Kwanini wanawake wanashambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume?

Nikweli haya pia...

Ila mawigi na mavazi hayamfundishi mwanamke uchawi...

Ila kama alivaa nguo au wigi ya mtu mchawi anaweza beba roho
Ndicho nachomaanisha,

Mawigi yanabeba Roho za mapepo behind.

India hair au Brazilian hair, zile nywele halisi za wahindi au wazungu, ukizinunua hizo Zina mapepo live Toka kiwandani. Ukizivaa tu, umeswitch on, shughuli inaanza.

So Kwa asiyejua undani,asiye wa kiroho, itoshe kumwambia wigs Zina madhara Ili abaki na asili yake.
 
Wana mioyo myepesi sana, ni waoga sana... ni rahisi kusurrender
 
Tuwasaidie, maana huwapeleka na watoto wetu bila kutuomba ruhusa.

Wanaume turudi kubeba majukumu yetu kushape familia na vizazi vijavyo.

Tuache ulevi na ubussy for nothing.

Amen
 
Wana mioyo myepesi sana, ni waoga sana... ni rahisi kusurrender
Tuwasaidie,

Mawigi na mapambo pia yanafilisi sana Uchumi wa familia.

Mshahara wa mwanamke Kwa zaidi ya 70% huenda kwenye mapambo na mawigi.

Tukifanikiwa hapo, wakabaki na asili Yao, Uchumi wa family utakua.

Amen
 
Mwl Mwakujonga,

Tia neno tafadhali.
 
-UVAAJI NGUO ZA KUBANA NA NUSU UCHI.
Wasichana wa jamii ya wahadzabe huwa wanashinda nusu uchi kabisa na hawasumbuliwi na mapepo, nadhani kukaa uchi hakuwezi kuwa njia ya kushambiliwa na mapepo.

Pepo linaweza kumvaa hata anayeshinda kavaa suti nzuri.
 
mapambo ya mwili
Ni Kweli, mapambo mwilini yanafungua malango ya ulinzi wa mwili wa asili tangu Kuzaliwa.

Dhahabu au silver na madini mengine ni hazina, Si kitu Cha kuvaa mwilini.

Madini, huvuta sana mapepo. So ni hatari kuyavaa mwilini.
 
Wasichana wa jamii ya wahadzabe huwa wanashinda nusu uchi kabisa na hawasumbuliwi na mapepo, nadhani kukaa uchi hakuwezi kuwa njia ya kushambiliwa na mapepo.

Pepo linaweza kumvaa hata anayeshinda kavaa suti nzuri.
Nakubaliana nawe,

Zipo sababu zingine nyingi zinazoweza sababusha mashambulizi ya kipepo,

Leo mada inahusika Wanawake kushambuliwa na mapepo zaidi kuliko wanaume.

Kukaa uchi Kwa kukosa nguo Kwa wahadzabe au Mila ni tofauti na kuvaa nguo nusu uchi kutamanisha watakaoona.
 
Mwanamke mchawi harekebishwi mpaka ajiue mwenyewe kwa kujipiga na akifa anamwachia uchawi mwanawe wa kike au kajukuu kake ka kike. Aluta continua✊
Ni Kweli mwanamke mchawi kuacha uchawi, ni Hadi Mungu aingilie kati.

Bt wapo waliokutana na Mwanaume wa wanaume Yesu Kristo na wameacha matunguli na ni watumishi, japonni Wachache.
 
Hivi hujui kwa asili wanawake ni makao makuu ya shetani kiroho na kimwili
(Mwanzo 5:2)

Mwanamke na Mwanaume aliwaumba,AKAWABARIKI akawaita Jina lao Adamu, siku Ile alipowaumba.

Asili ya mwanamke ni Mbinguni, tuwasaidie, na wanaandamwa na shetani sababu ya uzao, ni lango la uzao.
 
SDA
 
No mm Si msabato, Si mtumwa wa Dini. Nina Imani katika KRISTO.

Wasabato pia hawaamini kunena Kwa lugha na kujazwa Roho mtakatifu,

Nao wanatakiwa wampokee Roho wa kristo Ili wanyakuliwe.

Amen
 
Shetani yupo karibu na wao....wachawi wakubwa karibia wote ni wanawake. Watu wenye roho mbaya na wakatili ni wanawake, waongo kupitiliza ni wanawake, wambea ni wanawake, wanaojiuza ni wanawake, kuna la ziada?
Vice versa is true
 
Hapo kweny SOLUTION,nagongelea msumari kwenye point namba 2,3 na 4...
 
Umeandika ujinga mwingi..wanawake are more emotional based kuliko wanaume ndo maana are more likely kuamini vitu visivyo vya ukweli Kama wachungaji waganga matapeli etc wanaendeshwa kwa hisia Kama uwoga tamaa etc....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…