Kwanini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Kwanini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Kijana nani kakwambia hadith ni porojo? hadithi ni maelekezo ya mtume kwa waumini, mwanamke hawezi kubeba jeneza wala kuingia ndani ya kaburi, ila anaweza kukaa pembeni kwa utulivu wakati wa kuzika
Hayo Maelekezo yaliandikwa baada ya miaka mingapi tangu kufariki kwa mtume? Ukijipa muda wa kutumia akili utakuwa umeshaelewa.
 
Hayo Maelekezo yaliandikwa baada ya miaka mingapi tangu kufariki kwa mtume? Ukijipa muda wa kutumia akili utakuwa umeshaelewa.
Shida iko wapi hapo? elimu sio jambo la kupotea ghafla watu wanarithisha vizazi na vizazi, wengine wanaandika kwenye mawe n.k, ndio maana Waroma waliikusanya Biblia wakati wala hawausiki nayo na tunasoma hapa mpaka leo, japo wale wengine walikuja na kupunguza vile 6, lakini waroma hawajali wanaendelea kuvitumia
 
Dini ya kiislamu sijui wanawake waliwakosea nini ?

Yaani mwanamke wa kiislamu hata bega tu likiwa wazi mwanaume wa kiislamu ananuna eti anampandisha nyege

Unakuta hata vitoto vichanga vidogo vya kike vimevalishwa hijabu gubi gubi visiwape matamanio wanaume aisee

Hiyo dini ya Mohamed ina shida
Hivi wanawake walimkosea nini huyo mohamed kuwa hata wanawake wakienda makaburini madudu yao yaliyo katikati ya mapaja ya wanaume wa kiislamu wawe maimamu nk lazima yanyanyuke kwenye kanzu yakiona wanawake makaburini
Acha bangi wewe,hizo dini zenu zinazowapa mnaosema Uhuru wanawake ndio hizo zimewaletea umalaya na udangaji halafu nyinyi mnakuja kulalamika
 
Watu waheshimu imani za wengine. Mnaotaka kujua kwanini wanawake hawaruhusiwi makaburini kwenye uislamu jiungeni na uislamu ili mjifunze.

Mna uzombi kuzidi hata Waarabu waliobuni hiyo dini.
 
Acha bangi wewe,hizo dini zenu zinazowapa mnaosema Uhuru wanawake ndio hizo zimewaletea umalaya na udangaji halafu nyinyi mnakuja kulalamika
Wanawake.waislamu wavaa hijabu hawadangi? Acha unafiki wewe.

Uliza sehemu zenye waislamu wengi za mikoa ya Pwani yote kuanzia Tanga hadi mtwara .Na hijabu zao wanadanga,pombe wanakunywa na kitimoto wanakula na umalqya kama kawa tena kuwazidi hata wakristo

Ukimsalimia tu na hijabu lake dada hujambo anakwambia sijamb9 nakusikiliza unasemaje funguka nakusikiliza
 
Kwa nini wanawake Waislamu hawaruhusiwi kushiriki shughuli muhimu za maziko kama hata kwenda makaburini kuzika wapendwa wao?

Ni mfumodume wa kuwa infantilize wanawake.

Kuwafanya wanawake kama watoto wachanga.

Hizi mila zinapitwa na wakati na watu wanazipotezea tu.
 
Wanawake.waislamu wavaa hijabu hawadangi? Acha unafiki wewe.

Uliza sehemu zenye waislamu wengi za mikoa ya Pwani yote kuanzia Tanga hadi mtwara .Na hijabu zao wanadanga,pombe wanakunywa na kitimoto wanakula na umalqya kama kawa tena kuwazidi hata wakristo

Ukimsalimia tu na hijabu lake dada hujambo anakwambia sijamb9 nakusikiliza unasemaje funguka nakusikiliza
Bangi mbaya we kijana wa Pdiddy
 
Sasa mtu anamuweka Kumbuka, Dotto, kwenye kundi la wanaume
Juma Lokole, Kumbuka na Dotto wote wanaonekana kuwa na maumbile ya kiume, watabaki hivyo mpaka itakapothibitishwa vinginevyo.
 
Katika uislamu wanawake hawaruhusiwi kuhudhuria mazishi makaburini kwa kuwa wanawake wako very emotional hivyo wanaweza kuvuruga shughuli nzima ya maziko...........

Vile vile uislamu unaamini mchanganyiko wa wanaume na wanawake ambao una uharamu Kati Yao unaweza kuzalisha fitna na watu kuangukia kwenye mambo mengine yasiohusiana na mazishi( temptation)

Uislamu unaamini kuwa muunganiko usio wa kisheria baina ya mwanamke na mwanamume unaweza kuzalisha mambo ya haramu hivyo basi lazima kuwe na mipaka baina ya watu hao wawili.........


lakini wanaweza kutembelea kaburi la mpendwa wao baada ya maziko........

(nipo tayari kusahihishwa kama nimeteleza au kibinadamu nimejisahau)
Kwahiyo mashehe watawatamani huko makaburini? 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom