Joseph Mutahaba
New Member
- Mar 21, 2021
- 4
- 5
Hizi si Hoja za msingi bana... tuwe seriousWadada poa Wanacheck population. Hawana haja ya kuzaa kama mke home au demu wa mtaani. mwanamume atakwenda pale kukatia kiu. Hetegemei kusikia "Nina mimba yako!"
Pili idadi ya Wanawake ni karibu mara dufu ya idadi ya Wanaume. Kama kila mwanamume ataishi na mke wake tu, wadadapoa ni binadamu wenye hisia kama wale wa majumbani. Wanakidhi kiu yao japo kwa ujira mdogo ili waweze kuishi. Nawasilisha.
Hii ni fallacy...huwezi sema kisa demu sio bikra basi ndo agawe kwa kila mtu anayeomba automatically tunarudi kule kule...Demu aliyepoteza bikra yake kwa kupenda kwake anatofauti gani na malaya?. BTW Wacha niingie viwanjani, vyombo vikikolea naweza kuja kuendelea kubishana.
Kwa muda huu unaweza endelea kuchakata maoni ya mdau hapa
Hizi si Hoja za msingi bana... tuwe ser
Okay nimekuelewaKila mtu anatoa mawazo yake. Na kila mtu ana haki ya kusikilizwa. Endelea kusoma maoni unaweza kuliona ambayo kwako ni ya msingi. Lakini pia jitahidi kuepuka "Dogmatism" karibu.
So wat is the solutionUsichojua wanaume 95% (wenye hela lakini) wananunua dada poa, sema level zipo tofauti. Juzikati nimeshuhudia mkora mmoja kawanunua wa 3 kawapa 600k kila mmoja kalala nao room moja 2 days anageuka tu.
Hata hao 5% hawanunui pengine wako kwenye ndoa ama serious mahusiano lakini wana kale kademu wanajua bila pesa hakatoi papuchi, yaani ukikaita sehemu lazima zitumike au kakiondoka kaondoke na kibunda ama laah, ukila leo kesho kanapata shid aya hela, nako kanauza kwa kukopesha.
Ukiskia mtu anaitwa Injinia by profession huyo pigia tu mstari ni wachache sana waliookoka.
Aunt uncle friendshipUnarudi home night ukiwa na upwiru kufwaa, unakuta mtu yupo period au hayuko kwenye mood...unafanyaje kesho jioni? Kununua siwezi, ila siwapingi wanunuzi..sie wengine tunaamua kuwa na "aunt-uncle friendship" ili kuounguza hizi kadhia.
Na ambao hawajaoaKabla ya kuoana: tendo linafanyika kwa ubunifu na kujituma
Baada ya kuoana: tendo lina tumika kama fimbo na hakuna yale mautundu ya mwanzo.
Kwasababu wanataka kutomberner nao, nasema uongo ndugu zangu?Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika
So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Sawa buh why wanaume wananunua nyapu..na mademu wapoWauza nyapu ni moja ya viumbe muhimu sana kwenye jamii
Hii biashara ya kuuza nyuchi ni miongoni mwa biashara kongwe sana duniani
Duu so why lakini...Kwasababu wanataka kutomberner nao, nasema uongo ndugu zangu?
Demu na kahaba wote ni malayaSawa buh why wanaume wananunua nyapu..na mademu wapo
Acha waje kujibu hivi ma Hawa wa mitandaoni ni dada poa🤔Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika
So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Ili wapate pesa kwa haraka na utamu wakupigwa duduOkay why asa..reason ni zipi
Wanawauzia mbuzi.Kwanini Dada poa wanauzia wanaume?