunge liwe huru kubadili.

Mnataka liwe linaongea as if liko ikulu?
 
Mdau unaweza kukuta mama mwenyewe ndio kataka kuendeleza pale alipoanza mwenzie
 
Acha ramli, we ulikutana nao wapi wakakwambia hivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…