Hapo kwenye "MPEWE NINI MRIDHIKE" ndo kwenye jibu. Kuna vitu tukiwaombaga mnaletaga ngumu. Mara muanze kuona tumewadharau kisa tumeomba "hiyo kitu"Unakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
So ulimwoa ya nini?Dudu zenu ni tofauti kabisaaa
Acha dhambii Mungu sio mjinga kufungua akili huko ni pabaya panaleta madhara baina ya watu wawiliHapo kwenye "MPEWE NINI MRIDHIKE" ndo kwenye jibu. Kuna vitu tukiwaombaga mnaletaga ngumu. Mara muanze kuona tumewadharau kisa tumeomba "hiyo kitu"
Huyo mmh anayake mkewe kweli anamoyo nimemalizaww tena machakataji sina chakukubishia.
Ni kweliUnaweza kuta demu mkali ila mashine mbovu au ananuka K
Ndio maoni yake hayo inabidi tukubali [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mmh anayake mkewe kweli anamoyo nimemaliza
Napinga hojaNdio maoni yake hayo inabidi tukubali [emoji23][emoji23][emoji23]
Kivipi??Dudu zenu ni tofauti kabisaaa
Kama mimi nimekubali matokeo ila mwanaume wanaume ni wale wale ila kweli kuna wanawake hawatoi hata tigo ila wanajua mapenzi nini??ha ha ha huo ndio ukweli mkuu, ukiona wengine wametulia ndani bila kutoka toka nje jua wanavumiliana tu au wamekubali matokeo
Unaona Sasa,Acha dhambii Mungu sio mjinga kufungua akili huko ni pabaya panaleta madhara baina ya watu wawili
Nimeshajua mnapewaga nini dhambii?Unaona Sasa,
Lakini tukipiga NJE CUP tunapewa vizuri tu kwa ushirikiano wote.
sijui kwa kweli, mm nina mke lakini hapa natongoza muda huu sijui unanisema mmUnakuta wife ni kisu ila wewe kutwa kulana na wadada nje. Unakuta mke anakuhudumia ila kutwa kwa wengine.
Mpewe nini nyie mridhike kuwa mpo kwenye ndoa takatifu? Kwanini mnakwaza wake zenu wanaobeba mimba miezi 9 wanawazalia watoto kwa uchungu? Nini shida?
Semeni, hili ni jukwaa huru.
Mimi naona hii ni shida unaweka mke ndani nje unafuata nini sijui unajua wadau kuna hadi wamama wanatoa tigo ili msitoke ila mnatoka tu .sijui kwa kweli, mm nina mke lakini hapa natongoza muda huu sijui unanisema mm
Hakuna cha Bure Ndugu yangu, sema hua tunajitahid ku balance ili na watoto pia waende Shule. Kama kuna anaehonga nyumba ndogo/mchepuko hadi watoto hawaendi Shule huyo sasa bwege.Nimeshajua mnapewaga nini dhambii?
Na ada za watoto zinaishia huko zote na mishahara yenu
Wapo kabisa tena asilimia kubwa tu ba wanarudi wamelewa nakuwapiga wake zao endapo wakiulizia matumiziHakuna cha Bure Ndugu yangu, sema hua tunajitahid ku balance ili na watoto pia waende Shule. Kama kuna anaehonga nyumba ndogo/mchepuko hadi watoto hawaendi Shule huyo sasa bwege.
Dah,Wapo kabisa tena asilimia kubwa tu ba wanarudi wamelewa nakuwapiga wake zao endapo wakiulizia matumizi
Haya kama humuonyeshiDah,
Hao siwezi kuwasemea sababu sipo kundi moja nao. Mie Mke wangu nampenda Sana na siezi kumpiga kisa nina mchepuko. Kwanza siku nikienda kuchepuka hatojua hata.
Ila tu sababu haezi kunipa "Vyote" basi acha vingine nikavitafute kwa Wengine.
Sasa kwann ukatae maoni ya mtu?Napinga hoja