Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Mnanyooshewa vidole kwasababu
1. Only wazee wenye mtonyo ndio mnachagua kuolewa nao
2.Wazee mafukara mnawaambiaga "ujana wako ukale wapi?" au " Nitakupeleka wapi na uzee huo?"
3.Tunaamini kibinadamu gari mbovu au iliyochoka haiwezi kuivuta gari nzima.
Finally tunaamini sio mapenzi ni mapesa tuu..
1. Only wazee wenye mtonyo ndio mnachagua kuolewa nao
2.Wazee mafukara mnawaambiaga "ujana wako ukale wapi?" au " Nitakupeleka wapi na uzee huo?"
3.Tunaamini kibinadamu gari mbovu au iliyochoka haiwezi kuivuta gari nzima.
Finally tunaamini sio mapenzi ni mapesa tuu..