Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Ni wivu tu
 
Kuna ndoa ya kanali mstaafu mmiliki wa ilboru safari lodge Imefungwa juzi, sasa bibi harusi anamiaka 27 kanali ana miaka 78.Nimeshangaa sana wadau kumtakia maisha mema na mjukuu wake.

Wameshindwa kuvumulia na kumtambua bibi harusi kama mke halali.

Inaonyesha jamii inachukulia binti kuolewa na mtumzima atakuwa amefwata pesa. Ila siyo kweli kuna vitu vingi vya kuangalia kabla ya kuhoji hali ya kiuchumi ya maharusi.
 
Hapo ni kupelekewa moto na mjukuu au mtoto wa huyo babu, mwanamke akishakolea hapo wanapanga njama za kumuwahisha mzee kwa sir God, mchezo unaisha wanabaki kula maisha na mali za mzee.

Ama lah kama bidada ana tamaa saana ya pesa anamvutia pumzi mzee akate moto arithi kila kitu.

Hakuna mapenzi hapo ni mali, pesa, chapaa, shekeli tuu .
 
S wote wanaofuta mali, lkn pia hakuna aneyependa umasikini.


Mskae mkinyooshea watu vdole, upendo una nguvu zaid ya kifo. Ukijiona ww unafuata pesa n ww na s wote, weng n upendo wakweli unawavuta.

Kuna mbabu hapa jirani yetu ana miaka 98 na mkewe ana miaka 55 wako wanadunda, huyu babu hana hata pesa n maisha ya kawaida tuuu.
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Wazee hatuna makuu
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Mnafata mali
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Mnafuata mali bila kuwapenda mwisho wa siku mnaanza kuchepuka kwa vijana wenzenu kitu kinapelekea muwaue baba zetu kwa stress

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom