Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Merry Christmas Dears,
Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa baada ya kuoa na wakati miezi ya awali huwa mnawafungia vioo na kuwapotezea kabisa, baada ya muda mfupi tu huwa mnajikuta mmebadilika kabisa, Je, ni kwanini..!?
Enwei, karibuni sikukuu ila mje na kifukuza nyuki maana siyo kwa bucket hii ya fanta orange..!! 😂
Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa baada ya kuoa na wakati miezi ya awali huwa mnawafungia vioo na kuwapotezea kabisa, baada ya muda mfupi tu huwa mnajikuta mmebadilika kabisa, Je, ni kwanini..!?
Enwei, karibuni sikukuu ila mje na kifukuza nyuki maana siyo kwa bucket hii ya fanta orange..!! 😂