Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

🀣🀣🀣🀣 nimeokoka na kuzaliwa upya katika kristoo
 
Ndoa ni ajira kwa mwanamke

sasa ukifa mimi nitaishije = sasa nisipo olewa nitaishije.
 
Unachopaswa kujua,mwanamke ndivyo alivyoumbwa asili yake ni kuhitaji mwanaume ambaye atamtegemea,hii ni kuanzia ulinzi wake,afya yake,maisha yake na kila kitu,na hii hali huwa ni nature, inamfanya ajihisi kuwa yuko very much protected,kaumbwa hivyo,inawezekana hata yeye mwenye ukimuuliza hajui kwanini anakuwa hivyo.Hili ukitaka kuliona vizuri ni pale unapokuwa na mtoto wa kike,automatically wanakuwa karibu sana na baba yao kuliko na mama,that is nature.Sasa linapokuja swala la ufeminist hapo ndipo wanapoharibu hilo lengo wanakuwa kama majizi flani hivi...
 
Wanawake wanatamani sana ndoa, binti akishavunja ungo tu

She begins to fantasize her wedding day the way she will look stunning in her wedding gown as a bride

Kikubwa wanataka ndoa ili wapate security kutoka kwa mwanaume

Akishagonga 27+ hapo anajua yuko kwenye danger zone mamaè atakuganda mpaka ukome.

Na hautakiwi kumuoa mwanamke kwa kumuonea huruma ukipata nafasi ya kumuumiza kihisia mwanamke muumize kadiri uwezavyo.

Ukipenda muahidi ndoa then hit her and run
 
Na hautakiwi kumuoa mwanamke kwa kumuonea huruma ukipata nafasi ya kumuumiza mwanamke muumize kadiri uwezavyo. Hit her and run
Tusisahau tu kuwa ukimuumiza mwanamke kisasi chake ni kwa mwanaume mwenzako na huwa hakiwi kidogo na huenda vizazi viwili au vitatu maana wamebeba uzazi.

Hivi vilio vya kupigwa na kitu kizito na single mothers walioumizwa ni vingi na havitakwisha mpaka wanaume tubadilike. Wanaume tukikaa sehemu yetu wanawake watatii.
 
Ndoa ni ya mwanamke, mwanaume hana ndoa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…