Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

ntuchake hua hatuangalii maziwa Ila tunaangalia moyo Kama huyo kiumbe ana moyo mzuri wa kibinadamu na kwa Bahati mbaya Sana maziwa yanatukinga tusiuone moyo vizuri.
Hakuna mwanamme mwenye shida ya kunyonya.
 
Ni mpumbavu pekee anaeweza kulikagua Gari na asizingatie plate number, plate A,B,C,D au E ina uhusiano wa karibu sana na umri wa gari hivyo unaweza guess ni kwa kiasi gani imetumika/imepigika na ukajiridhisha na uimara/ubovu wake.
 
Kwanini ninyi Wanawake mna tabia ya kuacha sehemu kubwa ya "maziwa" yenu wazi?

Je lengo la kuyaacha wazi sio ili Wanaume wayatazame??

Mwanaume rijali Ukiwa unaongea na mwanamke kama huyu 👆 utaangalia nini? Macho yako yataangalia wapi??

Acheni kutujaribu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…