Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hayo Maelekezo yaliandikwa baada ya miaka mingapi tangu kufariki kwa mtume? Ukijipa muda wa kutumia akili utakuwa umeshaelewa.Kijana nani kakwambia hadith ni porojo? hadithi ni maelekezo ya mtume kwa waumini, mwanamke hawezi kubeba jeneza wala kuingia ndani ya kaburi, ila anaweza kukaa pembeni kwa utulivu wakati wa kuzika
Hili ndilo jibu nafikiri, basi utamaduni uheshimiwe.Dini ni utamaduni
Shida iko wapi hapo? elimu sio jambo la kupotea ghafla watu wanarithisha vizazi na vizazi, wengine wanaandika kwenye mawe n.k, ndio maana Waroma waliikusanya Biblia wakati wala hawausiki nayo na tunasoma hapa mpaka leo, japo wale wengine walikuja na kupunguza vile 6, lakini waroma hawajali wanaendelea kuvitumiaHayo Maelekezo yaliandikwa baada ya miaka mingapi tangu kufariki kwa mtume? Ukijipa muda wa kutumia akili utakuwa umeshaelewa.
Acha bangi wewe,hizo dini zenu zinazowapa mnaosema Uhuru wanawake ndio hizo zimewaletea umalaya na udangaji halafu nyinyi mnakuja kulalamikaDini ya kiislamu sijui wanawake waliwakosea nini ?
Yaani mwanamke wa kiislamu hata bega tu likiwa wazi mwanaume wa kiislamu ananuna eti anampandisha nyege
Unakuta hata vitoto vichanga vidogo vya kike vimevalishwa hijabu gubi gubi visiwape matamanio wanaume aisee
Hiyo dini ya Mohamed ina shida
Hivi wanawake walimkosea nini huyo mohamed kuwa hata wanawake wakienda makaburini madudu yao yaliyo katikati ya mapaja ya wanaume wa kiislamu wawe maimamu nk lazima yanyanyuke kwenye kanzu yakiona wanawake makaburini
Nani!!! Kujiunga na uislam NO!Watu waheshimu imani za wengine. Mnaotaka kujua kwanini wanawake hawaruhusiwi makaburini kwenye uislamu jiungeni na uislamu ili mjifunze.
Watu waheshimu imani za wengine. Mnaotaka kujua kwanini wanawake hawaruhusiwi makaburini kwenye uislamu jiungeni na uislamu ili mjifunze.
Wanawake.waislamu wavaa hijabu hawadangi? Acha unafiki wewe.Acha bangi wewe,hizo dini zenu zinazowapa mnaosema Uhuru wanawake ndio hizo zimewaletea umalaya na udangaji halafu nyinyi mnakuja kulalamika
Yoda wewe ni mwanamke wa kiislam?Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?
Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?
Bangi mbaya we kijana wa PdiddyWanawake.waislamu wavaa hijabu hawadangi? Acha unafiki wewe.
Uliza sehemu zenye waislamu wengi za mikoa ya Pwani yote kuanzia Tanga hadi mtwara .Na hijabu zao wanadanga,pombe wanakunywa na kitimoto wanakula na umalqya kama kawa tena kuwazidi hata wakristo
Ukimsalimia tu na hijabu lake dada hujambo anakwambia sijamb9 nakusikiliza unasemaje funguka nakusikiliza
Naanza kukuelewaKwanza kiongozi mkuu wa dola la kiislamu ni lazima apatikane kwa shura, sio kurithishana kama serikali ya ukoo wa HIJAZ pale Saudi arabia
Soma tena vizuri, katiba inafuata Quran na sunna alafu unasema sio nchi ya kiislamu?Unajuwa kusoma kingereza? hiyo ni dini rasmi.
Je na kukamuliwa kinyesi kitoke ikoje??!!Kila dini ina sheria na taratibu zake.
SwadaktaWatu waheshimu imani za wengine. Mnaotaka kujua kwanini wanawake hawaruhusiwi makaburini kwenye uislamu jiungeni na uislamu ili mjifunze.
Inasikitisha sana.Kah! kwamba mtoa dua anaweza acha kutoa dua akaanza kuwaza namna wanawake wengine walivyofungasha?? sasa hapo tatizo si litakuwa la msoma dua mwenyewe?
Kwahiyo mashehe watawatamani huko makaburini? ππππKatika uislamu wanawake hawaruhusiwi kuhudhuria mazishi makaburini kwa kuwa wanawake wako very emotional hivyo wanaweza kuvuruga shughuli nzima ya maziko...........
Vile vile uislamu unaamini mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao una uharamu Kati Yao unaweza kuzalisha fitna na watu kuangukia kwenye mambo mengine yasiohusiana na mazishi( temptation)
Uislamu unaamini kuwa muunganiko usio wa kisheria baina ya mwanamke na mwanamume unaweza kuzalisha mambo ya haramu hivyo basi lazima kuwe na mipaka baina ya watu hao wawili.........
lakini wanaweza kutembelea kaburi la mpendwa wao baada ya maziko........
(nipo tayari kusahihishwa kama nimeteleza au kibinadamu nimejisahau)
Mashehe na mapadri ni wanadamu kama mimi na wewe....Kwahiyo mashehe watawatamani huko makaburini? ππππ