BoyOfGod
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 1,055
- 1,572
Imekunja nne🙄Hii imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekunja nne🙄Hii imekaaje?
Kila kitu kinaanzia katika level ya familia boss. Mwanamke anayejiuza anatoka kwenye familia fulani, ukoo fulani. Wazee wa ukoo, baba na walezi Tukiweza kudhibiti watoto kimaadili umalaya utapungua mno, tukilikwepa hilo jukumu tutakuwa na wamama malaya, mabinti malaya, vijana wanunua malaya n.kMwanamke aache kujiuza ndio suluhisho
Wanachotaka ni urithi, wawe na uhakika wa kurithi mali, wanahofia mume akifa, wanaweza tokea michepuko ya kweli au uongo, wakadai wamezaa na marehemu.Wanataka usalama ( tulizo la kihisia tu ) wanawake wengi hawana hulka ya kutanga tanga na kila mwanaume ni shida tu haina adabu🤔🤔🤔
Nimescreen shot hii ikawe muongozo wangu kila ninapotaka kupotea kumpenda mtoto wa mtuNdoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
ni kama vile tu mwanadamu anavyohangaika kumtafuta MunguHii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ndoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
Sioi basiKatika ndoa anaye nufaika ni mwanamke hapo anapata chakura matibabu ulinz,anafikishwa kilelen
Ukifa mwanaume Mali zote zake mkiachana mnagawana Mali na ukimpa talaka kila mwez watoto unatoa pesa ya matumiz
Automatic ukifika mda wa kuowa lazima utaowa tu chiefSioi basi
Ausio ila papuche zi expire ndo mkumbuke ndoa damnTunataka ndoa sababu ni kutaka kutulia na mtu mmoja,kujenga familia na kugrow old together, mambo ya kushenyetwa na wanaume tofauti tofauti siyo hulka yetu.
Wewe mkuu papuchi hainaga kuexpire wala haina makombo, ndoa tunakumbuka mapema tu ila nyie ndiyo mnakua hamko serious mnatuchezea😀Ausio ila papuche zi expire ndo mkumbuke ndoa damn
Hiyo asilimia moja kwanini usimchukue mmoja? Asilimia moja ya watu bilion 4 unajua ni ngapi?hapa ni asilimia moja Kati ya Mia ya wanawake wanao jiweza na wanatokea ushuani,
Ila 99% ya wanawake hawana faida kwa wanaume mbali na kusex ambayo tuna enjoy wote
Kataa ndoa ndoa ni utapeli.
Hao billion 4 wapo daslam? (NB;daslam hamna hata mmoja wote matapeli) pia Hapo Kuna watoto walio olewa wazee na wagonjwa....Hiyo asilimia moja kwanini usimchukue mmoja? Asilimia moja ya watu bilion 4 unajua ni ngapi?
Mimi naishi Sinza hapa Kuna Wanawake Kibao ambao wanaojiuza.. kwa hiyo na Mimi ni mwanaume wa ovyo niliyefeli kisa tu naishi mitaa yenye malaya Kibao au?Kwangu mimi, Jamii ya wanaume waliofeli utaitambua kwa kutazama wanawake zao. Ukiona mmezungukwa na malaya, ujua hamna wanaume hapo.
Mchenyeto kaka ndio unawaforce kuolewa apa kwenyew nasumbuliwa Atari ndio kwanza ata mda Sina kundini naona sitoki🤣🤣🤣Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?
Hapa mtaani Kuna Binti ni msomi Tena wa ngazi ya stashahada kabisa amezalishwa na mvuta bangi tu mmoja ambaye Hana mbele wala nyuma...Kila mwanamke huwa na malengo yake ila mwisho muda ndio huwa inaamua
Wewe nae bwana sijui huwa unalipwaga shingapi kutetea ujinga na uovu wa wanawake wanaoufanya kwa utashi wao wenyewe....Wanaume ndo tunatengeneza malaya. Tukisimama kwenye misingi yetu tatizo la umalaya litapungua mno. Wanawake wanafata miongozo ya wanaume zao. Tukishindwa kuwaongoza wanaibuka wale wa independent woman na kufata miongozo yao ndo umalaya unazaliwa humo.
Eti "lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa Jamii ya wanaume"Wanawake wapo kuendeleza na kuulea uzao wa mwanaume. Lolote baya linalomkuta mwanamke ni hasara kwa jamii ya mwanaume.
Hichi unachokiona sasa ni matokeo ya uzao na ulezi wa wanawake waliopita. Miaka 30 ijayo hawa mabinti unaowaona sasa huko tiktok na FB ndio watatoa product zao za malezi yao. Sasa changanya na zako uone Jamii yenye wanaweke malaya ni nani anakomoleka.
Mwambie avae jezi ya yangaKama wangu mpaka namuonea huruma. Ameshafanya kila kitu cha wife material. Inabidi kumuoa tu, asije kuanza kuongea peke yake
Wewe nae bwana mbona unazidi kuongea upuuzi tu ambao huko detached na reality?? Una akili gani wewe??Ni kazi ya wanaume kuhakikisha jamii haiendekezi umalaya. Wanaume ni viongozi. Na hii inapaswa kuanzia katika level ya familia. Wanaume wakisimama katika nafasi zao umalaya utapungua mno. Jamii inayonuka umalaya ni jamii ambayo wanaume zake wamefeli. Huu ndo ukweli mchungu.