Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

ngoja nikatafute mbabu na mimi nitulize moyo

mchakamchaka na hawa wamachinga siwez[emoji1]
Ila tu usisahau Akifikia stage ya kujikojolea au kuharisha usimkimbie babu yetu mlee tu kama bibi yetu alivyo kuwa akimlea
 
Mpaka sasa kina dada 3-0
Yaani wazee tunacheka tu huku
Uzee na una senti kidogo raha sana hata kazi unaimudu [emoji23]
Warembo mtutetee hivyo hivyo tena kwa uzi huu naongeza mwingine, acha nijipe raha kifo kije nacheka
 
Haku
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.


Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.
Hakuna sababu ya msingi zaidi ya kufata Mali na urithi tuu,,
 
Sasa wapi nimedharau haki za wengine wewe vipi mzee?

Anza na aliyeleta uzi kama ndio hivyo maana ulianza wewe kusema mzee ameoa kwa ajili ya uangalizi..!

Hilo la uangalizi sio kauli yangu, nimeleta nukuu kama alivyosema yeye mwenyewe…. unaweza kusikiliza mahojiano yake.

BTW punguza makasiriko, Mzee yupo fungate saivi.
 
Fuatilia Huyo Mzee alimuoaje huyo Binti wa miaka 55 sasa hvi. manaa Ndoa za Zamani zilikuwa za Kitafutiwa Mme au mke. Hawa wa Sasa Hivi Wanajipeleka Wenyewe.

Kwan kujipeleka kwa mzee n kwamba unafuata mali!?

Lkn pia skatai kuna wanaofuta pesa, na pia kuna weny upendo wa dhati. Maaana kwny msafara wa mamba kenge huwa hawakosekani.

Itoshe kusema yote yanawezekana, kulingana na mtu husika
 
Hilo la uangalizi sio kauli yangu, nimeleta nukuu kama alivyosema yeye mwenyewe…. unaweza kusikiliza mahojiano yake.

BTW punguza makasiriko, Mzee yupo fungate saivi.
nadhani ume overreact Sana Sina cha kuendelea kubishana na wewe mzee

Powa.
 
Haya we tuambie huwa mnafuataga nini???kama sio vibunda?
 
Kuna ndoa ya kanali mstaafu mmiliki wa ilboru safari lodge Imefungwa juzi, sasa bibi harusi anamiaka 27 kanali ana miaka 78.Nimeshangaa sana wadau kumtakia maisha mema na mjukuu wake.

Wameshindwa kuvumulia na kumtambua bibi harusi kama mke halali.

Inaonyesha jamii inachukulia binti kuolewa na mtumzima atakuwa amefwata pesa. Ila siyo kweli kuna vitu vingi vya kuangalia kabla ya kuhoji hali ya kiuchumi ya maharusi.

Hivi hata wewe na akili zako timamu tu,unahisi kuna mapenzi ya namna hiyo kweli!??mbona hawaolewi na wazee maskini
 
S wote wanaofuta mali, lkn pia hakuna aneyependa umasikini.


Mskae mkinyooshea watu vdole, upendo una nguvu zaid ya kifo. Ukijiona ww unafuata pesa n ww na s wote, weng n upendo wakweli unawavuta.

Kuna mbabu hapa jirani yetu ana miaka 98 na mkewe ana miaka 55 wako wanadunda, huyu babu hana hata pesa n maisha ya kawaida tuuu.

Hao wote ni wazee,95 na 55 all elders!!!
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.


Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.
Hata usipo olewa utasemwa, ukiolewa na kijana utasemwa pia hiyo ndio kazi ya mdomo ukiondoa kula
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.


Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.

Basi tutaanza kuwanyooshea nyume zetu[emoji12]badala ya vidole
 
Naombeni mtujibu

Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.

Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.


Leo tar 24 March Chama cha wake wa wazee tumesajili member mpya
Ujumbe wangu mama mrema Achana na binadamu
Wanasema mchana usiku kila mtu analala kwake na majanga yake.
Kiuhalisia mzee hana Muonekano mzuri wa mvuto,hivyo na vile ngozi imekunjamana mara sijui anakohoa sana n.k. hata mm nakubali binti kafuata mafao tu kwa mzee. Alafu hizi ndoa kwa masikini huzioni akioa bint kama huyo ila pole kwa watoto wakubwa zaidi ya huyo binti maana sasa wanamwita mama huyo
 
Back
Top Bottom