Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Darmian mwakipesile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo Saint Anne utanipokea mimi Mwakipasile Mbillinyi niwe mpenzi wako?
Ukinikubalia nitakupa gunia moja la viazi na debe la maparachichi.
Asante kwa kunipenda[emoji7][emoji7] Saint Anne a.k.a Tununu Mwaisabule.Sawa Darmian mwakipesile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Btw huwa napenda jina lako na Avatar..siku utakayobadilisha ndiyo siku nitakayoacha kukupenda .
Na sisi wakina KIFARU, Komba, Tembo, Injewele, Ngomela, [emoji4][emoji16][emoji23]Umesahau Wasanto, Weiroma, Mgesi, Marwa, Mwita, Gichonge/Kichonge, Bure/Bhurwe, Mambya, Mahende etc [emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa kunipenda[emoji7][emoji7] Saint Anne a.k.a Tununu Mwaisabule.
Cha muhimu ni kupata mbususu basi. Unaipata kwa mvuto asili au kwa kutumia ndalama lengo ni lile lileKinachomvutia mwanamke kwa mwanaume ni "muonekano", siyo jina, dini, rangi, tabia n.k.
Yaani mwanamke akimwona mwanaume, kwa kuangalia umbile lake la mwili ikichangiwa na sauti K inalowa yenyewe.
Pesa ni shortcut ya kumvutia mwanamke lakini hakuna ufahari wala thamani kwa mwanaume kumvutia mwanamke kwa kutumia pesa maana ikitokea hivyo ni mwanamke anadili na pesa siyo na mwanaume.
Mwanza Mwanza
Unakuta Majina Yetu Sasa Hivi
Cherehani
Tanesco
Sahani
Mifuko
Hilo ni la ukooMmmh! wakwangu anaitwa Kobelo
Hio research umeifanya wapi1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick