shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
Habari ya maandilizi ya sikukuu,
Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.
Kusema kweli hii imekuwa kero kwa sie hasa wa maofisini, hawa mabinti wanaojitegemea ni kama wanageuka omba omba, hapa nazungumzia hawa wanaofanya usafi walioajiriwa kwenye kampuni za usafi, kuna wanaouza matunda na juisi maofisini wengine wanatembeza korosho na soksi, siongelei wote ila wengi wao ni kama wanajiuza au kuishia kuomba omba maofisini kwa sisi wafanyakazi wa kiume.
Ukimuomba namba leo kesho hana kodi na sio kwamba wanatania ni kweli unaona kabisa meseji za mwenye nyumba na missed calls kibao. Hasa unajiuliza why ulikimbilia kupanga kazi yenyewe ya laki 2.
Kwanini usibakie na wazazi au ndugu kama ulivyoishi kabla ya kuajiriwa? Wengi Wanaangukia kujiuza au kuwa omba omba maofisini.
Kwanini mnakimbilia kujitegemea?
Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.
Kusema kweli hii imekuwa kero kwa sie hasa wa maofisini, hawa mabinti wanaojitegemea ni kama wanageuka omba omba, hapa nazungumzia hawa wanaofanya usafi walioajiriwa kwenye kampuni za usafi, kuna wanaouza matunda na juisi maofisini wengine wanatembeza korosho na soksi, siongelei wote ila wengi wao ni kama wanajiuza au kuishia kuomba omba maofisini kwa sisi wafanyakazi wa kiume.
Ukimuomba namba leo kesho hana kodi na sio kwamba wanatania ni kweli unaona kabisa meseji za mwenye nyumba na missed calls kibao. Hasa unajiuliza why ulikimbilia kupanga kazi yenyewe ya laki 2.
Kwanini usibakie na wazazi au ndugu kama ulivyoishi kabla ya kuajiriwa? Wengi Wanaangukia kujiuza au kuwa omba omba maofisini.
Kwanini mnakimbilia kujitegemea?