Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Gold diggerTunawachukulia kuwa mnakimbilia mali /urithi kama nanii (mama wawili)
Hamna sababu nyingine ya kufanya uolewe na mzee zaidi ya pesa na maisha mazuriNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani?
Unakichwa kigumu hufundishiki sio Siri ni siti.Siri ya mbele kabisaaaaaa,
Ngj waje mkuu
Wewe mali unazipata wapi?Tunawachukulia kuwa mnakimbilia mali /urithi kama nanii (mama wawili)
Hakuna vijana wenye pesa na maisha mazuri?Hamna sababu nyingine ya kufanya uolewe na mzee zaidi ya pesa na maisha mazuri
Ndo mjiulize?Ushawahi ona wapi gari bovu inavuta gari nzima?
Wapo ndio... Ulishawahi kuona wapi mdada akaolewa na mzee masikini kama shida sio helaHakuna vijana wenye pesa na maisha mazuri?
Kwamba binti aolewe na kizee kwa kumuonea huruma tu!Nehinehi!ππππWapo ndio... Ulishawahi kuona wapi mdada akaolewa na mzee masikini kama shida sio hela
Nikiwa mzee si tayari nakuwa na miradi au mijumba yangu?Wewe mali unazipata wapi?
Hivi hawa big boys ni akina nani? Naona tu hata sielewi.Mkuu unaona aibu kutoka nae out nini
Yu wanna chill with that big boy [emoji2][emoji2]
Nakazia[emoji122]Ni wivu tu unawasumbua, watuache na vibabu vyetu tuvipeti peti.