Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Duh
Niliona ile Clip pale kanisani walipkuwa wamekaa mzee kusimama alijikunjua kama mara nne ndo akaweza..!

Nadhani ameoa ili aweze kupata muangalizi tu basi.
Dada mwenyewe yuko kanisani kwenye ndoa anachati na miwani tinted aseeh..!

Ukiangalia wazi unaona kabisa hii sio ndoa bali makubaliano tu..
Ukizingatia wote ni zao la Wizara ya Mambo ya Ndani
 
Duh
Niliona ile Clip pale kanisani walipkuwa wamekaa mzee kusimama alijikunjua kama mara nne ndo akaweza..!

Nadhani ameoa ili aweze kupata muangalizi tu basi.
Dada mwenyewe yuko kanisani kwenye ndoa anachati na miwani tinted aseeh..!

Ukiangalia wazi unaona kabisa hii sio ndoa bali makubaliano tu..

Hilo mbona mzee mwenyewe kasema, sasa we ulidhani ameoa ili apeleke moto.!
 
Hilo mbona mzee mwenyewe kasema, sasa we ulidhani ameoa ili apeleke moto.!
Kweli lakini sasa ukute Dada mwenyewe ndio hawa wenye kinyaa ataweza kweli?

Btw nani atampelekea moto huyo mama? Miaka 39 bado anadai kabisa au ndio mzee karuhusu haya ila heshima iwepo?
 
𝐁𝐀𝐛𝐮 𝐮𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐡𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐫𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐧𝐠'𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐧𝐚𝐲𝐞 𝐚𝐧𝐚𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐛𝐢𝐧𝐭𝐢 𝐦𝐛𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐚 𝐧𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐦𝐭𝐨𝐚 𝐮𝐳𝐢 𝐮𝐦𝐬𝐚𝐩𝐨𝐭𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐢 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐦𝐧𝐚𝐡𝐚𝐥𝐚𝐥𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐝𝐡𝐚𝐦𝐛𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢, 𝐌𝐮𝐨𝐠𝐨𝐩𝐞𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐧𝐠𝐮,𝐧𝐢 𝐚𝐢𝐛𝐮 𝐦𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐤𝐮𝐟𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐛𝐚𝐛𝐚
 
Kweli lakini sasa ukute Dada mwenyewe ndio hawa wenye kinyaa ataweza kweli?

Btw nani atampelekea moto huyo mama? Miaka 39 bado anadai kabisa au ndio mzee karuhusu haya ila heshima iwepo?

Hayo ni mambo ya faragha sio lazima yatolewe tamko, kuhusu kinyaa mzee mwenyewe atakuwa ameona huduma yake kwa muda alioishi naye…. mengine hayatuhusu tuheshimu haki za watu wengine.
 
Unaambiwa mzee mrema kuvalishwa pete tu ilikuwa ishu,kidole hakinyooki kimekakamaa flani,yule ameoa kimkakati, na inasemekana wana miaka 22 ya mahusiano na mrema.
Miaka 22?? Ya mahusiano... Basi mrema alimuanza Binti akiwa na 17 years
 
Huyu mwanamke aolewe na yupi kati ya hawa wanaume wawili?
Yeye ana watoto watatu kila mtoto na baba yake umri wake ni miaka 30,Mwanaume wa kwanza ana umri wa miaka 58 na watoto wanne aliachana na mkewe ,mwanaume wa pili ana miaka 38 hajawahi kuoa na hana hata mtoto,Kati yao wawili yupi ni saizi yake?
 
Huyu mwanamke aolewe na yupi kati ya hawa wanaume wawili?
Yeye ana watoto watatu kila mtoto na baba yake umri wake ni miaka 30,Mwanaume wa kwanza ana umri wa miaka 58 na watoto wanne aliachana na mkewe ,mwanaume wa pili ana miaka 38 hajawahi kuoa na hana hata mtoto,Kati yao wawili yupi ni saizi yake?
Km Ni Mimi nachagua hapo kwenye 58 Safi kabisa
 
.
Screenshot_20220325-191020.jpg
 
Hayo ni mambo ya faragha sio lazima yatolewe tamko, kuhusu kinyaa mzee mwenyewe atakuwa ameona huduma yake kwa muda alioishi naye…. mengine hayatuhusu tuheshimu haki za watu wengine.
Sasa wapi nimedharau haki za wengine wewe vipi mzee?

Anza na aliyeleta uzi kama ndio hivyo maana ulianza wewe kusema mzee ameoa kwa ajili ya uangalizi..!
 
Back
Top Bottom