Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ooh! Tafuta tu pesa.Nitoke na vibinti vibichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Tafuta tu pesa.Nitoke na vibinti vibichi
YeahOoh! Tafuta tu pesa.
Kama ni upendo tu mbona hamuolewi na mababu wapiga kiwi wale😅 au mafundi viatu ama saa?S wote wanaofuta mali, lkn pia hakuna aneyependa umasikini.
Mskae mkinyooshea watu vdole, upendo una nguvu zaid ya kifo. Ukijiona ww unafuata pesa n ww na s wote, weng n upendo wakweli unawavuta.
Kuna mbabu hapa jirani yetu ana miaka 98 na mkewe ana miaka 55 wako wanadunda, huyu babu hana hata pesa n maisha ya kawaida tuuu.
Mnanyooshewa vidole kwasababu
1. Only wazee wenye mtonyo ndio mnachagua kuolewa nao
2.Wazee mafukara mnawaambiaga "ujana wako ukale wapi?" au " Nitakupeleka wapi na uzee huo?"
3.Tunaamini kibinadamu gari mbovu au iliyochoka haiwezi kuivuta gari nzima.
Finally tunaamini sio mapenzi ni mapesa tuu..
Nami nashangaaNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Hakuna anayependa shida duniani Hapo nawapa hongera kwa huo ujasiri mnakuwa mnazishika kabisa saggy Balls zenye mvi ili mzee apate stimulationsasa ndugu
mmefata hela ndio
kukjmbatia na kubusu makunyanzi unafikiri mchezo
bado na mechi za kizee.....
Leo tumesajili member mpyasasa ndugu
mmefata hela ndio
kukjmbatia na kubusu makunyanzi unafikiri mchezo
bado na mechi za kizee.....
Wivuuu tuuuWivu
Yule mzee sukari imemla sana,mwili umechoka kaoa mtu wa kumsaidia kaziLeo tumesajili member mpya
sasa ndugu
mmefata hela ndio
kukjmbatia na kubusu makunyanzi unafikiri mchezo
bado na mechi za kizee.....
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Naombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.