Wanaume ndo tunatengeneza malaya. Tukisimama kwenye misingi yetu tatizo la umalaya litapungua mno. Wanawake wanafata miongozo ya wanaume zao. Tukishindwa kuwaongoza wanaibuka wale wa independent woman na kufata miongozo yao ndo umalaya unazaliwa humo.Kwa hiyo wanaume ndio wanawaambia wanawake wawe malaya?
Wanawake wapo kuendeleza na kuulea uzao wa mwanaume. Lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa jamii ya mwanaume.Kajikomoa huyo mwanamke malaya
Hivi wewe jamaa unatumia akili kweli? Mwanamke anapoamua kujiuza ni uamuzi wake. Wakiacha kujiuza unafikiri mwanaume atapata wapi malaya wa kumnunua? Acha kuongea ujingaWanaume ndo tunatengeneza malaya. Tukisimama kwenye misingi yetu tatizo la umalaya litapungua mno. Wanawake wanafata miongozo ya wanaume zao. Tukishindwa kuwaongoza wanaibuka wale wa independent woman na kufata miongozo yao ndo umalaya unazaliwa humo.
Ni hasara kwakeWanawake wapo kuendeleza na kuulea uzao wa mwanaume. Lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa jamii ya mwanaume
Wewe ndo unatetea ujinga boss. Mbona ukiuziwa kinyesi hununui sababu yanauzwa? Yaani unanunua malaya sababu yupo sokoni?Hivi wewe jamaa unatumia akili kweli? Mwanamke anapoamua kujiuza ni uamuzi wake. Wakiacha kujiuza unafikiri mwanaume atapata wapi malaya wa kumnunua? Acha kuongea ujinga
Ni kazi ya wanaume kuhakikisha jamii haiendekezi umalaya. Wanaume ni viongozi. Na hii inapaswa kuanzia katika level ya familia. Wanaume wakisimama katika nafasi zao umalaya utapungua mno. Jamii inayonuka umalaya ni jamii ambayo wanaume zake wamefeli. Huu ndo ukweli mchungu.Ni hasara kwake
Atakayemuoa malaya bila kufsnya vetting ya kutisha inakula kwake
Sikuzote mwanaume anatakiwa kuweka standard ya mwanamke wa kumuoa
Ukishusha standard ni wewe mwenyewe
cc bcc Balthazar Engong ..... Ashkiii ya Ile huduma waweza ona ya kijinga sana ilaa ..... Tii kiu ya mwenziooo ... Ka kunywa pepsii baaridiiii msimu huu wa jua kaliWanataka usalama ( tulizo la kihisia tu ) wanawake wengi hawana hulka ya kutanga tanga na kila mwanaume ni shida tu haina adabu🤔🤔🤔
Unaongea sana pumbaWewe ndo mjinga boss. Mbona ukiuziwa mavi hununui sababu yanauzwa? Yaani unanunua malaya sababu yupo sokoni?
Hapa umemaliza kila kitu......Wanataka Matunzo....Ndoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
Ukiwa na wanao wa kike huna jukumu la kuhakikisha hawafanyi umalaya? Wanao wa kiume utawaacha wanunue malaya sababu wapo sokoni? Shubamiit.Unaongea sana pumba
Jinga sana wewe jamaa, kwa hiyo wanawake hawajui kuwa umalaya ni ukosefu wa maadili mpaka wanaume wasimame kuwafundishaNi kazi ya wanaume kuhakikisha jamii haiendekezi umalaya. Wanaume ni viongozi. Na hii inapaswa kuanzia katika level ya familia. Wanaume wakisimama katika nafasi zao umalaya utapungua mno. Jamii inayonuka umalaya ni jamii ambayo wanaume zake wamefeli. Huu ndo ukweli mchungu.
Wewe utakuwa baba wa aina gani ambaye kuwaongoza wanawake wasiwe malaya ni upambavu?Jinga sana wewe jamaa, kwa hiyo wanawake hawajui kuwa umalaya ni ukosefu wa maadili mpaka wanaume wasimame kuwafundisha
Wewe ni simp moja mpumbavu sana
Hauna hoja mwehu wewe unanipotezea muda tuWewe utakuwa baba wa aina gani ambaye kuwaongoza wanawake wasiwe malaya ni upambavu?
Ukipata cheti ndo unakuwa umeolewa? Labda kama wewe ni bikra.Ndoa ya cheti.
Unaruka ruka badala ya kujibu swali boss.Hauna hoja mwehu wewe
Mkuu hauna swali la maana uliloniuliza unaandika ujinga sanaUnaruka ruka badala ya kujibu swali boss.
Utakuwa baba wa wanunua malaya na wauza uchi sababu hutaki kusimama nafasi yako kama baba? Kwako wewe ni upumbavu kuhakikisha wanawake si Malaya?
Yale ya zamani kuwa ndoa ni heshima ni uongo, kwao ss ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Akipata mwajiri mzuri anakutosa anaenda kwa green pasture!Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Jibu swali? Jukumu lako kama mwanaume kuhakikisha jamii yako si jamii ya malaya na wanunua malaya ni lipi? Huna hilo jukumu? Una watoto mkuu?Mkuu hauna swali la maana uliloniuliza unaandika ujinga sana
Mwanamke aache kujiuza ndio suluhishoJibu swali? Jukumu lako kama mwanaume kuhakikisha jamii yako si jamii ya malaya na wanunua malaya ni lipi? Huna hilo jukumu? Una watoto mkuu?