Kwanini wanaume wengi wa Afrika/blacks wanavutiwa zaidi na wanawake wenye makalio makubwa sana?

Utofauti wa jiografia, wanawake wa Kiafrika ndivyo asili yao ilivyo, hivyo wanaume wa kiafrika wamezoea.

Wanawake wa India , China n.k hawana makalio, hivyo hata wanaume wa huko wamekua na wamezoea, hivyo kwao makalio sio issue.

Japo siku hizi naona kuna wimbi la wazungu wengi sana kupenda wanawake wenye makalio, hata wanawake wa kizungu siku hizi wanafanya surgery sana.
 
Kwa nini wanaume Waafrika/blacks wanapenda/kuvutiwa au kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa sana tofauti na wanaume wa kizungu na sehemu kubwa ya Asia kama China, Japan, Korea n.k ambao huvutiwa zaidi na wanawake wenye makalio madogo?
Kila mtu huvutiwa na alichobarikiwa nacho.
Mfano hapa, naachaje kukaa hapa? Natokaje kwa mfano. Mtasema yote, lakini hamnitoi wallah. Kila mtu acheze ngoma za kwao.
Your browser is not able to display this video.
 
Huu ugonjwa wenu mbaya sana ndio maana wana wadanganya na feki na kuwalaghai kwa tamaa🤣🤣🤣🤣
Wew umeshanunua viwanja vingapi na kujengea wnk kwasababu ya tak
 
Ile vibration tuu full burudani unawaza ile pwapwapwaaaaa wakati wa doggy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…