Kwanini wanaume wananunua dada poa?

Kwanini wanaume wananunua dada poa?

Wadada poa Wanacheck population. Hawana haja ya kuzaa kama mke home au demu wa mtaani. mwanamume atakwenda pale kukatia kiu. Hetegemei kusikia "Nina mimba yako!"
Pili idadi ya Wanawake ni karibu mara dufu ya idadi ya Wanaume. Kama kila mwanamume ataishi na mke wake tu, wadadapoa ni binadamu wenye hisia kama wale wa majumbani. Wanakidhi kiu yao japo kwa ujira mdogo ili waweze kuishi. Nawasilisha.
 
Wadada poa Wanacheck population. Hawana haja ya kuzaa kama mke home au demu wa mtaani. mwanamume atakwenda pale kukatia kiu. Hetegemei kusikia "Nina mimba yako!"
Pili idadi ya Wanawake ni karibu mara dufu ya idadi ya Wanaume. Kama kila mwanamume ataishi na mke wake tu, wadadapoa ni binadamu wenye hisia kama wale wa majumbani. Wanakidhi kiu yao japo kwa ujira mdogo ili waweze kuishi. Nawasilisha.
Hizi si Hoja za msingi bana... tuwe serious
 
Demu aliyepoteza bikra yake kwa kupenda kwake anatofauti gani na malaya?. BTW Wacha niingie viwanjani, vyombo vikikolea naweza kuja kuendelea kubishana.

Kwa muda huu unaweza endelea kuchakata maoni ya mdau hapa
Hii ni fallacy...huwezi sema kisa demu sio bikra basi ndo agawe kwa kila mtu anayeomba automatically tunarudi kule kule...
So panga hoja mpya
 
Usichojua wanaume 95% (wenye hela lakini) wananunua dada poa, sema level zipo tofauti. Juzikati nimeshuhudia mkora mmoja kawanunua wa 3 kawapa 600k kila mmoja kalala nao room moja 2 days anageuka tu.

Hata hao 5% hawanunui pengine wako kwenye ndoa ama serious mahusiano lakini wana kale kademu wanajua bila pesa hakatoi papuchi, yaani ukikaita sehemu lazima zitumike au kakiondoka kaondoke na kibunda ama laah, ukila leo kesho kanapata shid aya hela, nako kanauza kwa kukopesha.

Ukiskia mtu anaitwa Injinia by profession huyo pigia tu mstari ni wachache sana waliookoka.
 
Unarudi home night ukiwa na upwiru kufwaa, unakuta mtu yupo period au hayuko kwenye mood...unafanyaje kesho jioni? Kununua siwezi, ila siwapingi wanunuzi..sie wengine tunaamua kuwa na "aunt-uncle friendship" ili kuounguza hizi kadhia.
 
Usichojua wanaume 95% (wenye hela lakini) wananunua dada poa, sema level zipo tofauti. Juzikati nimeshuhudia mkora mmoja kawanunua wa 3 kawapa 600k kila mmoja kalala nao room moja 2 days anageuka tu.

Hata hao 5% hawanunui pengine wako kwenye ndoa ama serious mahusiano lakini wana kale kademu wanajua bila pesa hakatoi papuchi, yaani ukikaita sehemu lazima zitumike au kakiondoka kaondoke na kibunda ama laah, ukila leo kesho kanapata shid aya hela, nako kanauza kwa kukopesha.

Ukiskia mtu anaitwa Injinia by profession huyo pigia tu mstari ni wachache sana waliookoka.
So wat is the solution
 
Unarudi home night ukiwa na upwiru kufwaa, unakuta mtu yupo period au hayuko kwenye mood...unafanyaje kesho jioni? Kununua siwezi, ila siwapingi wanunuzi..sie wengine tunaamua kuwa na "aunt-uncle friendship" ili kuounguza hizi kadhia.
Aunt uncle friendship
 
Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika

So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Kwasababu wanataka kutomberner nao, nasema uongo ndugu zangu?
 
Habari wanajukwaa
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
Naamini Katika maisha Kuna demand side na supply side. Ukisema uzuie dadapoa unakuwa hujasolve tatizo la wanaotumia hao dadapoa.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri. ..
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku...
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk...
Sababu zinazosemwa ni
Kutoridhika na mahusiano au ndoa
Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
Na kadhalika

So wanajukwaa...waume kwa wakike
Why why why
Naomba majibu
Acha waje kujibu hivi ma Hawa wa mitandaoni ni dada poa🤔
 
Back
Top Bottom