Huey acha siasa.No haikuwa na maana inisaidie kupendwa na wanawake. Ilikuwa na maana ya kunifanyia tu initiation kwenye ukristo.
Kwahiyo mimi ni mktisto mzuri. Sio player.
1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick
Nilikuwa nasubiria paragraphs kama 6 hivi 😬😬Nishawahi kupendwa na nilishawahi kupenda pia
Tafuta pesa
Hamna jina languWewe jina lako ni lipi kati ya hayo mkuu?
Mi naona kama mleta mada alikuwa anamuongelea mwanamke wake yeye ila sio wanawake kama alivyoandika kwenye uziNasikitika kuandika sipo kwenye hilo kundi la hao wanawake wapendao majina tajwa hapo juu😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sie wakina Njeta, Ngaina,Sangiwa,King’olamigunga,Sekiete, Shoko, Sarumbo,Kitoi, Kimomwe, Maging’a, Kikwari, Chenkeri, Namvua, Ngatula, Natujwa vipi hatustahili warembo?
Ukipendwa pendwa hovyo unakuwa player. Ujue wanaume sisi kama mafisi tu.Huey acha siasa.
Kwani kupendwa ni sawa na kuwa player???🙄🙄
"Wanaume ni mafisi!" Duly noted 🙏🏾Ukipendwa pendwa hovyo unakuwa player. Ujue wanaume sisi kama mafisi tu.
Hii ilikuwa zamani shekh,sasa hv hata uitwe chakubanga,kama cash money ipo,hata mtoto wa waziri atakupenda tu.1.Jeff
2.Matt
3.calvin
4.Alvin
5.Sydney
6.cliff
7.James or Jimmy
8.Brian
9.Dan
10.Erick