Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Mnanyooshewa vidole kwasababu
1. Only wazee wenye mtonyo ndio mnachagua kuolewa nao

2.Wazee mafukara mnawaambiaga "ujana wako ukale wapi?" au " Nitakupeleka wapi na uzee huo?"

3.Tunaamini kibinadamu gari mbovu au iliyochoka haiwezi kuivuta gari nzima.

Finally tunaamini sio mapenzi ni mapesa tuu..
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Mgekuwa mnaolewa na wazee maskini hakuna ambaye angewahoji ila mnatafuta wazee wenye pesa mnajipendekeza Ili Mzee ameze kidogo apige mzigo nasikia wengine mnawapa Hadi kule kwingine Ili wanogewe waowe
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

Dunia hii utasemwa tu chochote utachofanya. Hata ukiolewa na age mate wako utaambiwa si ungetafuta alokuzidi kidogo!
 
Kwan na wewe wamekunyooshea vidole?
Vumilia maana ata vijana wanaotoka na wamama wakubwa kuwazid ninyi ndio wakwanza kuwanyooshea vidole na kuwaita majina ya ajabu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vijana wanatupiga matukio na hela pia hakuna.
Wanakupa vidonda vya tumbo na presha pesa pia hakuna.
Bora tubaki nao wapiganaji wa vita vya pili vya dunia.
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.


We ukiamua kuolewa olewa tu usituchoshe, si twajua motivation ya wewe kuolewa sio kupenda! Regardless, Ni maisha yako!
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.

hata mimi kuna bibi alikuwa ananitania na kuniita mumewangu, ana wajukuu, bibi ana mshepu huyo na matako makubwa anayo. Mpaka leo huwa namla.

Toka nianze kula vischana sijawai kutana na mtamu kama huyu bibi. Nikipitisha wiki lazma anitafute nikampe raha.

Sema wabongo wambea sana, tungeoana anizalie mapacha.
 
Mgekuwa mnaolewa na wazee maskini hakuna ambaye angewahoji ila mnatafuta wazee wenye pesa mnajipendekeza Ili Mzee ameze kidogo apige mzigo nasikia wengine mnawapa Hadi kule kwingine Ili wanogewe waowe
na kuna vizee vijanja kweli, siku kijue kinapewa huko na mwanamke, kina mnywea na kupaka mkongo,

kinachofuata ni mzee kuchomoka na puru na kulichomoa puru lote la mtu nje na kumbwaga mavi yote nje mammmae.
 
na kuna vizee vijanja kweli, siku kijue kinapewa huko na mwanamke, kina mnywea na kupaka mkongo,

kinachofuata ni mzee kuchomoka na puru na kulichomoa puru lote la mtu nje na kumbwaga mavi yote nje mammmae.
🤣🤣🤣🤣😂😂😂Nimecheka sana, Hawa mabinti wakigundua Mzee anapesa atapewa Hadi maini
 
Back
Top Bottom