Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ungekuwa jirani hapa ningekupa zawadiHata usipo olewa utasemwa, ukiolewa na kijana utasemwa pia hiyo ndio kazi ya mdomo ukiondoa kula
Ndio ndioKumbe sio kweli kwamba mnafuata pesa tu kwa Wazee,mnaitafuta amani ya moyo hamtaki stress.
Zawadi gani?Yaani ungekuwa jirani hapa ningekupa zawadi
Jamani nitafute, miss natafutaYaani ungekuwa jirani hapa ningekupa zawadi
Njoo nikukutanishe na mzee wangu akupe connectionsZawadi gani?
Umesahau na tabia yao moja ya ujambaziMnasimanga mabinti
Utadhani huku kwa vijana ni mbinguni...
Watu wazima bwn licha ya hela wana utulivu..
We mtu km Mrema au Mengi atakusaliti?.huna presha kabisaa and u dont hv to struggle to impress..
Ukibahatika hawa wa 50's,60's wana show kali nzurii tuu vijana wanasubiri plus mtu mtulivu sana anajua mapenzi ni nini anajua mwanamke ni nini...
Kila mtu ashinde mechi zake jmn
Sawasawa..Njoo nikukutanishe na mzee wangu akupe connections
Jamii inawachukulia kwamba ni vibaka tu.Gold-diggers!Naombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.
Wazee hawana mambo mengiAah mambo ya kuchunguliana vuzi na mzee hapana kabisaa naona siyo adabu.[emoji848]
Hapo ndio advantage ya vibabu...Mnavipeti peti huku mnavichuna vibunda[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]ila wwHapo ndio advantage ya vibabu...
Ukiachana na kunuka uzee na kupambana na makunyanzi....
Hawana mambo mengi
Kimoja tu cha mashaka kinachotafuta wiki au mwezi mzima....kwisha
Hawahitaji shanga wala hawajali vitambi vya wake zao!!!!!!