Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Namie Lupakisyo Anganile vipi utani consider kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naitwa atupele mwakatungila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namie Lupakisyo Anganile vipi utani consider kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naitwa atupele mwakatungila
Francis, Robert, John, Muddy1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick
Tuanze na ushuhuda....Sie wakina Njeta, Ngaina,Sangiwa,King’olamigunga,Sekiete, Shoko, Sarumbo,Kitoi, Kimomwe, Maging’a, Kikwari, Chenkeri, Namvua, Ngatula, Natujwa vipi hatustahili warembo?
Ila baada ya kujua wanawake wanawapenda kina Francisco ikabidi uende na beat 😆Mimi jina langu la kimasai naitwa Loitimitimi Nganana Ole Saning'o Kitashu.
Hapana sio kwasababu ya wanawake. Hili la Francisco nilipewa na padri mmoja baada ya kutoka kwetu kule Orlpalpal Ngorongoro nikaenda kusoma seminary.Ila baada ya kujua wanawake wanawapenda kina Francisco ikabidi uende na beat 😆
Vipi mafanikio???
Swali gumu sijui hata nianzie wapi kujibu 😅Tuanze na ushuhuda....
Umewahi kupendwa na wanawake??😆😆
Imesaidia lakini ama?🙂Hapana sio kwasababu ya wanawake. Hili la Francisco nilipewa na padri mmoja baada ya kutoka kwetu kule Orlpalpal Ngorongoro nikaenda kusoma seminary.
I've got time so anzia mwanzo kabisa....😀Swali gumu sijui hata nianzie wapi kujibu 😅
Frank hawapendwi1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick
No haikuwa na maana inisaidie kupendwa na wanawake. Ilikuwa na maana ya kunifanyia tu initiation kwenye ukristo.Imesaidia lakini ama?🙂
Nishawahi kupendwa na nilishawahi kupenda piaI've got time so anzia mwanzo kabisa....😀
Mgesi ni jina la kike au kiume au linatumika na jinsia zote? Make kuna binti hapa kitaa kwetu unaitwa Mgesi ni mkurya kutoka Mara huko.Umesahau Wasanto, Weiroma, Mgesi, Marwa, Mwita, Gichonge/Kichonge, Bure/Bhurwe, Mambya, Mahende etc [emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3]
Sawa ErickUpo sahihi mkuu,mm Ni mmoja katika majina tajwa hapo...huwa inanirahisishia Sana kupata mbususu japo kwa jitihada zangu lakini jina langu pia linaongeza urahisi....au unakuta sehemu labda training,semina,warsha tumeandikisha majina watu wengi watoto wakike watakuwa na kimuhemuhe kutaka kujua huyu ******* Ni nani
Utasikia nyie akina fulani watundu kweli sijawahi kumuona ******* alietulia ,hapo ujue ameisha..
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote
Linatumiwa na jinsia zoteMgesi ni jina la kike au kiume au linatumika na jinsia zote? Make kuna binti hapa kitaa kwetu unaitwa Mgesi ni mkurya kutoka Mara huko.
Umejuajeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827]1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick
Hahahaha[emoji23]Wanapenda majina ya wacheza movies za kale sana.Anyway...Mola awarehemu.
Jilala, Vumbi,Bila kusahau haya Shimbayaburi, Ng’wanang’waru, Shagembe
Hahahaha,mkuu wakina Erick Ni watukutu?Sawa Erick