Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Kwa hiyo wanaume ndio wanawaambia wanawake wawe malaya?
Wanaume ndo tunatengeneza malaya. Tukisimama kwenye misingi yetu tatizo la umalaya litapungua mno. Wanawake wanafata miongozo ya wanaume zao. Tukishindwa kuwaongoza wanaibuka wale wa independent woman na kufata miongozo yao ndo umalaya unazaliwa humo.
 
Kajikomoa huyo mwanamke malaya
Wanawake wapo kuendeleza na kuulea uzao wa mwanaume. Lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa jamii ya mwanaume.

Hichi unachokiona sasa ni matokeo ya uzao na ulezi wa wanawake waliopita. Miaka 30 ijayo hawa mabinti unaowaona sasa huko tiktok na FB ndio watatoa product zao za malezi yao. Sasa changanya na zako uone Jamii yenye wanaweke malaya ni nani anakomoleka.
 
Hivi wewe jamaa unatumia akili kweli? Mwanamke anapoamua kujiuza ni uamuzi wake. Wakiacha kujiuza unafikiri mwanaume atapata wapi malaya wa kumnunua? Acha kuongea ujinga
 
Wanawake wapo kuendeleza na kuulea uzao wa mwanaume. Lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa jamii ya mwanaume
Ni hasara kwake

Atakayemuoa malaya bila kufsnya vetting ya kutisha inakula kwake

Sikuzote mwanaume anatakiwa kuweka standard ya mwanamke wa kumuoa

Ukishusha standard ni wewe mwenyewe
 
Ni hasara kwake

Atakayemuoa malaya bila kufsnya vetting ya kutisha inakula kwake

Sikuzote mwanaume anatakiwa kuweka standard ya mwanamke wa kumuoa

Ukishusha standard ni wewe mwenyewe
Ni kazi ya wanaume kuhakikisha jamii haiendekezi umalaya. Wanaume ni viongozi. Na hii inapaswa kuanzia katika level ya familia. Wanaume wakisimama katika nafasi zao umalaya utapungua mno. Jamii inayonuka umalaya ni jamii ambayo wanaume zake wamefeli. Huu ndo ukweli mchungu.
 
Wanataka usalama ( tulizo la kihisia tu ) wanawake wengi hawana hulka ya kutanga tanga na kila mwanaume ni shida tu haina adabu🤔🤔🤔
cc bcc Balthazar Engong ..... Ashkiii ya Ile huduma waweza ona ya kijinga sana ilaa ..... Tii kiu ya mwenziooo ... Ka kunywa pepsii baaridiiii msimu huu wa jua kali
 
Hapa umemaliza kila kitu......Wanataka Matunzo....
 
Jinga sana wewe jamaa, kwa hiyo wanawake hawajui kuwa umalaya ni ukosefu wa maadili mpaka wanaume wasimame kuwafundisha

Wewe ni simp moja mpumbavu sana
 
Jinga sana wewe jamaa, kwa hiyo wanawake hawajui kuwa umalaya ni ukosefu wa maadili mpaka wanaume wasimame kuwafundisha

Wewe ni simp moja mpumbavu sana
Wewe utakuwa baba wa aina gani ambaye kuwaongoza wanawake wasiwe malaya ni upambavu?
 
Ndoa ya cheti.
Ukipata cheti ndo unakuwa umeolewa? Labda kama wewe ni bikra.

Binti katolewa bikira shule ya msingi, hadi anamaliza form six keshagongwa na wanaume 5+ tofauti.

Chuo katembea na wanaume 10+, wengine kaishi nao pika pakua na katoa mimba kibao.

Akifikisha miaka 28 body count ni 20+ ila anataka cheti iwe kiashiria cha kwamba kaolewa.

Mabinti wengi wanataka cheti ni kwa Sababu mambo yote yanayofanywa kwenye ndoa keshayafanya, so hakuna cha ajabu kwake, tofauti na cheti/makaratasi.

Sasa akipewa hilo karatasi/cheti, huyo muoaji ndo anakiona cha moto, maana binti aliyeruka na dick 20+ hawezi tosheka na dick 1. Ndoa ikibahatika itakaa mwaka mmoja kisha inavunjika.

Pia hata kama binti anabody count chache mfano 1, kama huyo mmoja amekaa naye kwa kipindi kirefu ila hakumpa cheti, anatokea boya mmoja anampa cheti. Huyo boya lazima ataisoma namba maana X atakuwa na nguvu sana.

Nasisitiza, Kama wewe ni bikra, upewe cheti.
 
Yale ya zamani kuwa ndoa ni heshima ni uongo, kwao ss ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Akipata mwajiri mzuri anakutosa anaenda kwa green pasture!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…